Maswi tena!
Mliomchagua Kikwete mmetuponza sana watanzania.
Nakiri kumtopenda huyu raisi kwa kiwango cha juu sana.
Akina Lowassa na Kingunge ndo walimpugania Jk na 2010 Hamis Mgeja ndo alitumwa kumlipia Fedha za Form za Urais Ndugu Jk kwa ushauri wa kingunge na Lowassa unasemaje?