Paspii0
JF-Expert Member
- Apr 10, 2020
- 346
- 522
Unaifungia hospitali binafsi, hujiulizi imeajiri watu wangapi?, je ukishaifungia hao waajiriwa wa hiyo hospitali utawalipa mshahara wewe!?
Serikali yenyewe haina uwezo wakuajiri watu, sekta binafsi zinapojitahidi kuboresha huduma na kutoa ajira kwa waTz mnaziwekea vikwazo kibao.
Serikali yenyewe haina uwezo wakuajiri watu, sekta binafsi zinapojitahidi kuboresha huduma na kutoa ajira kwa waTz mnaziwekea vikwazo kibao.