Jamaa anachoweza ni usimamizi tuu , Ila Sera za uchumi jamaaa ni wa hovyo mnoo, na watanzania wasitegemee lolote Kwa huyu jamaaa...wataendelea kuwa maskini wa kutupwa kadri atakavyoendelea kuwa madarakan....
Kuajiri hatak, kuongeza mishahara hatak , wanaojaribu kujinasua anawagonga nyundo ...., Kwenye kujiajiri huko sasa utitiri wa Kodi mpaka unavuja jasho....
Na still anawatukana wahisani hadharani
View attachment 1689777
Rais Magufuli ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la magonjwa ya dharura Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tabora, akiwa katika eneo hilo ameagiza Madaktari waliohama Hospitali hiyo ya Serikali na kuhamia Hospitali binafsi kwa kigezo cha maslahi wafuatiliwe.
Rais Magufuli amenukuliwa akisema
βMadaktari wanapata mkopo 100% wakiwa Chuoni, halafu tunawapa ajira Serikalini wanakimbia kisa maslahi, si ungekimbia wakati unasoma? Hela yetu umekula halafu unakimbia kwenda Hospitali binafsi kwa kisingizio cha maslahi, ni kukosa uzalendoβ
βMtafuteni huyo Daktari aliyekimbia Hospitali ya Serikali na hiyo Hospitali binafsi aliyokimbilia, ikiwezekana tunamfungia Daktari, tunaifungia na Hospitali aliyoenda, wakati wa kusomesha hawatuchangii, tukishawasomesha wanakwenda kuwaiba, sio sawaβ
Wewe nawe huna lolote! Bla bla tu nyingi na usukuma wako tu ndiyo unao kusumbua. Unatetea ujinga! Mnapata faida gani nyinyi washamba wa mjini na mlio na mawazo ya kimaskini kwa hizi nguvu nyingi mnazoumia kuwaonea na kuwaumiza raia wema na wasio na hatia?Siyo tunakoelekea bali tangu awali ndivyo ilivyokuwa. Unasomeshwa na serikali; ukihitimu unafanya kazi serikalini au kwenye shirika la umma kufuatana na utakavyopangiwa, kwa miaka mitano kipindi ambacho kinachukuliwa kinatosha kufidia gharama za kukusomesha. Ukitaka kwenda kwinginepo kabla ya utumishi wa miaka mitano ulikopangiwa, ruksa lakini ulipe gharama za kukusomesha. Mtu 'objective' hawezi kukosoa hilo. Agizo la JPM katika bandiko hili linafuata kanuni hii.
Unamjua?Kajihalishia mkuu
Kwani wanaenda kusaidia raia wa nchi jirani?View attachment 1689777
Rais Magufuli ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la magonjwa ya dharura Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tabora, akiwa katika eneo hilo ameagiza Madaktari waliohama Hospitali hiyo ya Serikali na kuhamia Hospitali binafsi kwa kigezo cha maslahi wafuatiliwe.
Rais Magufuli amenukuliwa akisema
βMadaktari wanapata mkopo 100% wakiwa Chuoni, halafu tunawapa ajira Serikalini wanakimbia kisa maslahi, si ungekimbia wakati unasoma? Hela yetu umekula halafu unakimbia kwenda Hospitali binafsi kwa kisingizio cha maslahi, ni kukosa uzalendoβ
βMtafuteni huyo Daktari aliyekimbia Hospitali ya Serikali na hiyo Hospitali binafsi aliyokimbilia, ikiwezekana tunamfungia Daktari, tunaifungia na Hospitali aliyoenda, wakati wa kusomesha hawatuchangii, tukishawasomesha wanakwenda kuwaiba, sio sawaβ
Hilo swali lako lina majibu ndani yake lakini kumbuka hatukuzaliwa kwa ajili ya kutesena uzalendo siyo kumridhisha mkuu wa nchi,uzalendo ni kulitumikia taifa lako kwa moyo wako wote bila kinyongo chochote au maumivu kutoka taasisi yoyote iwe serikali au private sector.Kwanini private isichukue hao?
He also left teaching and joined NCU just after university graduation!View attachment 1689777
Rais Magufuli ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa jengo la magonjwa ya dharura Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Tabora, akiwa katika eneo hilo ameagiza Madaktari waliohama Hospitali hiyo ya Serikali na kuhamia Hospitali binafsi kwa kigezo cha maslahi wafuatiliwe.
Rais Magufuli amenukuliwa akisema
βMadaktari wanapata mkopo 100% wakiwa Chuoni, halafu tunawapa ajira Serikalini wanakimbia kisa maslahi, si ungekimbia wakati unasoma? Hela yetu umekula halafu unakimbia kwenda Hospitali binafsi kwa kisingizio cha maslahi, ni kukosa uzalendoβ
βMtafuteni huyo Daktari aliyekimbia Hospitali ya Serikali na hiyo Hospitali binafsi aliyokimbilia, ikiwezekana tunamfungia Daktari, tunaifungia na Hospitali aliyoenda, wakati wa kusomesha hawatuchangii, tukishawasomesha wanakwenda kuwaiba, sio sawaβ
Huo mtazamo wako wa kipumbavu sana tena sana
JPM bado ni mtumishi wa umma, amehama idara tuu hajaenda ACT πππ
Mtumishi namba1 wa serikali
Ukivut bang usiwe unakuja humu ipo siku utasema nyerere na yeye arudi kwenye ualimu
wakati wa ukaguzi wa vyeti feki serikali kupitia waziri Kairuki ilisema wabunge, wakuu wa wilaya, wakuu wa mikoa, mawaziri na wote wa nyazifa za kisiasa sio watumishi wa umma hivyo wao hawakuhakikiwa,JPM bado ni mtumishi wa umma, amehama idara tuu hajaenda ACT πππ
Mtumishi namba1 wa serikali
Kuna tofauti kubwa kati ya kiongozi na mtawala.....Kule hawatibu watu ?
Wanadaiwa ?, Wamelipa hawajalipa ?, kuliko kufungia hospital / mtu anayetibu watu pia ni rahisi sana kwenye mkataba wa mkopo waseme kwa miaka kadhaa lazima ufanye kazi ya serikali sehemu yoyote utakayopelekwa (hapo mtu anakuwa anabanwa kwa mkataba) sio aina hii ya sheria / maamuzi kutoka kwenye kinywa cha mtu