Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 8,939
- 10,403
kwani ccm wanatambua uwepo wa hiyo Katiba? Subiria waandae mtaala wa twisheni!Ibara ya 47 ya Katiba inasema, kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi.
Sasa nashangaa hata barua tu ya uteuzi hadi isainiwe na Rais mwenyewe tena nje ya nchi, kuna ulazima gani wa Rais kusaini nje ya nchi, kama kazi ndogo kama hiyo makamu haaminiwi ni kipi sasa kidogo atakachoaminiwa?
Wajuvi wa protokali ikoje hii.
View attachment 2770287
Kwani Chato ni Kenya..Huna kumbukumbu?!!
Hayati JPM aliapisha akiwa CHATO......
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kwa uelewa wangu Rais akiwa nje ya nchi amekwenda kwa majukumu muhimu, ambayo yanahitaji aweke mawazo na akili yake yote kwenye alichokiendea.ni kweli kabisa kulingana na mtazamo wako.
Lakini, ni lini Rais amekua hayupo kazini hata amuachie Makamu wake?
Rais yupo kazini iwe yupo ulaya, Amerika ama Asia. Anatekeleza majukumu yake vizur sana akiwa ndani ama nje ya nchi.
Lakini pia taasisi ya Urais ina ukubwa wa kipekee kutekeleza majukumu na kazi za Rais kwa weledi mkubwa sana na kwa mujibu wa sheria.
bas sawa kama ni kwa uelewa wako.Kwa uelewa wangu Rais akiwa nje ya nchi amekwenda kwa majukumu muhimu, ambayo yanahitaji aweke mawazo na akili yake yote kwenye alichokiendea.
Sioni kama kutakuwa na ufanisi kama ataendelea pia kushughulikia masuala ya nyumbani, ambayo yangeweza kusubiri arudi au yafanywe na mtu aliyekasimu mamlaka kwake.
Ni kipi nilichopotosha?Sio vyema kuwa mpotoshaji.
Ni kipi nilichopotosha?
kwahiyo alivyosafiri hajamkaimisha mtu madaraka yakuongoza nchi?.anatembea namadaraka ya uonhozi wa nchi hadi nje ya nchi?.Kama ni hivyo mmmmmhulichoeleza ni kifungu cha ngap?
akiwa nje ya nchi kwa maana ya mathalani ni mgonjwa asiweza kutekeleza majukumu ya Rais ndipo Makamu anaweza chukua nafasi yake.
Lakini sasa Rais yupo nje kikazi,
yupo timamu,
na ana afya njema
anatekeleza majukumu na kazi zake vizur,
na wajibu wake kwa mujibu wa sheria anamuajiaje asie husika?
Ili avunje sheria right?
Kwahiyo anatumia ile app yetu ya nitro...? 😂😂Hiyo sign ni copy and paste. Zuhura mwenyewe anaicopy kwa computer na kupaste kwenye barua
Sijawahi ona VP akisaini barua ya Uteuzi Toka Tzn iundweIbara ya 47 ya Katiba inasema, kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi.
Sasa nashangaa hata barua tu ya uteuzi hadi isainiwe na Rais mwenyewe tena nje ya nchi, kuna ulazima gani wa Rais kusaini nje ya nchi, kama kazi ndogo kama hiyo makamu haaminiwi ni kipi sasa kidogo atakachoaminiwa?
Wajuvi wa protokali ikoje hii.
View attachment 2770287
Onesha hiyo barua alosaini Rais upate milioni moja ya Kenya.Ibara ya 47 ya Katiba inasema, kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi.
Sasa nashangaa hata barua tu ya uteuzi hadi isainiwe na Rais mwenyewe tena nje ya nchi, kuna ulazima gani wa Rais kusaini nje ya nchi, kama kazi ndogo kama hiyo makamu haaminiwi ni kipi sasa kidogo atakachoaminiwa?
Wajuvi wa protokali ikoje hii.
View attachment 2770287
sio madaraka tu na mamlaka Kamili ya Urais ndio maana anapokelewa kwa heshima na salute ya utii na heshima ya Rais huko aliko.kwahiyo alivyosafiri hajamkaimisha mtu madaraka yakuongoza nchi?.anatembea namadaraka ya uonhozi wa nchi hadi nje ya nchi?.Kama ni hivyo mmmmmh
Hivi Katibu Kiongozi kazi yake nini?bas sawa kama ni kwa uelewa wako.
hayawezi kusubiri hadi arudi yuko ofisini kazini ndio maana mambo yanafanyika na kusonga mathalani teuzi na tenguzi kila mara awepo ndani au nje ya nchi.
Makamu ni Principal assistant tu hana difined responsibility zaidi ya ili muhimu ya kua Rais pale ambapo Rais alieko mamlakani hawezi tena kutekeleza majukumu yake kwasabb za kiafya, kufariki n.k
Tofauti na hapo Makamu wa Rais atafanya yale tu atakayo elekezwa na Rais afanye.
ni afisa masuhuli Ikulu ya Rais,Hivi Katibu Kiongozi kazi yake nini?
Kama hawezi kusaini hata barua ya mteuliwa hadi Rais asaini akiwa ughaibuni kuna haja ya kuwa pale?
Ndgu, rejea kifungu hapo juu" kama ataagizwa"Ibara ya 47 ya Katiba inasema, kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi.
Sasa nashangaa hata barua tu ya uteuzi hadi isainiwe na Rais mwenyewe tena nje ya nchi, kuna ulazima gani wa Rais kusaini nje ya nchi, kama kazi ndogo kama hiyo makamu haaminiwi ni kipi sasa kidogo atakachoaminiwa?
Wajuvi wa protokali ikoje hii.
View attachment 2770287
Sijasema kuwa huwa haendi! Hata wakati wa JPM, karibia Safari za nje zote alikuwa anawakilishwa na Makamu wake na si Rais wa Zenji!Je, ni kweli kuwa Makamu hajawahi kumuwakilisha Rais mikutano ya nje ya nchi? Au uliamua kuruka sarakasi na taulo?
Kumbe yule aliyepita alikuwa anaingilia majukumu ya makamu?Makamu kazi yake kama hii ya leo kupokea ndege!
walikuwa pamoja kila shughuli!Kumbe yule aliyepita alikuwa anaingilia majukumu ya makamu?
Ndoto za alinachaMpango ndiye raisi ajaye kuanzia 2025 anzeni kuzoea hilo, imepangwa hivyo na powers that be, kuna sababu kwa nini “aliumwa” corona …
Labda katiba ndiyo iepitwa na wakati, kwani kwa mazingira ya sasa, rais anafanya kazi au vikao akiwa popote pale.Ibara ya 47 ya Katiba inasema, kutakuwa na Makamu wa Rais ambaye atafanya kazi zote za Rais kama Rais hayuko kazini au yuko nje ya nchi.
Sasa nashangaa hata barua tu ya uteuzi hadi isainiwe na Rais mwenyewe tena nje ya nchi, kuna ulazima gani wa Rais kusaini nje ya nchi, kama kazi ndogo kama hiyo makamu haaminiwi ni kipi sasa kidogo atakachoaminiwa?
Wajuvi wa protokali ikoje hii.
View attachment 2770287