kantasundwa
JF-Expert Member
- May 25, 2020
- 1,548
- 2,384
Sio kweli Kama wana mahaba wamfuate nyumbani kwake Dodoma , mwambieni aache maigizoAlikuwa njiani, watu walimfuata kwa mahaba yao. Huyo ni RAIS remember hata kama kwa sasa ana cheo kingine cha mgombea.