Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Marekani wamefanya ufyongo mwingi na kuvurunda sana uchaguzi wao huu, asikwambie mtu. Pole sana. Kila ulichokitaja negative kinasadifu US maradufu. Umefumba macho nini???Baiden hana NECCCM Tumeccm wakurugenziccm Polisiccm yeye alikuwa chama cha upinzani, uchaguzi wa America ni tofauti na uchaguzi wa Tanzania kwani uchaguzi wa Tanzania ni Analogia na uchaguzi wa America ni Digital, malalamiko ya Trump hayana polis kuua watu kama ilivyokuwa kwa Zanzibar wala wabunge wa upinzani kukamatwa na Polisi siku ya uchaguzi, hawana malalamiko ya mawakala kutolewa nje kukamatwa kunyanyaswa na polis acha kufananisha manyanyaso ya Polisiccm na huko America
Bado hawafai ule ukamilifu mliowapa baada ya nyinyi kushindwa.Kwahiyo madai ya Trump kuhusu wizi wa kura unayazungumziaje..?Baiden hana NECCCM Tumeccm wakurugenziccm Polisiccm yeye alikuwa chama cha upinzani, uchaguzi wa America ni tofauti na uchaguzi wa Tanzania kwani uchaguzi wa Tanzania ni Analogia na uchaguzi wa America ni Digital, malalamiko ya Trump hayana polis kuua watu kama ilivyokuwa kwa Zanzibar wala wabunge wa upinzani kukamatwa na Polisi siku ya uchaguzi, hawana malalamiko ya mawakala kutolewa nje kukamatwa kunyanyaswa na polis acha kufananisha manyanyaso ya Polisiccm na huko America
Marekani hakuna cha polisi kuwakamata mawakala wagombea Ubunge kufukuza watu kulinda kura zao, uchaguzi wao upo kivingine hata kama kuna dosari si kama mapungufu ya uchaguzi magumashi wa TanzaniaMarekani wamefanya ufyongo mwingi na kuvurunda sana uchaguzi wao huu, asikwambie mtu. Pole sana. Kila ulichokitaja negative kinasadifu US maradufu. Umefumba macho nini???
Nyie watu tumeshawachoka maneno yenu mtandaoni..! Mbona kila mnachomwombea mnakwama..!? Tushawachookaaa...! Jifunzeni..!Anaiogopa Dar, hata Mange alipoitisha maandamano alijificha Dodoma.
Wizi wa huko hauna polis kuua watu Zanzibar wala polis kukamata wagombea ubunge mawakala siku ya uchaguzi kama Tanzania, wizi wa Tanzania ni wa wazi hata kipofu kaonaBado hawafai ule ukamilifu mliowapa baada ya nyinyi kushindwa.Kwahiyo madai ya Trump kuhusu wizi wa kura unayazungumziaje..?
Umewachoka na nani? Jichoke mwenyewe huko ulipoNyie watu tumeshawachoka maneno yenu mtandaoni..! Mbona kila mnachomwombea mnakwama..!? Tushawachookaaa...! Jifunzeni..!
Kimsingi siioni point yako hapa. Hoja yako ni sawa na kusema,mwanamke anaejiuza casino sio malaya,Ila yule anaejiuza mabarabarani ndo malaya.Wizi wa huko hauna polis kuua watu Zanzibar wala polis kukamata wagombea ubunge mawakala siku ya uchaguzi kama Tanzania, wizi wa Tanzania ni wa wazi hata kipofu kaona
CAG alistaafu kwa mujibu wa sheria. Trilioni 1.5 ziko well-accounted for. Uwanja wa Chato ni sehemu ya maendeleo kama ule wa Dodoma I Airport ama JNIA na KIA.Kuchapa kazi ni kuwabambikia kesi kuwapiga risasi wapinzani? Unajisikia raha sana kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge siyo? Unasikia raha kutafuna trilion 1.5 kisha kumtoa kafara CAG?
Hii nayo ni habari?!!!! Ndio zile mala MALAWI ni nchi ya kwanza, afrika kufungua ubalozi Jerusalem!!! So what?!!Rais anayeongoza muhula wa 2020 – 2025 anakuwa ni Rais wa kwanza kuapishwa katika Makao Makuu ya nchi, ambayo ni Dodoma.
Miaka ya awali marais waliokuwa wakichaguliwa katika Uchaguzi Mkuu walikuwa wakiapisha katika mji maarufu wa Kibiashara, Dar es Salaam.
Mwaka 2020, Dkt. John Magufuli katika kuapa kwa kuongoza katika muhula wake wa pili ataapa katika viwanja vya Jamhuri jijini Dodoma, Novemba 5.
Acha wivu mkuuHii nayo ni habari?!!!! Ndio zile mala MALAWI ni nchi ya kwanza, afrika kufungua ubalozi Jerusalem!!! So what?!!
Chama cha Demoghasia & Maombolezo asante sana mkuu kwa jina zuri la chama cha manyumbu!Chama cha Demoghasia & Maombolezo wakimkodi Mwasisiemu Lowassa ili awasaidie kutafuta idadi nyingi za kura ili uwepo uwezekano mkubwa wa kupata ruzuku nono, basi wanamsifia na kumsafisha na kumnasibisha; akiwa upande ule mwingine wanasusia, na kumfifisha na kumdhalilisha na kumweka kwenye "LIST OF SHAME."
Mlianza kusema hatamaliza miaka 5, baadae mkasema ataishia kuwa rais wa mhula mmojaNa ndio Rais wa kwanza hatamaliza miaka 10 katika utawala wake.
Najisi ya ikuluNi kumbumbu nzuri kuwa Rais wa kwanza kuapishwa Dodoma alikuwa ni tunda la uovu. Alipatikana kwa uchaguzi bandia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa..Ni kumbumbu nzuri kuwa Rais wa kwanza kuapishwa Dodoma alikuwa ni tunda la uovu. Alipatikana kwa uchaguzi bandia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na ndio Rais wa kwanza hatamaliza miaka 10 katika utawala wake. Tusubiri vikwazo.
Nilidhani ataanguka bafuniNa ndio Rais wa kwanza hatamaliza miaka 10 katika utawala wake. Tusubiri vikwazo.
Hapana, tunasubiri za Marekani ili tuzijumlishe zoteKwani uchaguzi ulishafanyika Tanzania?