[emoji23][emoji23][emoji23]cwt chama Cha hovyo kupita vyote hapa Tanzania"Uongozi huu wa CWT ambao unamaliza muda wake umejenga uhusiano mzuri sana na Serikali nanayoiongoza. Na hili nasema kwa Dhati bila upendeleo" Mh. Magufuli.
Walimu bana
Mkuu unaongea as if wewe ndiyo msemaji wa rais ?
Wewe hupendi?Hihihihi hiki ulichokisema ni unafiki na inaonekana hawa walimu ni makada wa CCM
Natumia mizani ya neno 'timamu' kuna mwenye akili,na mwenye akil+timamu.Unatumia mizania gani kuwa hizi ni timamu na hizi siyo timamu?
Ili ziwe timamu lazima ziwe katika kiwango gani ?Natumia mizani ya neno 'timamu' kuna mwenye akili,na mwenye akil+timamu.
Unataka umaarufu wakati sisi walimu tunaumia mnoNikuulize wewe hukufundishwa na hawa wenye kazi ya kuzimu? Yawezekanaje huna watoto na siku ukipata watoto hutawapeleka wakafundishwe na hawa waalimu unaowadharau kiasi hili na kuona heri ya muuza maembe? Kwa vile umefundishwa Sasa unajiona mjanjaa. Waalimu hawana njaa Kama unavyofikiri. Waalimu wengi Wana maisha mazuri kuliko watu wengi mitaani, wengi wamejenga nyumba zao na wana usafiri binafsi wa magari ambapo huyo muuza maembe wako unayemsifia.
Acheni kudharau waalimu na kulinganisha na watu wa ajabu ambao hata wajikusanye vipi hawawezi kumualika rais awe mgeni rasmi kwenye shughuli yao
Acheni kupinga pinga kila kitu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwe na adabu bas, mbona hivyo?Hapo yatajazana kuulizia nyongeza ya mshahara, hii kada sjui Kwa nn tu, ina member wenye low IQ sana. Bora ukauze maembe kuliko kuwa mwalimu.
Haijielewi ki vip? Fafanua!! Ukishindwa kufafanua basi ww ndiye hujielewiAnatatua matatizo ya Watanzania, hiyo kada ndio pekee isiyo jielewa kabisa
Kiwango cha utimamuIli ziwe timamu lazima ziwe katika kiwango gani ?
Unajuaje za huyu haziko timamu na za mwingine haziko timamu?Kiwango cha utimamu
Ahaaaa umenichekesha sana.mm in mwl shuleni kwangtupo walm 6 wanafn 700 drs 3 wako 155 wanakaa chini.Umekua sahihi mwanzoni ila huku mbele ukaboronga.
Dada yangu anafundisha shule ipo Mwanza. Shule nzima ina walimu sita, kuna wanafunzi wa kuanzia la kwanza mpaka la saba. Ambao jumla ni zaidi ya 250.
Hapa nimueleweshe vipi dada yangu kua serikali haiajiri kwakua hakuna nafasi?
tumekwama wapi watanania watumishi wa uma bil bila miaka mitano hata mia nyongeza ya mishahara nyie mnapongeza tuuuuu du hatariiiiHUYU RAIS WA CWT ANAVYOONGEA PUMBA TOO MUCH TALKING LAKINI ANATEMA