Huu ni upumbavu, Rais lazima asaidiwe na wasaidizi wake.....kauli zake za siku hizi hata chekechea anashangaa. Kuwekeana masharti mtu anatafuta maisha yake ni ujinga, ajirini wengine wapo mtaani kibao tu...........what if alijisomesha mwenyewe hakutumia huu mkopo ambao umeturudisha kwenye Ukoloni aliopambana nao Nyerere.
Last
BoldItalicMore options…
Insert linkInsert imageMore options…
UndoMore options…
Preview
Font sizeText colorFont familyListAlignment
- Align left
- Align center
- Align right
- Justify text
Paragraph formatStrike-throughUnderlineInline spoilerInline code
SmiliesQuoteMediaInsert tableInsert horizontal lineSpoilerCodeSubscriptSuperscript
RedoToggle BB codeRemove formattingDrafts
Huu ni upumbavu, Rais lazima asaidiwe na wasaidizi wake.....kauli zake za siku hizi hata chekechea anashangaa. Kuwekeana masharti mtu anatafuta maisha yake ni ujinga, ajirini wengine wapo mtaani kibao tu...........what if alijisomesha mwenyewe hakutumia huu mkopo ambao umeturudisha kwenye Ukoloni aliopambana nao Nyerere.
Vilevile hatakama alikopeshwa na serikali, je masharti ya mkopo ni lazima afanye kazi serikalini? Mbona hata akiwa hospitali binafsi anahudumia Watanzania? Anachotakiwa rais kufanya ni kuboresha maslahi ya watumishi wa umma, na sio kuwatumikisha kwa nguvu na kuwazuia kufuata fursa nyingine wanazoona zinaweza kuinua maisha yao. Yeye alipoacha ualimu akagombea ubunge, kama angezuiwa, leo angekua ikulu? Asijisahau sana alikotoka. Hata alipokua waziri ktk serikali ya JK, alifanya makosa madogo madogo kibinadamu, ila rais hakumfukuza kama yeye anavodhalilisha watumishi kipindi hiki. Alimpa nafasi ya kujirekebisha. Hapa sisemi alee uzembe, ila adhabu iwe kwa lengo la kumfanya mkosaji ajisahihishe na sio kumharibia maisha yeye na wategemezi wake. Hapa watakuja wale wanaosifu kila kauli ya kiongozi bila kuitafakari. Fikiri hivi: Wewe ni daktari una watoto wanadona sekondari na vyuo na a mikopo wamenyimwa. Unalipwa na serikali labda sh. 2m/= p.m. Kisha unapata ajira sekta binafsi kwa mshahara labda 3.5m/= p.m., ukiamua kwenda huko kosa lako ni lipi? Na ile hospitali binafsi inayokuajiri ina kosa gani? Hivi siku hizi ukiwa mtumishi wa serikali huna tena uhuru wa kuacha kazi ukitaka?
Post reply
Attach files
Similar Discussions
Share
N
Edit
Senior Member
Messages
146Reaction score
106Trophy points
250
WHO WE ARE
JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.
You are always welcome!
Read more...
WHERE ARE WE?
We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.
For anything related to this site please Contact us.
Contact us now...
DISCLAIMER
JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..
Read more...
FORUM RULES
JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.
You MUST read them and comply accordingly.
Read more...
PRIVACY POLICY
We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.
Read our Privacy Policy.
Proceed here...
Rais Magufuli ameagiza Madaktari waliohama Hospitali ya Rufaa mkoani Tabora kwenda Hospitali binafsi kwa kigezo cha maslahi wafuatiliwe | JamiiForums
There are more posts to display.
View them?
[IMG alt="Kazitunayo"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/133/133997.jpg?1470343916[/IMG]
JF-Expert Member
Mi 5 tena
Azim Sokoine said:
Kwa sasa nchi imekua ngumu sana aisee
Thanks Quote Reply
Report
[IMG alt="Lambardi"]https://www.jamiiforums.com/data/avatars/m/9/9121.jpg?1207579794[/IMG]
JF-Expert Member
Mitano tena .....awamu mwisho mtajuta
Thanks Quote Reply
Report
N
Senior Member
Chukwuemeka Takpo said:
Huu ni upumbavu, Rais lazima asaidiwe na wasaidizi wake.....kauli zake za siku hizi hata chekechea anashangaa. Kuwekeana masharti mtu anatafuta maisha yake ni ujinga, ajirini wengine wapo mtaani kibao tu...........what if alijisomesha mwenyewe hakutumia huu mkopo ambao umeturudisha kwenye Ukoloni aliopambana nao Nyerere.
Click to expand...
Vilevile hatakama alikopeshwa na serikali, je masharti ya mkopo ni lazima afanye kazi serikalini? Mbona hata akiwa hospitali binafsi anahudumia Watanzania? Anachotakiwa rais kufanya ni kuboresha maslahi ya watumishi wa umma, na sio kuwatumikisha kwa nguvu na kuwazuia kufuata fursa nyingine wanazoona zinaweza kuinua maisha yao. Yeye alipoacha ualimu akagombea ubunge, kama angezuiwa, leo angekua ikulu? Asijisahau sana alikotoka. Hata alipokua waziri ktk serikali ya JK, alifanya makosa madogo madogo kibinadamu, ila rais hakumfukuza kama yeye anavodhalilisha watumishi kipindi hiki. Alimpa nafasi ya kujirekebisha. Hapa sisemi alee uzembe, ila adhabu iwe kwa lengo la kumfanya mkosaji ajisahihishe na sio kumharibia maisha yeye na wategemezi wake. Hapa watakuja wale wanaosifu kila kauli ya kiongozi bila kuitafakari. Fikiri hivi: Wewe ni daktari una watoto wanasoma sekondari na vyuo na a mikopo wamenyimwa. Unalipwa na serikali labda sh. 2m/= p.m. Kisha unapata ajira sekta binafsi kwa mshahara labda 3.5m/= p.m., ukiamua kwenda huko kosa lako ni lipi? Na ile hospitali binafsi inayokuajiri ina kosa gani? Hivi siku hizi ukiwa mtumishi wa serikali huna tena uhuru wa kuacha kazi ukitaka?