white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Kwa hiyo kwa uelewa wako hii ndio safari ya kwanza ya rais wa US, kuwa ya siri?!!sasa kama putin ni kidume c jamaa alikuwa live kiev ameshindwa nini kushambulia?!!Kaingia kwa siri sana hata baadhi ya mafisa wa white House walikuwa hawajui kama jamaa katua Ukraine.. USA nao wamefikia hatua ya kuficha siri za safari za raisi kukwepa hujuma kutoka kwa urusi.....
Yani hawakosi cha kusema,tunawauliza kama swala ni kupewa ruhusa kwa nini Putin na yeye asiombe ruhusa aende kutembelea waliopo kwenye battle field?
Naona upo hapo na hao baadhi ya maofisa mkipiga mihogo na jwisi.Biden kaingia kwa siri kubwa sana huko Ukraine hata maafisa wa white house wengi wao walikuwa hawajui kama kuna safari ya rais Kenda Ukraine...US nao wamekuwa waoga sasahivi ..wamedhihilisha wazi kuwa wanamuogopa Urusi
Ficha ujinga kwa kukaa kimyaKwanini Marekani anamuwekea vikwazo Urusi? Yeye kama nani?
Kwanini Urusi asimuwekee vikwazo Marekani?
Kama nchi ikikuwekea vikwazo na vikatiki basi hauna uwezo wa kumpiga huo ndiyo ukweli.
Kuna nchi ilishawahi kumuwekea vikwazo Marekani?
Kama Russia ameshindwa kuichukua Ukraine mpk sasa hivi, hana ubavu wa kupigana na Marekani. Hata China analijua hilo ndiyo maana wanawekewa vikwazo
Kwa hiyo bro huamini kwamba katika medani ya vita wababe Huwa wanawasiliana before escalations!!ata kule Syria umeshasikia Marekani na Urusi wamerudhiana risasi licha ya kuwa wote wapo kule na wansapport pande mbili tofauti?bAta Israel kabla ya kushambulia Syria Huwa wanaomba approval ya Urusi kwanza, Hilo hujui?Kuna watu eti ndio wameweka hii link. Hivi pro russia huwa ni wendawazimu au? Mtu mwenye akili anaita hii ndio source kweli?
Hujui kua kuingia kwa Train ni kwasababu ya uoga wa kuingia na Ndege?Yani marekani ni marekani tu,pamoja na uchafuzi wote haogopi katinga tu,tena kaingia kwa train
Natamani aguswe nione nini kitatokea.
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
... Putin was informed that the big boy was coming; just to let him know that the US was visiting Ukrain; "FYI".Kama utakuwa umesikiliza taarifa ya habari ya DW leo jioni wamesema hivi Marekani iliitaarifu Urusi juu ya ujio wa Biden nchini Ukrain sasa nadhani twende sambamba
Yatimie wapi from 72 hrs to one year.Mrusi ile miezi miwil ya mwanzo wangetakiwa watimize malengo kwa sababu Ukraine hakuwa na kitu chochote sasa anatimizaje malengo na silaha na misaada kedekede anapata kwa walionunua hii vitaLazima malengo ya urusi yatumie
Waulize kama kuna nchi imeshaweka vikwazo kwa US.Kuna nchi yoyote duniani ambayo ishawahi kumuwekea vikwazo marekani?
Rusia na China tunaambiwa zina majeshi makubwa na silaha kali lkn kwanini zinawekewa vikwazo? Kwanini wasigome km kweli wapo na ubavu kushinda Marekani?
Kama mtu anakuwekea vikwazo, utaweza kumudhuru? Thubutu
Russia atapigwa achakae
Anataka akae miaka 20 kama alivyokaa NATO pale AFGHANISTANYatimie wapi from 72 hrs to one year.Mrusi ile miezi miwil ya mwanzo wangetakiwa watimize malengo kwa sababu Ukraine hakuwa na kitu chochote sasa anatimizaje malengo na silaha na misaada kedekede anapata kwa walionunua hii vita
Marekani wanachochea vita kwa sababu wao hawaaoni leo ,wanataka kujua Urusi ana nini kwanza ,na kutwa anajua atakuwa busy ana focus kwenye vita tuMarekani inazidi kuchochea vita iendeleee badala ya kushawishi mazungumzo inapeleka silaha nyingi zaidi!!!
Wanajipa matumaini kuwa Washngton iliwa alert Moscow.Mimi nilidhani jeuri ya Putin tungeiona hapo sasa,maana kataarifiwa kabisa.Matokeo yake kaufyata kimyaKuna watu wameumia kuona Kyiv inaendelea simama
Dictator kajificha chumbani kwake
Kaka nimeishaipata,sasa nikuulize ni kipi kimemfanya Putin akaufyata na kupisha mwenye nguvu kuvinjari mitaa ya Kyiv bila wasi wasi kabisa? Huoni ulikuwa wasaa mzuri kabisa wa Putin kuionyesha US kuwa yeye hajaribiwi?Dada bado tu hujaipata nikuekee nukuu ya WH kwenyewe huko kwa sulivan cjui ndio nani yule
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa unampangia adui yako afanye unavyotaka sasa hivo vitakua ni vita au maigizoHujui kua kuingia kwa Train ni kwasababu ya uoga wa kuingia na Ndege?
Mashabiki wa Upinde mna shida sana.
Alivyotaarifiwa kafanya nini sasa zaidi ya kutii maagizo aliyopewa kutoka WH
Anajikakamua tu hapo,ukimpima pressure hapo inasoma 200/100...US President Joe Biden has arrived in Kyiv – his first visit to Ukraine since Russia invaded almost a year ago.
Biden arrives in Kyiv
The surprise visit came as he travelled to neighbouring Poland to meet President Andrzej Duda.
There had been speculation earlier today that an important guest was arriving in the Ukrainian capital, which Ukrainian politician Lesia Vasylenko has confirmed is Biden.
Stay with us as we bring you the latest.
===============
Joe Biden has arrived in Kyiv to meet Ukraine’s president, Volodymyr Zelenskiy. Biden’s public itinerary had suggested he would be visiting Poland, but the US president arrived in Ukraine’s capital this morning and has been spotted on a walkabout in the country’s capital.
In a statement, the US president said he was there to announce “another delivery of critical equipment, including artillery ammunition, anti-armor systems and air surveillance radars” as well as more sanctions.
The New York Times is reporting that Biden travelled to Kyiv after a hours-long train ride from the border with Poland. He and Zelenskiy visited Saint Michael’s monastery as an air raid warning sounded across the city. The newspaper described the visit as “a demonstration of his administration’s resolve in the face of Russia’s year-long invasion of the country”.
The White House has issued a statement about Biden’s visit to Ukraine this morning. It reads: “As the world prepares to mark the one-year anniversary of Russia’s brutal invasion of Ukraine, I am in Kyiv today to meet with President Zelenskiy and reaffirm our unwavering and unflagging commitment to Ukraine’s democracy, sovereignty, and territorial integrity. When Putin launched his invasion nearly one year ago, he thought Ukraine was weak and the west was divided. He thought he could outlast us. But he was dead wrong.”
Source: The Guardian