Rais Kamuzu Banda alizitaka Mbeya, Njombe na Songea kuwa sehemu ya Malawi

Rais Kamuzu Banda alizitaka Mbeya, Njombe na Songea kuwa sehemu ya Malawi

Shukurani mkuu. Shukurani zaidi kwa muandishi aliyefanya kazi jubwa.

Watu wasije kufikiri Kiranga ndiye huyo muandishi saa. 😆😆

Mimi nilikuwa natafuta andiko la wanazuoni kuhusu huu mgogoro, nikakutana nalo hili.

Nimelisoma lote, limechambua mgogoro kirefu.
Ni kweli, nimekushukuru kwa kulileta jamvini. Ni andiko muhimu sana lenye twist and turns
Natamani sana lingeandikwa kiswahili wengi walisome kwa utuo!

Kilichonifurshisha ni jinsi wasomi wanavyojichanganya pia halafu lugha inavyoleta utata '' sphere of Influence''
Lakini pia Utawala wa 'Anglo-German' kisha British! Tanganyika chini ya League then UN
Ni andiko Tamu sana!

Hili linanikumbusha pia kisiawa cha ''Latham'' kati ya Tanganyika na Zanzibar
Kwa muda mrefu kimekuwa Tanganyika hadi Samia alipokirudisha Zanzibar alipokuwa Rais wa JMT

Ukisoma hilo andiko la Michigan, kwa sheria za kimataifa , kwanza, ilibidi kufuata text na si map .
Pili, mzozo hauwezi kutatuliwa na upande mmoja. Sasa kwetu sisi Zanzibar ipo, hakuna aliyesima kwa masilahi ya Tanganyika kwasababu haipo! Sijui ni sheria gani imetumika kuamua kwamba kisiwa hicho ni cha Zanzibar.
Ikiwa limefanyika kwa kauli ya Rais, ipo siku tutakuwa na tatizo mbeleni

JokaKuu Mag3
 
Kqbisa naon akuna wanyakyusa wanaona heri wahamie malawi sasa si waende huko watuachie palr mbeya watanzania halisi watakaa na kuenjoy maeneo yao ealiyoyapata kwa kupiganiwa uhuru wa taifa hili oamoja na kulinda mipaka yake.
Wanatania tu mkuu wapuuze, wamalawi wengi wanatamani wangekuwa Watanzania na kimsingi wanakimbilia sana Tanzania.
 
Hii kitu iliwahi ongelewa humu miaka ya nyuma ni kama ramani ilichezeshwa mahali.

Iliwahi tokea hadi hiyo mipaka ikawa inalindwa muda wote.

Hata sasa najua wapo wanajeshi wetu muda wote wanalinda huo mpaka.

Ila, nakuapia akikomaa mpaka utasogezwa, note me.
Katika geopolitics kusogeza mpaka ni kitu ambacho hakiwezekani
 
Ishu ya mipaka ilishakuwa settled zamani sana anayetaka kuzusha haya mambo anatafuta yatakayompata sababu hata hao wanaoishi maeneo hayo japo wana ukaribu na undugu na walio Malawi lakini hawatamani kuwa wamalawi maana ukiwa ndani ya Tanzania kuna faida zake nyingi zaidi kushinda nchi zote zinazituzunguka. I believe kama kuna watu wanataka kuhamia malawi ni heri waende kimyakimya tusijaribiane wandugu mtatuona wabaya.

Kuhamia Malawi 🇲🇼 ni shidaa. Hamna anayetamani.
 
Mbeya kuwa Malawi! 🤔🤔😲 Labda huko mpakani Kasumulu, lakini kujumuisha Mbeya yote kuchukuliwa na Malawi hiyo Ni impossible. Yaani mie wa Kambikatoto Chunya mara paap nimekuwa Mmalawi. Lol!

Nyie kumbe ni wamalawi. Muondoke baba yenu anawaita kule
 
Yupo sahihi, huoni hata tabia za watu wa huko, hiyo mikao ipo Tanzania lakini tabia zao ni za watu wa Malawi kabisa...


