Rais Magufuli amfukuza kazi Mtumishi wa Serikali aliyechana Juzuu Amma huko Kilosa

Rais Magufuli amfukuza kazi Mtumishi wa Serikali aliyechana Juzuu Amma huko Kilosa

Changamoto hata ni kuendelea kuzorota kwa utawala bora na utawala wa kufuata sheria.

Ni vizuri taratibu zingefuatwa pamoja na haki ya msingi ya kusikilizwa.

Mihemko haitatujenga kuwa wastaarabu.
 
Waislamu hawana ujinga huo wa kuchoma Biblia.Biblia haijawahi kuchwana wala kuchomwa moto,Waislamu wanaiheshimu Biblia,kuliko unavyofikiria.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Hili nakubali kina mijahidina mmoja alikuwa na biblia akiitumia kwenye mihadhara ile ya kusema Yesu si mungu .Alikuwa akienda nayo .Siku alipofariki baada ya mazishi ndugu zake wakasema hiyo Biblia wao hawaihitaji wakampa kiongozi wa msikiti yeye naye akasema haihitaji warudishieni wakristo wenyewe Wenye kitabu Chao.

Siku hiyo nikapigiwa hodi wakasema tumewaleteeni Biblia yenu, mwenyewe aliyekuwa nayo kafariki na sisi hatuihitaji na hatuwezi kuitupa au kuichoma.
Tukaichukua.
 
Agizo linavunja taratibu na sheria za ajira za umma

barua ya Jafo itasema nimeagizwa kukufukuza kazi kutokana na kitendo nilichoona umefanya kwenye clip ya mitandaoni na nimeambiwa yule wa kwenye clip ni wewe na watu wote wanasema yale makaratasi yanayomwagika ni juzuu za Kuruani!
 
Umenena kweli.Na vile vile kama ni kichaa,kwa nini asichane,vyeti vyake vya shule.
Kitendo alichokifanya huyo jamaa cha kuchana na kudhihaki kitabu cha imani ya Kidini si kitendo chakuungwa mkono na mtu yeyote mwenye akili timamu,

Kitendo hicho kinahatarisha hali ya amani na kumuhatarisha pia muhusika mwenyewe wa hilo tukio,
Kama alikua na matatizo ya akili kwanini hakuchana kitabu cha imani ya dini yake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Screenshot_20200211-124937.jpeg


ᴸᵉᵍᵉⁿᵈᵃʳʸ [emoji377]
 
Simu na kitabu ni vitu viwili tofauti.Hakuna atakayejuwa,kama ndani ya simu yako kuna maneno matakatifu au hamna.
Ivi ukichoma au isigina simu yako yenye kitabu kitakatifu ndani kwa kutumia yale yale maneno aliyekua anaongea yule bwana itakuaje!
Make nahisi alinunua kwa hela yake ile Quran.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
malisoka,
Haya maswali yangemfika aliyerekodi ile clip ndiye aliyemponza mwenzie! Maana hata wanaochukua hatua dhidi ya tukio lile mpaka sasa ni wakristo, sijui ndiyo wataovaa hayo mabomu?

Kwa kuwa ni kichaa, ameonekana hafai kuwa Mtumishi thus why kaondolewa! Hakuna Uislamu hapo

Hakuna muislam aliyepiga kelele wala kusema chochote ajabu Wakristo kama wewe ndiyo mnajitekenya na kucheka kuwa Waislam watafanya kile au vile!

Tujifunze kuvumiliana iwe mitandaoni au mitaani!
 
Usiongee Kama kuku aliyekata kichwa.tuwekee official report ya mtu aliyechana bibilia. malisoka,
 
Kwa hiyo akiwa na matatizo ya akili ndio yatamrudisha kazini???? MADHARA YA KUKARIRI HAYO
Akil yako. au umekariri msaafu tu.

Mtu yeyote akiwa kichaa, punguani, akilukwa na akili. sheria zinasema nin?

ndio maana mahakama ikidhibitisha mtuhumiwa alikuwa chizi haimfungi kama mfungwa. maana hana kosa kwa maana alitenda akiwa hana uelewa.
 
Back
Top Bottom