Rais Magufuli amfukuza kazi Mtumishi wa Serikali aliyechana Juzuu Amma huko Kilosa

Rais Magufuli amfukuza kazi Mtumishi wa Serikali aliyechana Juzuu Amma huko Kilosa

Ila na hawa ndugu zetu wanadeka sana.

Hapa tumeogopa mengi.

Unaweza kukuta kichaa huyo akasababisha watu wakavaa mabomu au kuchoma makanisa.

Mpumbavu ni mpumbavu anaweza kuwa huku au kule ni kuwadhibiti mapema.

Lakini ninajiuliza kwa nini kila siku iwe kitabu hiki tu cha waislamu ndiyo mara kinachanwa mara kinachoma moto, kwa nini lakini?

mbona biblia inachanwa na hata kuchomwa moto . watu hawana shida kwa maana wanamuachia Mungu.



Ila kwa nini hikikitabu tu kiteswa mara kwa mara.
weka ushahidi hapa biblia imechanwa au kuchomwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
weka ushahidi hapa biblia imechanwa au kuchomwa
unajua sio mambo yote huwa yanatangazwa.

Mara zote inashereheshwa na wale waadhirika wenyewe.

Wakristo huwa hawana shida hata ukisema Yesu si Mungu, ukisema sijui Biblia yenu ni fake au ukisema Dini yenu ni ya uongo, huwa wapo kimya .

Iseme dini hii ya waislamu utapata shida sana.

Kwani hawa wanao tusumbua Kibiti, Tanga na Mtwara/msumbiji ni nani aliyewauudhi kama sio mambo ya kijinga kijinga tu.
 
Ila na hawa ndugu zetu wanadeka sana.

Hapa tumeogopa mengi.

Unaweza kukuta kichaa huyo akasababisha watu wakavaa mabomu au kuchoma makanisa.

Mpumbavu ni mpumbavu anaweza kuwa huku au kule ni kuwadhibiti mapema.

Lakini ninajiuliza kwa nini kila siku iwe kitabu hiki tu cha waislamu ndiyo mara kinachanwa mara kinachoma moto, kwa nini lakini?

mbona biblia inachanwa na hata kuchomwa moto . watu hawana shida kwa maana wanamuachia Mungu.



Ila kwa nini hikikitabu tu kiteswa mara kwa mara.
Mtumishi wa serikali kawa chizi rais yupo sahihi Kumtimua

"Si alikuumba kwa mfano wake simuachii Mungu "

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unajua sio mambo yote huwa yanatangazwa.

Mara zote inashereheshwa na wale waadhirika wenyewe.

Wakristo huwa hawana shida hata ukisema Yesu si Mungu, ukisema sijui Biblia yenu ni fake au ukisema Dini yenu ni ya uongo, huwa wapo kimya .

Iseme dini hii ya waislamu utapata shida sana.

Kwani hawa wanao tusumbua Kibiti, Tanga na Mtwara/msumbiji ni nani aliyewauudhi kama sio mambo ya kijinga kijinga tu.
Nabii Tito alikamatwa lakini mkuu sijui kama unakumbuka?
 
Kuna uzi ulianzishwa unasema Jafo anakurupuka sababu ni muislam.....leo hii munasema yupo sahihi.


Angesubiria hatua za kinidhamu zikamilike ili nayeye apewe haki ya kusikilizwa halafu maamuzi yafanyike,Jafo alikuwa sahihi katika hili.

Vinginevyo hio itakuwa mihemko ya kuelekea Uchaguzi.

Kwanza inahisiwa hata mtu mwenyewe hakuwa katika akili timamu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee naona anapigania dini ya bwana muddy sasa kesho tusikie eti mnabaguliwa wakati mnapiganiwa na mzee wetu huyu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nabii Tito alikamatwa lakini mkuu sijui kama unakumbuka?
Nabii tito ana matatizo yake binafsi.

Aliulizwa dini yako inaamini nini akajibu bublia.

Akaambiwa lete biblia .

Tuonyeshe wapi hayo unayosema yameandikwa ?

Akashindwa kutetea hoja akanyamazishwa.

Ila ameanza dini kuichefua serikali.
 
Rais Magufuli akiwa leo anazindua Jengo la Manispaa na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya Kigamboni amemsifu Waziri Jafo kwa kumsimamisha kazi lakini amesema yeye amemfukuza kabisa

Amesema "Juzi nilimsikia Waziri Jafo, Mtu mmoja kule Kilosa nafikiri alichana Kitabu Kitabu Kitakatifu. Nashukuru ulichukua hatua ya kumfukuza kazi. Lakini mimi namfukuza moja kwa moja muandikie barua ya kumfukuza moja kwa moja"

Ameogeza "Ashinde kesi asishinde huyo si mfanyakazi wa Serikali. Hatuwezi tukakaa na Wafanyakazi Wapumbavu. Katika Serikali hii."

Umechukua jukumo lako la kumsimamisha kazi mimi namfukuza kabisa. Akitoka huko kutumikia adhabu anende akatafute maisha.

Amemalizia "Hili nilikuwa nachomekea tu....."


Kwa taarifa zaidi, tembelea Mtumishi wa umma mbaroni kwa kuchana na kuchoma Quran, Waziri Jafo aagiza asimamishwe kazi
Nilisikia....nafikiri alichana.....Mimi namfukuza kazi!
 
Leo sheikh ponda nadhani atakua anacheka kwa furaha


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nabii tito ana matatizo yake binafsi.

Aliulizwa dini yako inaamini nini akajibu bublia.

Akaambiwa lete biblia .

Tuonyeshe wapi hayo unayosema yameandikwa ?

Akashindwa kutetea hoja akanyamazishwa.

Ila ameanza dini kuichefua serikali.
Nani alimuhoji hayo maswali?
 
Sababu ni moja ukiwa mkristo ni ngumu kuamini unachokiamini. Sasa kama una akili timamu inabidi tu ukaye kimya

Mfano:
1.kunywa lakini usilewe.
Utajuaje kua umelewa,what about dose tolerated and addiction.

2.kiongozi anayefungisha ndoa na kutatua migogoro ya ndoa ye hana mke.
Haingii akilini.

3.kitabu kimoja,wengine wanakifata na kusema kinaruhusu pombe,wengine wanasema pombe haramu.
Contradiction?

Uislam hata kama madhehebu tofauti. PRINCIPLE na RULES ni zile zile na hapo ndio msimamo unapoanzia kwa waislam. malisoka,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ILA ngoja niseme ukweli.

Kama una bunduki alafu hata mende unatamani kumpiga na bunduki.

Hata kama una madaraka makubwa hivyo. Ni haki na upo sahihi.

Ila tuanche system ifanye kazi.

Waziri husika kamsimamisha kazi, akisubiri hatua zaidi za kisheria.

Unajua huyo jamaa anaweza kuwa na kichaaa au kalukwa na akili. Na ikithibitika hivyo!


Duuuuu itakuwa matumizi mabaya ya madaraka.
 
Back
Top Bottom