Basi acheni kukimbilia Urais, anzeni na katiba mpya kwanzaBiden hana NEC, Tume, wakurugenzi, Polisi yeye alikuwa chama cha upinzani, uchaguzi wa America ni tofauti na uchaguzi wa Tanzania kwani uchaguzi wa Tanzania ni Analogia na uchaguzi wa America ni Digital,
Malalamiko ya Trump hayana polisi watu kama ilivyokuwa kwa Zanzibar wala wabunge wa upinzani kukamatwa na Polisi siku ya uchaguzi, hawana malalamiko ya mawakala kutolewa nje kukamatwa kunyanyaswa na polis acha kufananisha manyanyaso ya Polisi na huko America
Na ndio Rais wa kwanza hatamaliza miaka 10 katika utawala wake. Tusubiri vikwazo.
Kibaka wa wizi wa kura nae anaitwa Rais?
Kwakweli hata mimi sikumbukiKwani uchaguzi ulishafanyika Tanzania?
Daaa.hahahahaa.unasumuWatanzania wa wapi unawasemea? Labda watanzania unaoshinda nao ukivuta Bangi hapo gheto kwa cyprian Musiba, kuna usaliti kama kujenga chato Airport kienyeji pasipo idhini ya bunge? Kupiga Trilion 1.5 kisha kumtoa CAG kafara? Kununua Ndege kifisadi kupiga 10% cash ? Wapi mikataba mipya ya madini?
CCM mkienda ulaya kuomba omba misaada kwa wazungu huwaita wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa ujinga upumbavu dhuluma uonevu mateso ya CCM kwa wapinzani hugeuka na kuwaita wanaume wenzenu mabeberu utazani nyinyi CCM ni mbuzi jike.
HaahahahahahhaNa kupitia uchaguzi huu huenda watanzania wengi wakawa wapagani au watoro kwenye nyumba za ibada kutokana na kupungukiwa imani kwa viongozi wa Dini Tanzania
Kamandiohivyo.bc.ccm.itaendeleakubaki.madarakani.mm.sikujua.kamatanzania.wajinga.kamanyinyi.badompo.CAG alistaafu kwa mujibu wa sheria. Trilioni 1.5 ziko well-accounted for. Uwanja wa Chato ni sehemu ya maendeleo kama ule wa Dodoma I Airport ama JNIA na KIA.
Wenye kesi mahakamani ni wale mafisadi, wauzaji wa madawa ya kulevya, na wahujumu uchumi mliozunguka Tanzania nzima mkidai mngeshika dola wakati uleee eti mngeanzisha mahakama za rushwa na uhujumu uchumi.
Au mlikuwa mnawadanganya Watanzania ili tu mpate ridhaa ya kwenda kuchota ruzuku??? Hiyo ndiyo tofauti mojawapo kubwa kati ya mchapakazi, mzalendo JPM na nyie wababaishaji. Maneno mengi, hakuna matendo.
Museven.i bwanaaaa.... Eti nikaona Haiiiiiii.. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ninajua muelekeo wa siasa wa CCM, hawa wengine sijui msimamo wao - Yoweri Kaguta Museven
Huyu ndio Museveni, kijana wa mwalim NyerereMuseven.i bwanaaaa.... Eti nikaona Haiiiiiii.. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahhahah.. Amesema amekuwa mfuasi wa Nyerere kwa zaidi ya miaka 50 na wala hajali mtu... HahhahhaHuyu ndio Museveni, kijana wa mwalim Nyerere
Maneno kuntuuuUkombozi wa Africa, Mnisamehe huwa natazama TV yenu ya tbc1, uchaguzi wa 2015 nilikua na hofu kubwa sana..... safari niliweka tbc1 nikaona HAI, majimbo mengine Newela nikashangaa.... Vijana lazima murithi uzalendo wa viongozi waliotutangulia wakina mwalimu Nyerere
Prosperity au ustawi haiwezi kutoka kwenye kuomba, inatoka kwenye uzalishaji mali wa bidhaa na huduma
Strategic security ya Africa itatoka wapi hiki ni kingine
Na Yoweri Kaguta Museven