Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,403
- 4,373
Utaratibu upi? We ni nani unayempangia utaratibu Rais wa nchi?Kumbuka kuwa nje ya kura, Magufuli ni binadamu kama wewe na mimi, hakuzidi na wala hanizidi chochote. Aheshimu taratibu.
Sent using Jamii Forums mobile app