Rais kutumia ndege ya abiria badala ya ndege yake binafsi, nani mshauri wake?

Rais kutumia ndege ya abiria badala ya ndege yake binafsi, nani mshauri wake?

Hiyo Gulfstream ni ndege ndogo ya bei ndogo tu hata Mtume na Nabii Josephat Mwingira wa Kanisa la Efatha lililoko pale Mwenge ,Dar es salaam anayo yake hiyo Gulf Stream.Akisafiri Huwa anaitumia

Bei yake ndogo ya kawaida sana
Gulfstream G800 inakwenda kwa USD 72 Million, na hapo bado hujaiongezea manjonjo kuwa ya hadhi ya Raisi wa nchi. Hizo za akina Mwingira ni mitumba ya miaka ya 90, tena ni ndogo za kawaida tu.

1708782543331.png
 
Ni afadhari aendelee kutumia ndege hiyo hiyo kuliko kununua nyingine!
Kwa nini inunuliwe nyingine wakati iliishanunuliwa ndege ya Rais enzi ya Mkapa? Ile Gulfstream 550 yenye nembo ya Serikali iko wapi?
 
Shida ni ndege yenye bei rahisi au inayokidhi mahitaji?
Sidhani hata hio private jet ya huyo nabii inaifikia kwa vyovyote bei ya hio gulfstream.
Ndege ya Mtume na Nabii Mwingira Gulfstream inapita bei Hadi ya ndege ya Raisi wa Tanzania sababu ni toleo la juu kuliko ndege ya Gulfstream ya Raisi Samia

Serikali inunue ndege mpya toleo jipya la ndege ya Gulfstream ya Raisi
Imeshakuwa mtumba hiyo ndege ya Raisi wapeleke maduka ya mitumba Mwenge Dar
 
Gulfstream G800 inakwenda kwa USD 72 Million, na hapo bado hujaiongezea manjonjo kuwa ya hadhi ya Raisi wa nchi. Hizo za akina Mwingira ni mitumba ya miaka ya 90, tena ni ndogo za kawaida tu.

View attachment 2914805
Bado ni cheap USA hiyo ni ndege bei nafuu sana watu binafsi wengi USA hununua hiyo Gulfstream wako kibao sio big deal .Ni kama kwetu gari za Toyota

Mtume na Nabii Mwingira anayo mwingine Askofu wa makanisa ya kipentecoste Yuko Arusha kule alitaka Hadi kujenga Hadi Airport Kwa Gharama zake kwenye eneo lake la kutua ndege zake Gulfstream kijijini kwake mamlaka za viwanja vya ndege wakawa wanaleta ubabaishaji ndege zake akapeleka nchi zingine
 
Shida ni ndege yenye bei rahisi au inayokidhi mahitaji?
Sidhani hata hio private jet ya huyo nabii inaifikia kwa vyovyote bei ya hio gulfstream.
Ndege ya Mtume na Nabii Mwingira wa pale Mwenge Dar es salaam kanisa la Efatha ni Gulfstream sawa na ndege ya Raisi Samia na ni toleo jipya kuliko hiyo Gulfstream ndege ya Raisi Ikulu na Bei ya Ndege hiyo Gulfstream ya Mwingira Iko juu kuliko hiyo ndege ya Raisi Samia
 
Jamani ndege kama hii BOEING 737-9 max ni ndege ya gharama sana achana na ununuzi wake tu bali hata maintenance pia.

Inasikitisha kuona Rais anatumia ndege hii yenye gharama kiasi hiki huku ndege ya Rais ikiwepo bado.

Sitashangaa ikipata hitilafu tukaitelekeza mahali kwa sababu matumizi yake hayakuendana na faida kutokana na ubinafsi wa watu wachache.

View attachment 2914630
Atakuwa kashindilia huko akina Abdul na wengine wengi, mama huyu kama hamjui ni mama wa matumizi, si umeona saa tu millioni zaidi ya 100?!
 
Kwa nini inunuliwe nyingine wakati iliishanunuliwa ndege ya Rais enzi ya Mkapa? Ile Gulfstream 550 yenye nembo ya Serikali iko wapi?
Hivi ile ndege bado ipo?
Nina mashaka ilishakuwa grounded!
 
Ana shida gani wakati pesa ipo,ndo matumizi ya Kodi hayo
 
Jamani ndege kama hii BOEING 737-9 max ni ndege ya gharama sana achana na ununuzi wake tu bali hata maintenance pia.

Inasikitisha kuona Rais anatumia ndege hii yenye gharama kiasi hiki huku ndege ya Rais ikiwepo bado.

Sitashangaa ikipata hitilafu tukaitelekeza mahali kwa sababu matumizi yake hayakuendana na faida kutokana na ubinafsi wa watu wachache.

View attachment 2914630
Amewnda na ukoo wake hasa wajukuu
 
Jamani ndege kama hii BOEING 737-9 max ni ndege ya gharama sana achana na ununuzi wake tu bali hata maintenance pia.

Inasikitisha kuona Rais anatumia ndege hii yenye gharama kiasi hiki huku ndege ya Rais ikiwepo bado.

Sitashangaa ikipata hitilafu tukaitelekeza mahali kwa sababu matumizi yake hayakuendana na faida kutokana na ubinafsi wa watu wachache.

View attachment 2914630
Washauri wake ndio wale wale wa siku zote
SERIKALI IMEBANA MATUMIZI
 
Nadhani ni bora atumie hizo za ATCL, kuliko kuanza kununua ndege mpy za viongozi. Maana sasa wameshapitisha ndege za viongozi ziongezwe; wakati Mama anakata mawingu kwa ndege ya ATCL. Sasa si itakuwa gharama mara mbili, bora tu atumie hiyo - mambo yaishe. Akiwa hana safari - ndege yetu iendelee tu kuhudumia abiria.
Ndege mpya itanunuliwa tu utake usitake unaikumbuka hii kauli ya hayati Mramba? Kuwa "ndege ya Rais lazima inunuliwe hata kama Watanzania ikinunuliwa watakula nyasi"
 
Jamani ndege kama hii BOEING 737-9 max ni ndege ya gharama sana achana na ununuzi wake tu bali hata maintenance pia.

Inasikitisha kuona Rais anatumia ndege hii yenye gharama kiasi hiki huku ndege ya Rais ikiwepo bado.

Sitashangaa ikipata hitilafu tukaitelekeza mahali kwa sababu matumizi yake hayakuendana na faida kutokana na ubinafsi wa watu wachache.

View attachment 2914630
Huyu Mama ana mambo mengi sana ya kujifunza kwa Rais wa Zambia Comrade HH.
 
Back
Top Bottom