Mnongane
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 260
- 364
Acheni kujihami 2015 sanduku la kura ndilo lilioamua nyie mmeleta za kususa mkidhani upinzani mpo peke yenu. Na hata mwaka huu pia sanduku la kura ndilo litakaloamua na mtabaki mnalialia tu.Kwanini au mtafanya kama mlivyofanya Zanzibar 2015??
Atleast mnajua kuwa mkiacha sanduku la kura peke yake lifanye kazi,lolote linaweza kutokea!