Kila mda korona korona , wabongo ni wafata upepo SanaMkuu hapo utamuonea sasa jiwe lipo ikulu Mzee apumzike wapi sasa je angeweka na kigodoro kabisa juu ya jiwe hapo si unaona kabisa kalalia jiwe tupu sasa inaleta picha gani mbaya? Af hamna hata mbongo mmoja aliekufa kwa korona sasa shida nn
Corona....corona... ni muda wa kujitenga huuππNawaona wapinzani wanapita kwa mbali wakitafuta pa kukosoa na wasipapate,
Sent using Jamii Forums mobile app
Waziri mkuu wa Australia almanusura wananchi wamtumbue kisa picha yake ya vacation wakati nchi inahangaika na janga la moto mwezi december mwaka jana, sasa leo hii kuna janga la kidunia mtu anapost picha akiwa amelala kwenye mawe akipunga upepo hii haileti picha nzuri, kuna muda napata feeling huenda kuna watu wanafanya sabotage bila mzee baba kujielewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana kajitenga juu ya jiwe ππCorona....corona... ni muda wa kujitenga huuππ
Stone on stone?
Naona wapinzani wameamua kuwa wastaarabu.Nawaona wapinzani wanapita kwa mbali wakitafuta pa kukosoa na wasipapate,
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi na bataMzee anasahau Corona kidogo anakula bata chamwino View attachment 1397187View attachment 1397188View attachment 1397189View attachment 1397191
Sent using Jamii Forums mobile app