"As the world prepares to mark the one-year anniversary of Russia’s brutal invasion of Ukraine, I am in Kyiv today to meet with President Zelenskiy and reaffirm our unwavering and unflagging commitment to Ukraine’s democracy, sovereignty, and territorial integrity. When Putin launched his invasion nearly one year ago, he thought Ukraine was weak and the west was divided. He thought he could outlast us. But he was dead wrong.”
Leo urusi na USA ni marafiki bada opareshen masaa72 kuferi vibaya
Porojo hiziBig boys Huwa wanachati inbox...
View attachment 2524256
Warusi wa Bonyokwa wanasema huyo beberu mkuu kapewa ruhusa ya kutembelea Kyiv na Putin.Anga ya Ukraine itakuwa iko mikononi beberu mwenyewe
[emoji23][emoji23][emoji23] Wabongo kwa porojo hatujambo,nimemsoma nikaishia kucheka tuYaani mmarekani amwombe mrusi hivi vichekesho mnatoaga wap
Washingito iliwapa Moscow notification kua Rais anelekea kyiv!. hawawezi kufanya bilia kuwambia Moscow.Rais wa Marekani, Joe Biden atembelea Kyiv baada ya safari ya masaa 9 kwa treni kutoka Poland ambapo amewasili asubuhi ya leo
US president Joe Biden is on a surprise visit to Kyiv, where he's meeting with President Zelensky ahead of the one-year mark of Putin’s full-scale invasion of Ukraine. He left overnight and arrived by train in Kyiv this morning. He and Zelensky just visited St. Michael's Square.
Wakati huo huo Urusi imejiandaa shambulia Kyiv kwa makombora
Vingora vyalia sehemu mbali mbali za Ukraine
Jeshi la Marekani liko katika utayari nchini Poland.
Rome conventionUtaje mkataba mmojawapo
Putin sio mjinga pamoja na hali aliyoiazishaInamaana US wamechunguza nakuona hiyo sehemu sio hatari kwa rais wao?
Mimi ningekuwa Putin ningetuma kitu kitue pembeni kidogo tu just for winning!.
Kuwa mkubwa wa akili sio kichwa hio ni post-posted hapo inapostiwa alishaondoka kitaaambo viongozi wote wa Nato wanaenda kama PANYA wakiondoka ndio wanaanza kupostSi tayari mlishajua alipo? Haya shambulieni Sasa tule tu Kalibr Missiles tuone ubabe WA Putin.
Wanadhani hatujui zinapopatikana taarifa pengineKuna watu eti ndio wameweka hii link. Hivi pro russia huwa ni wendawazimu au? Mtu mwenye akili anaita hii ndio source kweli?
Rome convention
Yani hawakosi cha kusema,tunawauliza kama swala ni kupewa ruhusa kwa nini Putin na yeye asiombe ruhusa aende kutembelea waliopo kwenye battle field?Warusi wa Bonyokwa wanasema huyo beberu mkuu kapewa ruhusa ya kutembelea Kyiv na Putin.
Wakati anaendelea kutimiza tayari ashachukua baadhi ya maeneo jaribu kutumia Akili na ufikirie.urusi ataishia kuota
Wanawasiliana vizuri tu[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna wajinga wanaamini Russia na Us ni maadui na hawawasiliani[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna watu mazuzu sana hawajui kuwa Russia na Us wana mahusiano kama kawaida🤣Wanawasiliana vizuri tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Putin hebu tulia uandike vizuri naona ujio wa Biden umekuvuruga haswa [emoji3][emoji3]Washingito iliwapa Moscow notification kua Rais anelekea kyiv!. hawawezi kufanya bilia kuwambia Moscow.
Nyie mnaakili kweli?Russia anaendelea kuchukua maeneo mazuri mpaka maeneo ya bahari ya Ukraine unaongea pumba? Ukraine kabakiza bandari ya Odessa tu na hiyo itachukuliwa soon.Kuna watu wameumia kuona Kyiv inaendelea simama
Dictator kajificha chumbani kwake
Imemvuruga kivipi wakati kaomba ruhusa Kwa warusi?Putin hebu tulia uandike vizuri naona ujio wa Biden umekuvuruga haswa [emoji3][emoji3]