Rais Magufuli akitembelea maeneo yenye mawe ndani ya Ikulu ya Chamwino, Dodoma


Na alivyoingilia kwenye Korosho ikawaje?
 
You are like a chichidodo, which hates faeces still feeding on maggots!. Hivi mnataka Rais afanye nini sasa you mburulas?
 

Kwahiyo ulitaka apige picha analia? Kama maisha yamekupiga ni wewe mkuu wengine tuna-dance in the rain pamoja na mzeebaba mwenyewe.
 
Bahahahaha ndio maana anang'ang'ania Magogoni kwa hiyo hapo ndio Beach?😝😝

Kuna mijusi kisukuma wanaitwa Magomamli kwa watu wengine wanawaita mijusi kafiri inapenda sana kukaa kwenye hayo mawe ajiangalie
Mijusi kafiri wakimng'ata wewe kama siyo mteule utapungukiwa nini?
 
Nimeipenda Sana hii
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…