Uoga upi wakati alikuwa live anaongea na waandishi wa habari???Biden kaingia kwa siri kubwa sana huko Ukraine hata maafisa wa white house wengi wao walikuwa hawajui kama kuna safari ya rais Kenda Ukraine...US nao wamekuwa waoga sasahivi ..wamedhihilisha wazi kuwa wanamuogopa Urusi
Na marekani yote ingeharibiwa.Kile kibegi "nuclear football" ofcourse kingefunguliwa if putin ange jaribu ku-pull a fast one[emoji16]
Kwani hao maafisa wakisema hawajui kuhusu hio safari kumbe wanajua, hao BBC watawafanya nini????Nyamizi nakuaminia sana kutoka na uwepo wako kila siku kwenye jukwaa hill... sitaki nikupakulie taarifa hapa neenda mwenyewe bbc utaona hiyo taarifa imeandikwa kwa uwazi kabisa kuwa hata baadhi ya maafisa white House walikuwa hawajui hiyo ratiba... wamepata taarifa jamaa keshapaa aeaelekea Ukraine......
Kwani Marekani hawa interceptor missiles za kuyaharibu ?Na marekani yote ingeharibiwa.
Dada bado tu hujaipata nikuekee nukuu ya WH kwenyewe huko kwa sulivan cjui ndio nani yuleTupe link ya hiyo AP walipoconfirm tusome wenyewe tafadhari
ok nilisema baadhi yaHizi details zimetolewa kila mahari hiyo BBC,CNN,Aljazeera,FOX News na vyombo vyote.Nachokukatalia ni kusema Security Officers wa WH walikuwa hawafahamu wakati kumekuwa na preparations za hiyo safari kwa muda mrefu sana unless uwe unamanisha hawa maafisa wa kawaida tu.Pengine naweza kubaliana na wewe kuwa uamuzi rasmi wa siku gani anakwenda Kyiv kautoa Biden siku ya Ijumaa kwa mujibu wq CNN
fuatilia bbc habari online Leo.... tatizo mmezoea kupakuliwa taarifa.....Umeipata wapi hiyo ya kuwa hata baadhi ya maafisa wa white house hawajui.
Wewe ni mpambe sana.Hakuna lolote russia akiamua kushambulia anashambulia hila kuna mikataba inalinda viongozi kwani unafikiri hata russia hawajui anapolala zelensky
Tunatoaga White HouseYaani mmarekani amwombe mrusi hivi vichekesho mnatoaga wap
Eeh hivo hivoAirforce hivi viatu raba ama
Jaribuni muone kama yake expire.Kwani Marekani hawa interceptor missiles za kuyaharibu ?
Yale ya Urusi wanadai mengi yamesha-expire huenda hata hayawezi kufyetuliwa tena.
tunaonglea jinsi alivyopanga safari ya kwenda huko na jinsi alivyofika huko... alienda kwa siri sana.....Uoga upi wakati alikuwa live anaongea na waandishi wa habari???
Kwani alipomaliza alitoweka ghafla kama mchawi??? Si ulimwengu wote ulijua yuko huko???
Kwa Sababu wametoa taarifa.Wawa ni mpambe sana.
Mbona hajashambulia?
Hao wakubwa kamwe usitegemew watazipiga kizembe
@NyamiziKama utakuwa umesikiliza taarifa ya habari ya DW leo jioni wamesema hivi Marekani iliitaarifu Urusi juu ya ujio wa Biden nchini Ukrain sasa nadhani twende sambamba
Kwan lazima kwenda hukoYani hawakosi cha kusema,tunawauliza kama swala ni kupewa ruhusa kwa nini Putin na yeye asiombe ruhusa aende kutembelea waliopo kwenye battle field?
Hapo hata Nzi hasogei mzeeInamaana US wamechunguza nakuona hiyo sehemu sio hatari kwa rais wao?
Mimi ningekuwa Putin ningetuma kitu kitue pembeni kidogo tu just for winning!.
Tuwambie mara ngapi kwamba Amerika hana ubavu wa kupigana vita ya ana kwa ana na Urusi.Rais wa Marekani, Joe Biden atembelea Kyiv baada ya safari ya masaa 9 kwa treni kutoka Poland ambapo amewasili asubuhi ya leo
US president Joe Biden is on a surprise visit to Kyiv, where he's meeting with President Zelensky ahead of the one-year mark of Putin’s full-scale invasion of Ukraine. He left overnight and arrived by train in Kyiv this morning. He and Zelensky just visited St. Michael's Square.
Wakati huo huo Urusi imejiandaa shambulia Kyiv kwa makombora
Vingora vyalia sehemu mbali mbali za Ukraine
Jeshi la Marekani liko katika utayari nchini Poland.
Kuna nchi yoyote duniani ambayo ishawahi kumuwekea vikwazo marekani?Inamaana US wamechunguza nakuona hiyo sehemu sio hatari kwa rais wao?
Mimi ningekuwa Putin ningetuma kitu kitue pembeni kidogo tu just for winning!.
Kwanini Marekani anamuwekea vikwazo Urusi? Yeye kama nani?Tuwambie mara ngapi kwamba Amerika hana ubavu wa kupigana vita ya ana kwa ana na Urusi.
How many times must we repeat ourselves kwamba Russian Federation is not some Banana Republics - HIMARS mlizo kuwa mnazipigia debe hapa zimeishia wapi - hata vifaru vya Ujerumani na Uingereza vitatiwa kiberiti - USA wanajua vizuri jinsi ya latest Kornet AT misiiles zilivyo so effective ndio maana wanabuni visinginzio vya kuchelewesha kupeleka Abram TANKS huko Ukraine sitashangaa wakisita kupeleka kifaru hata kimoja wakiona vifaru vya Ujerumani na Uingereza vikiteketezwa na jeshi la Urusi.