I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
- Thread starter
- #21
We acha tu!Hii nchi mlipa kodi ni mtumwa anatwishwa mzigo mzito sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We acha tu!Hii nchi mlipa kodi ni mtumwa anatwishwa mzigo mzito sana.
Retired kivipi, Airforce one ya USA ipo kwenye service since 1990s.Retired
nyboma siku moja aliitrack na kuleta uzi humu. Inaonekana first gentleman anaitumia kupiga misele, Zenji, Dar, mwanza na DomRetired kivipi, Airforce one ya USA ipo kwenye service since 1990s.
Ndege zinakaa muda mrefu sana ukizingatia service zake.
Jamani ndege kama hii BOEING 737-9 max ni ndege ya gharama sana achana na ununuzi wake tu bali hata maintenance pia.
Inasikitisha kuona Rais anatumia ndege hii yenye gharama kiasi hiki huku ndege ya Rais ikiwepo bado.
Sitashangaa ikipata itilafu tukaitelekeza mahali kwa sababu matumizi yake hayakuendana na faida kutokana na ubinafsi wa watu wachache.
View attachment 2914630
Inasikitisha kuona Rais anatumia ndege hii yenye gharama kiasi hiki huku ndege ya Rais ikiwepo bado.Jamani ndege kama hii BOEING 737-9 max ni ndege ya gharama sana achana na ununuzi wake tu bali hata maintenance pia.
Inasikitisha kuona Rais anatumia ndege hii yenye gharama kiasi hiki huku ndege ya Rais ikiwepo bado.
Sitashangaa ikipata itilafu tukaitelekeza mahali kwa sababu matumizi yake hayakuendana na faida kutokana na ubinafsi wa watu wachache.
View attachment 2914630
Noma mzeenyboma siku moja aliitrack na kuleta uzi humu. Inaonekana first gentleman anaitumia kupiga misele, Zenji, Dar, mwanza na Dom
Anatumia rostamHivi ile private jet ilinunuliwa wakati wa Mkapa sijui ni Gulfstream ile ipo wapi?
Inasikitisha sana.Anatumia rostam
Misafara ya viongozi wa dunia ya 3 ni mikubwa mno. Ni mzigo. Iwe angani au barabarani..Msafara wake mkubwa sana
Nilifikiri ametumia ndege ya nchi nyingine. Hayo mawazo yako ni udumavu wa fikra. Hebu watu muwe wazalendo ukampende mkuu wa nchi yako.Jamani ndege kama hii BOEING 737-9 max ni ndege ya gharama sana achana na ununuzi wake tu bali hata maintenance pia.
Inasikitisha kuona Rais anatumia ndege hii yenye gharama kiasi hiki huku ndege ya Rais ikiwepo bado.
Sitashangaa ikipata itilafu tukaitelekeza mahali kwa sababu matumizi yake hayakuendana na faida kutokana na ubinafsi wa watu wachache.
View attachment 2914630
Kulipa kodi ni wajibu wako, kutumia kodi ni haki ya SerikaliHii nchi mlipa kodi ni mtumwa anatwishwa mzigo mzito sana.
Huyo mama yenu ni mzalendo kwa nchi yake? Au kwa kuwa ni mwenyekiti wenu mnabaki kujikombakomba kwake mpate teuzi. Sikutegemea kama nawewe ni mdumavu wa fikra kama mimi tu. Karibu kundini.Nilifikiri ametumia ndege ya nchi nyingine. Hayo mawazo yako ni udumavu wa fikra. Hebu watu muwe wazalendo ukampende mkuu wa nchi yako.
si mlitaka Rais anaesafiri kufungua nchi,mnataka nini watanzania?Kwa hiyo tubaki tunangalia tu kama mawe Kodi zetu zikitumika vibaya?
Hiyo Gulfstream ni ndege ndogo ya bei ndogo tu hata Mtume na Nabii Josephat Mwingira wa Kanisa la Efatha lililoko pale Mwenge ,Dar es salaam anayo yake hiyo Gulf Stream.Akisafiri Huwa anaitumiaHivi ile private jet ilinunuliwa wakati wa Mkapa sijui ni Gulfstream ile ipo wapi?
Shida ni ndege yenye bei rahisi au inayokidhi mahitaji?Hiyo Gulfstream ni ndege ndogo ya bei ndogo tu hata Mtume na Nabii Josephat Mwingira wa Kanisa la Efatha lililoko pale Mwenge ,Dar es salaam anayo yake hiyo Gulf Stream.Akisafiri Huwa anaitumia
Bei yake ndogo ya kawaida sana
Wee dogo acha mambo ya kisoro. Weka ushahid hapa kama Rostam anatumia😡😡😡😡Anatumia rostam
Punguza ujuajiHiyo Gulfstream ni ndege ndogo ya bei ndogo tu hata Mtume na Nabii Josephat Mwingira wa Kanisa la Efatha lililoko pale Mwenge ,Dar es salaam anayo yake hiyo Gulf Stream.Akisafiri Huwa anaitumia
Bei yake ndogo ya kawaida sana