kifupi kirefu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 539
- 3,507
Udhalilishaji na Madawa ya kulevya ni tatizo kubwa katika nchi yetu, sote tunawajibu wa kuwafichua wadhalilishaji. Natoa maagizo kwa Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini yoyote atakae kamatwa kwa kosa la madawa ya kulevya au udhalilishaji nasisitiza asipewe dhamana.
Ziara: Donge Chechewe
Huu ni ujumbe katika account ya twitter ya Mhe. Hussein Mwinyi, tumekatazwa kumkosoa Rais na baba yetu ila kwa hapa naomba nitimize wajibu wa Kikatiba.
1. Rais Hana mamlaka ya yakuingilia utendaji wa mahakama, dhamana ni haki ya kisheria si haki ya tamko la Rais
2. Zanzibar awazalishi dawa za kulevya, zinaingizwa na wakina nani? Je, wanaoingiza hawafahamiki?
3. Kwa kauli hii Tunaenda kujaza mateja magereza, je hii ndiyo suluhu ya dawa za kulevya? Kwanini asiongeze nguvu kwenye vyombo vya ulinzi wakabaini mtandao nakuufyeka?
Pls Mzee usiturejeshe kwa JPM, tumeona watu wasio na hatia walivyojazwa Magereza. Usiwajaze wasio na hatia Magereza kwa kisingizio cha madawa. JPM alianza kuwahita wahujumu uchumi akawatungia na sheria kumbe lengo nikuwazoba mdomo maasimiu na wabaya wake.
Don't do that pls, iache mahakama ipambane kivyake.
Ziara: Donge Chechewe
Huu ni ujumbe katika account ya twitter ya Mhe. Hussein Mwinyi, tumekatazwa kumkosoa Rais na baba yetu ila kwa hapa naomba nitimize wajibu wa Kikatiba.
1. Rais Hana mamlaka ya yakuingilia utendaji wa mahakama, dhamana ni haki ya kisheria si haki ya tamko la Rais
2. Zanzibar awazalishi dawa za kulevya, zinaingizwa na wakina nani? Je, wanaoingiza hawafahamiki?
3. Kwa kauli hii Tunaenda kujaza mateja magereza, je hii ndiyo suluhu ya dawa za kulevya? Kwanini asiongeze nguvu kwenye vyombo vya ulinzi wakabaini mtandao nakuufyeka?
Pls Mzee usiturejeshe kwa JPM, tumeona watu wasio na hatia walivyojazwa Magereza. Usiwajaze wasio na hatia Magereza kwa kisingizio cha madawa. JPM alianza kuwahita wahujumu uchumi akawatungia na sheria kumbe lengo nikuwazoba mdomo maasimiu na wabaya wake.
Don't do that pls, iache mahakama ipambane kivyake.