Rais Magufuli aagiza Madaktari waliohama Hospitali ya Rufaa mkoani Tabora kwenda Hospitali binafsi kwa kisingizio cha maslahi wafuatiliwe

Unaifungia hospitali binafsi, hujiulizi imeajiri watu wangapi?, je ukishaifungia hao waajiriwa wa hiyo hospitali utawalipa mshahara wewe!?

Serikali yenyewe haina uwezo wakuajiri watu, sekta binafsi zinapojitahidi kuboresha huduma na kutoa ajira kwa waTz mnaziwekea vikwazo kibao.
 

Kuna watu wanatamani wengine wawe kama mbuzi zizini kwao, wakupangie nini ule uvae unywe na uende wapi! Sema basi tu!
 

Mawazo ya kipumbavu, kwani huko alipo anahudumia mawe?
 
Wewe nawe huna lolote! Bla bla tu nyingi na usukuma wako tu ndiyo unao kusumbua. Unatetea ujinga! Mnapata faida gani nyinyi washamba wa mjini na mlio na mawazo ya kimaskini kwa hizi nguvu nyingi mnazoumia kuwaonea na kuwaumiza raia wema na wasio na hatia?

Halafu unajinasibu eti umesomeshwa na Umoja wa Mataifa! Sasa mbona hujaenda kufanya kazi kwa hao watu wako wa Umoja wa Mataifa walio kusomesha?
 
Kwani wanaenda kusaidia raia wa nchi jirani?
 
Kwanini private isichukue hao?
Hilo swali lako lina majibu ndani yake lakini kumbuka hatukuzaliwa kwa ajili ya kutesena uzalendo siyo kumridhisha mkuu wa nchi,uzalendo ni kulitumikia taifa lako kwa moyo wako wote bila kinyongo chochote au maumivu kutoka taasisi yoyote iwe serikali au private sector.
 
He also left teaching and joined NCU just after university graduation!
 
JPM bado ni mtumishi wa umma, amehama idara tuu hajaenda ACT πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mtumishi namba1 wa serikali

Kwani huyo daktari amekimbia fani ya udaktari, au amehama tu toka kutibu kwenye sekta ya umma, na kwenda kutibu kutibu watanzania kupitia sekta binafsi? Ingekuwa kahama nchi na hataki kutibu watanzania hapo wangalau. Ulevi wa madaraka ni tatizo.
 
Wapinzani wametuchelewesha sana.

Kuna haja ya kufunga hospitali zote na shule zoote za binafsi.
 
Wala usihamgaike mkuu mleta mada. Wabunge wote wamechoka toka kwenye ajira zao za awali
 
JPM bado ni mtumishi wa umma, amehama idara tuu hajaenda ACT πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mtumishi namba1 wa serikali
wakati wa ukaguzi wa vyeti feki serikali kupitia waziri Kairuki ilisema wabunge, wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa, mawaziri na wote wa nyazifa za kisiasa sio watumishi wa umma hivyo wao hawakuhakikiwa,
halafu huyo daktari hana kosa basi tu ni roho mbaya za binadamu
 
Kuna tofauti kubwa kati ya kiongozi na mtawala.....
 
Hao madaktari sasa hivi wanatakiwa kujiandaa kupatiwa kesi pendwa ya "UHUJUMU UCHUMI NA UOSHAJI PESA"

Jitu halitaki kuwaongeza watu mishahara huku alitaki pia waame,hii ni roho yabkishetani kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…