Cc: Mahondaw
Kwa hiyo bukoba,Mara,Tunduma,Mtwara,karagwe zihamie Rwanda,Burundi,Uganda,Kenya,Msumbiji na Zambia kwa watu wanashabihiana na wa nchi jirani.Sometimes kumbe historia ni somo muhimu sana.
 
Sisi ambao tuko mipakani karibu na Malawi ikitokea tukapiga kura ya kuwa sehemu ya Malawi hatukatai.Malawi kunamifumo mizuri ya kielimu,kiuchumi , kibiashara na,kijamii kuliko Tanzania.
Hamia huko. Acha kufananisha nchi maskini kama Malawi na Tanzania. Malawi ni nchi maskini kupindukia. Walipatwa na janga la mafuriko kumbe hata helikopta za kutosha hawana ikabidi wasaidiwe na Zambia. Kwa sasa jirani aliyetuzidi maendeleo ni Kenya tu. Zambia, Malawi, Burundi, Uganda, Rwanda,DRC na Msumbiji hawatuambii chochote.
 
Yupo sahihi, huoni hata tabia za watu wa huko, hiyo mikao ipo Tanzania lakini tabia zao ni za watu wa Malawi kabisa...


Cc: Mahondaw

Mipaka ya ukoloni haikuangaliq setup ya makabila ya eneo husika. Ukienda kaskazini kuna masai wa Kenya na Tanzania, jaluo hivyo hivyo. Kusini utakuta Makonde wa Msumbiji na Tanzania. Yaani hivyo
 
Ngoja waje...Tanzania tumekuwa shamba la bibi, ziwa nyasa hilo linakwenda, ziwa victoria tayari tumepigwa pini, Bagamoyo nayo Zanzibar wanaivutia pumzi waibebe...Bandari,mito na maziwa makuu tumekabizi Dipiiweldi, Mbuga zote na Misitu , tumekabizi kwa waarabu, Madini na Gesi tumekabizi kwa Mchina na Mzungu wanajichotea wanavyotaka...Mwisho wa siku tumebaki na Pumbu tu Mazafanta, #Tusi
Mkuu umetoka nje ya mada. Kaa kimya ili watu wasijue UJINGA wako
 
Kuna vyakula binadamu akila vinavia kwenye ubongo ndo mtu anajiamini mdomoni na kuropoka lolote ila akijaribu kutenda anatapishwa chakula chote akili inarudi sawa.
 
Nyie kumbe ni wamalawi. Muondoke baba yenu anawaita kule
Baba yetu alikuwa anaongea akiwa hangover, hajitambui. Alikuwa anatafuta bifu asiloliweza.

Mimi Mkimbu wa Kambikatoto nawezaje kuwa Mmalawi? Wakimbu Ni jamii ambayo imesambaa hadi Tabora (Sikonge, Mirambo, hadi Igunga Wapo). Singida pia Wapo (Wilaya ya Manyoni).
Reference: Wakimbu - Wikipedia, kamusi elezo huru
 
Sisi ambao tuko mipakani karibu na Malawi ikitokea tukapiga kura ya kuwa sehemu ya Malawi hatukatai.Malawi kunamifumo mizuri ya kielimu,kiuchumi , kibiashara na,kijamii kuliko Tanzania.
Kwanini sasa ma houseboy na mashamba boy wote Dar es Salaam ni waMalawi? Kwa mishahara kuazia Tsh 60,000 hadi Tsh 200,000 ?

Hakuna nchi ina umaskini uliotopea kama Malawi. Hamia tu Bwana Sappire wala usisubiri kura
 
Hii kitu iliwahi ongelewa humu miaka ya nyuma ni kama ramani ilichezeshwa mahali.

Iliwahi tokea hadi hiyo mipaka ikawa inalindwa muda wote.

Hata sasa najua wapo wanajeshi wetu muda wote wanalinda huo mpaka.

Ila, nakuapia akikomaa mpaka utasogezwa, note me.
Never.
 
Back
Top Bottom