Rais Magufuli amchenjia Makonda?

Pesa za Tasaf, Kumbe zilikuwa zinachotwa kwa staili hiyo [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] ...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni hivi hizo pesa za TASAF ni enzi ya Mkapa,Makonda alikuwa hohehahe hivyo akasaidiwa.Hizo pesa ilikuwa ni halali kwake kabisa ukilinganisha na mission za TASAF.Akipenda atarudisha tu maana kwa sasa ana uwezo.
Makonda hakuwa Masikini, Mkuu Mwenyewe amezungumza ivyo !! Hapo pesa zilitumika vibaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makonda ni hirizi ya jiwe. Tangu lini mmiliki wa hirizi akaweza kuichenjia?

Labda aokoke kwanza.
 
Nyani Ngabu,
Ni kelele tu hakuna chochote anachoweza kumfanya huyo kijana. Yeye ataishia kwa kina Lugola na Madelu tu huyo dogo ni moto wa kuotea mbali hata wamarikani wamemshindwa. Sembuse yeye?
Yaani Marekani imshindwe makonda??!!..kuwa serious mkuu
 

Washirikina huwa hawabadilikiani. Leta story nyingine sio hii.
 
Maskini Tanzania.
Mungu ibariki Tanzania na watu wake.
Na watoto wa afrika.
 
Wakati Makonda anaongea,kabla ya Magu kuongea.Makonda alikuwa anaainisha umuhimu wa huo mfuko wa Tasaf,ndo akasema na yeye mfuko uliwahi msaidia nauli ya kwenda Dom.
Kwa hiyo arudishe kama elfu sabini hivi, au laki na kidogo kama alitumia Ndege?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…