Rais Hussein Mwinyi kuongea na Serikali ya Muungano ili Zanzibar ianzishe mfuko wa kusaidia Waislam

Rais Hussein Mwinyi kuongea na Serikali ya Muungano ili Zanzibar ianzishe mfuko wa kusaidia Waislam

Ime
Tafsir ya Hijja ni pana sana. Mi huwa nacheki zaidi Quran na Hadithi , Just imagine huna kazi , una madeni na huna pesa ya kuhudumia familia ila kuna dili la kupelekwa hijja for free!

Unaenda Makka na kurudi home kwenye maisha ya msoto na dhambi zinaendelea kufanyika maana mtu maskini anafanya dhambi nyingi!

hiyo imekaaje sheikh!
Imekaa poa tu,alimradi umepata offer kutoka kwa mtu mwengine...

Dini ya Kiislam,sheria ya kwenda Kuhiji ni ruksa kwa wale wenye uwezo

lakini haikusema kama umepewa offer halafu huna chakula nyumbani hiyo offer uiache
 
Wakati anakodisha visiwa hakusema ataenda kuongea na serikali ya JMT, kwanini kuanzisha mfuko wa waislam wa zanzibar kwenda hijja anataka kuongea na serikali ya JMT?
Kwanini asichukue hizo hela alizokodisha visiwa akawapa waislam wa zanzibar waende hijja?
Mambo ya ndani ya Zanzibar sio mambo ya Mungano..

Mikopo na misaada kutoka nchi za nje ni mambo ya Mungano

NGO za kiislam zinatoa misaada ya mfuko wa Hijja lakini hazifiki Zanzibar direct,zinafikia kwenye serikali ya Mungano,..

Hizo ndio pesa Mwinyi anazozizungumzia
 
Kama zazibar itawekewa mfuko huo na waislamu wa bara pia watahitaji huo mfuko ilihali ni wengi kuliko waislamu wa Zanzibar
lakini yeye sio Rais wa Muungano, kama ni hivyo usemavyo, kwa nini awatetee waisilamu wa Bara?
 
Huwa kuna shida fulani kwa tawala za awamu za namba shufwa za JMT
 
Kwani wao kwa mapato ya Serikali yao wameshindwaje?

Ni kwamba kodi zetu wakristo zianze kuchangia waislam kwenda hija ilhali wao huwa wanabomoa makanisa Zazibar
Siyo kubomoa tu.. na kuyateketeza kwa moto 🙄
 
Nimemsikia Rais wa Zanzibar akieleza kwamba eti waombe kibali Serikali ya Muungano ili Zanzibar ianzishe mfuko wa kusaidia waislam wanapoenda Hija.

Nimeshtushwa na hili ombi kwani Zanzibar inazuiwa kujianzishia mfuko? Au ni kanjia ka kuitaka Serikali ya Muungano igharamie ibada ya dini moja?
Hija ni jambo la muungano? Kwenye articles of the union ? Kama kasema hivyo kuna kitu anakitafuta au kallewa na kuvimbiwa madaraka
Uraisi mtamu ukiupata usipokuwa mwangalifu utajiona kama Mungu Raisi wa Sri lanka
 
asiwasahau na wakristo. Huenda hija Israel, Vatican, na sehemu zingine duniani zenye history ya dini. Mfuko huo usiwe wa kusaidia waislam tuu.
 
Back
Top Bottom