Uchaguzi 2020 Rais kuapishwa Dodoma kwa mara ya kwanza

Basi acheni kukimbilia Urais, anzeni na katiba mpya kwanza
 
Aingie mtaani Dar kama ye kidume kweli...aje ye mwenyewe bila SMG wala makomandoo hapa Kariakoo...

Just kidding
[emoji1787][emoji1787]
 
Kwenye izo sherehe za kuapishwa Lissu kakaa upande upi hapo jukwaa kuu?
 
Huyu Gerson Msigwa ana maneno ya kike kike Sana uchaguz umeisha vijembe vya nini Sasa,huyu siku Magufuli akitoka madarakan ataishi maisha ya digidigi Sana.,maana kila saa anakazania kusema magu kashinda kwa kura nyingi sijui mabalozi wamekubali ushindi wa Magu yaan Kama anataka kuforce kuhalalisha ushind wa Magu sijui ana wasiwasi gani
 
Daaa.hahahahaa.unasumu
 
Kamandiohivyo.bc.ccm.itaendeleakubaki.madarakani.mm.sikujua.kamatanzania.wajinga.kamanyinyi.badompo.
 
Ninajua muelekeo wa siasa wa CCM, hawa wengine sijui msimamo wao - Yoweri Kaguta Museven
 
Ninajua muelekeo wa siasa wa CCM, hawa wengine sijui msimamo wao - Yoweri Kaguta Museven
Museven.i bwanaaaa.... Eti nikaona Haiiiiiii.. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ukombozi wa Africa, Mnisamehe huwa natazama TV yenu ya tbc1, uchaguzi wa 2015 nilikua na hofu kubwa sana..... safari niliweka tbc1 nikaona HAI, majimbo mengine Newela nikashangaa.... Vijana lazima murithi uzalendo wa viongozi waliotutangulia wakina mwalimu Nyerere

Prosperity au ustawi haiwezi kutoka kwenye kuomba, inatoka kwenye uzalishaji mali wa bidhaa na huduma

Strategic security ya Africa - tunatakiwa kujua hii security itatoka wapi hiki ni kingine

Na Yoweri Kaguta Museven
 
Tulipotoka kwenye mkutano wa SADC tulikubaliana hata wanawake tuoae hapa😍

Rais wa Comoro Azali Assoumani
 
Maneno kuntuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…