Uchaguzi 2020 Rais Magufuli aingilia kampeni za Tundu Lissu Kazuramimba Kigoma

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli aingilia kampeni za Tundu Lissu Kazuramimba Kigoma

Uzuri wa maisha ya binadamu ni kwamba kila kitu kina mwisho, so ukifanya ubaya ukaina ni wema mbele ya jamii, kuna ujira wake pia kwa baadaye.
 
CHADEMA muwe makini yasiyojulikana yasije yakafanya yao ongezeni ulinzi imara.
 
Ni hatari Mimi sipend CCM kwa kigezo kimoja tu kwa Nini wampige Lissu risasi kwa Nini walitaka kumpoteza mwenzao ili Hali mungu akatuleta wote dunian?
Na baada ya kupigwa hizo risasi Nyalandu akajitoa kumsaidia kutafuta matibabu wakaazimia kumfukuza chamani huu si ushetani kabisa.
 
Inawezekana sana kwa wiki mbili sasa Magufuli amekuwa akihubiri ubaguzi kwenye mikutano yake huko mkoani Mara, Mwanza, kagera, Geita na Kigoma.
Tulikosea sana ila wanaopiga deals za kutesa wapinzani wanafrahi kweli hawajui kuwa hatuishi milele sifa ya mtu kufa
 
Nani wa kumfunga paka kengele? Na je wakati wa kampeni shughuli zingine zote zina simama?
 
Mambo gani ya kuvamiana kwenye kampeni sasa haya anafanya huyu magufuli?
 
Kumbuka Magufuli bado ndio rais wa nchi hii, yaani aache kutekeleza mipango ya maendeleo kwa sababu kuna mmoja anayedhani anaweza kuwa rais wa nchi anaongea matusi yake! Hell no!! lazima maisha yaendelee.
Hivi umeelewa hata kilichoandikwa hapo juu kweli?
 
In fact lisu alibugi kumfuata jpm kwa karibu hivyo,,angesubiri walau zipite siku tatu ama wiki ndo afike kigoma,,
 
Bado unajivunia hii elimu iliyoletwa kwenye majahazi isiyoweza kukupa ufahamu hata wa kuchonga meza!! unadhani wazungu kukuletea elimu ile wanakujali saana, nigger!!
Hiyo simu unayotumia si alitengeneza babu yako na neno nigger ni la kikwenu

Na walio hakiki mitaala ya kufundishia itumike ni CHADEMA na serikali yake.
 
Uzuri wa maisha ya binadamu ni kwamba kila kitu kina mwisho, so ukifanya ubaya ukaina ni wema mbele ya jamii, kuna ujira wake pia kwa baadaye.
Atalipwa sawa sawa na matendo yake
 
Hiyo simu unayotumia si alitengeneza babu yako na neno nigger ni la kikwenu

Na walio hakiki mitaala ya kufundishia itumike ni CHADEMA na serikali yake.
Uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana, huna uweze wa kufikiri nje ya hayo uliofundishwa
 
Ni hatari Mimi sipend CCM kwa kigezo kimoja tu kwa Nini wampige Lissu risasi kwa Nini walitaka kumpoteza mwenzao ili Hali mungu akatuleta wote dunian?
Ni Jambo la kukemea na kulaani kwa nguvu zote mkuu, na kiukweli ili kuondoa makandokando, Jambo hili ni vyema likachunguzwa

Lakini, si kila mwenye kushambuliwa na kupigwa risasi anaweza kuwa Raisi, Dunia hii wangelijitokeza wengi kupigwa lisasi ili wawe Marais
 
Nyie si mliikataa katiba mpya bungeni eti kisa haina serikali 3!! au mmesahau, tulieni sasa Rais anatekeleza majukumu yake
Kuikataa katiba ya chenge lilikuwa kosa kubwa sana,kulirekebisha itapita miaka 100.
 
Ni hatari Mimi sipend CCM kwa kigezo kimoja tu kwa Nini wampige Lissu risasi kwa Nini walitaka kumpoteza mwenzao ili Hali mungu akatuleta wote dunian?
Swali gumu na la akili kubwa. safi
 
Tulikosea sana ila wanaopiga deals za kutesa wapinzani wanafrahi kweli hawajui kuwa hatuishi milele sifa ya mtu kufa
Kama Magufuli ataingia tena madarakani nchi hii itakuwa kwenye wakati mgumu haijawahi kutokea.
 
Wakati Tundu Lissu akiwa uwanjani huko Kazuramimba Kigoma amepita Rais Magufuli akasimama barabarani na kufanya mkutano karibu kabisa na alipo Tundu Lissu ambapo ameahidi kutoa milioni 10 siku chache zijazo.

Kwa mujibu wa ratiba ya tume, Magufuli leo hapaswi kuwepo Kigoma kwa ajili ya kampeni.

Maswali yangu:
Rais Magufuli alidhamiria kubaki Kigoma ili kufanya haya?

Kwanini anashindwa kuheshimu demokrasia?

Je, ingekuwa ni Tundu Lissu kamfanyia hivyo nini kingetokea?

Nini dhamira yake?
kama kawaida kulia lia
kwan wewe ni tume?hujui kwamba Rais wetu jana alikua na ugeni mzito toka Burundi?
Rais wetu hatumii 'hedikopta' anaondoka mkoani kigoma kama kawaida barabarani kuna wapiga kura lazima aombe kura
Kwani Rais akifanya kampeni jirani na Tundu lissu wewe inaweza kukufanya ukamkataa lissu wako?
 
Back
Top Bottom