Uchaguzi 2020 Rais Magufuli aingilia kampeni za Tundu Lissu Kazuramimba Kigoma

Uchaguzi 2020 Rais Magufuli aingilia kampeni za Tundu Lissu Kazuramimba Kigoma

Siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati, niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia, nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga". Dkt.Magufuli
 
Wewe ndo huijui katiba.
Ukomo wa raisi na majukumu yake unaendelea mpaka Raisi mpya atakapo apishwa.
Jisomee katiba kabla ya kuropoka uji uji wa chadema.
Umeona ulivo mjinga wa kutupwa, sheria za uchaguz zinasemaje kuhusu ratiba ya wagombea, kwa tarifa yako leo hakutakiwa kuwepo apo kutokana na ratiba na sheria za tume ya uchaguzi
 
Kumbuka Magufuli bado ndio rais wa nchi hii, yaani aache kutekeleza mipango ya maendeleo kwa sababu kuna mmoja anayedhani anaweza kuwa rais wa nchi anaongea matusi yake! Hell no!! lazima maisha yaendelee.
Kiongozi nadhani inahitajika utoe ufafanuzi katika mambo matatu juu ya hiki ulicho andika.
(1) Je Magufuli anazunguuka nchi kufanya ziara za kikazi kama raisi?
(2) Je Magufuli anazunguuka nchi kufanya kampeni kwa ajili ya uchaguzi akiwa miongoni mwa wagombea na kwa ratiba na utaratibu ulio wekwa na tume ya uchaguzi?
(3) Kwa kuwa tunarajia kuchagua viongozi waadilifu, basi ni vyema ukaweka hayo matusi wanayotukana baadhi ya wagombea ili nawengine waweze kukemea na kuwachuja mapema kabla ya october 28.
 
Kwahiyo unadhani ndio imesababisha Lisu apate watu kidogo leo?
 
Mkuu hapa ndipo nilipoanza kuuchukia utawala huu. Serious kabisa walitaka kumuua binadamu mwenzao kwa sababu tu anawakosoa. Huu ni unyama...

Nikimuona Lissu anavyotembea kwa kuchechemea napata hasira sana. Yani wasitegemee kura yangu kuanzia kwa mwenyekiti wa kitongoji mpaka Rais
Alitakiwa awe amekufa kabisa ,sio kuchechemea ,msaliti hatakiwi kuishi popote pale hapa duniani
 
Kiongozi nadhani inahitajika utoe ufafanuzi katika mambo matatu juu ya hiki ulicho andika.
(1) Je Magufuli anazunguuka nchi kufanya ziara za kikazi kama raisi?
(2) Je Magufuli anazunguuka nchi kufanya kampeni kwa ajili ya uchaguzi akiwa miongoni mwa wagombea na kwa ratiba na utaratibu ulio wekwa na tume ya uchaguzi?
(3) Kwa kuwa tunarajia kuchagua viongozi waadilifu, basi ni vyema ukaweka hayo matusi wanayotukana baadhi ya wagombea ili nawengine waweze kukemea na kuwachuja mapema kabla ya october 28.
Matusi makubwa ni haya
1.Jeipiemu kujenga uwanja Chatu.
2.Ongezeko la makato ya Bodi ya Mikopo
3.Lissu akatukana tena kuwa hakuna nyongeza ya mishahara
4.Hakuishia hapo akatukana tena kuhusu serikali kuzuia fao la kujitoa.
5.Huyu mwanamatusi lissu anazidi kutukana kuhusu ukosefu wa ajira
6.Matusi yaliendelea mpka kufikia hatua ya kuhoji faida na hesabu za ndege
KWA MATUSI HAYO HAPO JUU,NASHAURI LISSU ASHITAKIWE KWA WANANCHI NA MUNGU TUONE KAMA ATAPEWA PEPO AU LAH
 
Wakati Tundu Lissu akiwa uwanjani huko Kazuramimba Kigoma amepita Rais Magufuli akasimama barabarani na kufanya mkutano karibu kabisa na alipo Tundu Lissu ambapo ameahidi kutoa milioni 10 siku chache zijazo.

Kwa mujibu wa ratiba ya tume, Magufuli leo hapaswi kuwepo Kigoma kwa ajili ya kampeni.

Maswali yangu:
Rais Magufuli alidhamiria kubaki Kigoma ili kufanya haya?

Kwanini anashindwa kuheshimu demokrasia?

Je, ingekuwa ni Tundu Lissu kamfanyia hivyo nini kingetokea?

Nini dhamira yake?
Tundu Lissu leo Kazuramimba-Uwanjani kwa mujibu wa tume
View attachment 1575244

Magufuli Leo Kazuramimba-Makao makuu ya wilaya pembezoni mwa barabara. Mkutano alioandaliwa na CCM
View attachment 1575246
Hofu ya nini bwashee?
 
Kumbuka Magufuli bado ndio rais wa nchi hii, yaani aache kutekeleza mipango ya maendeleo kwa sababu kuna mmoja anayedhani anaweza kuwa rais wa nchi anaongea matusi yake! Hell no!! lazima maisha yaendelee.
Umefikilia na kutafakar vzr hiki ulichoandika?
 
Back
Top Bottom