Rais Magufuli amfukuza kazi Mtumishi wa Serikali aliyechana Juzuu Amma huko Kilosa

Rais Magufuli amfukuza kazi Mtumishi wa Serikali aliyechana Juzuu Amma huko Kilosa

Akil yako. au umekariri msaafu tu.

Mtu yeyote akiwa kichaa, punguani, akilukwa na akili. sheria zinasema nin?

ndio maana mahakama ikidhibitisha mtuhumiwa alikuwa chizi haimfungi kama mfungwa. maana hana kosa kwa maana alitenda akiwa hana uelewa.
Basi yule hatofungwa baada ya Kuonekana na matatizo ya akili, sasa vipi kuhusu kurudi kazini?

Inamaaana unataka kutuaminisha kwamba serikali bado inapokea watu wenye matatizo ya kurukwa na akili?

MKUU TUMIA UBONGO KUJENGA HOJA, ACHA MIHEMUKO

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi yule hatofungwa baada ya Kuonekana na matatizo ya akili, sasa vipi kuhusu kurudi kazini????

Inamaaana unataka kutuaminisha kwamba serikali bado inapokea watu wenye matatizo ya kulukwa na akili???

MKUU TUMIA UBONGO KUJENGA HOJA, ACHA MIHEMUKO
Ongeza ufahamu bro.

Ugonjwa wa akili una dawa na wagonjwa wanapona.
 
Anachosema Mh Rais ni kuwa nchi yetu haina kanuni wala taratibu za kushughikikia nidhamu za watumishi wa umma. Matamko yanatosha tu. Na tuzingatie kuwa huu ni "mwaka wa posa".
 
Ila na hawa ndugu zetu wanadeka sana.

Hapa tumeogopa mengi.

Unaweza kukuta kichaa huyo akasababisha watu wakavaa mabomu au kuchoma makanisa.

Mpumbavu ni mpumbavu anaweza kuwa huku au kule ni kuwadhibiti mapema.

Lakini ninajiuliza kwa nini kila siku iwe kitabu hiki tu cha waislamu ndiyo mara kinachanwa mara kinachoma moto, kwa nini lakini?

mbona biblia inachanwa na hata kuchomwa moto . watu hawana shida kwa maana wanamuachia Mungu.



Ila kwa nini hikikitabu tu kiteswa mara kwa mara.
Toa ushahidi kuonesha kuchanwa kwa biblia ndiyo tuanzie hapo!!!!
 
Swadakta [emoji23] mi nawashangaa sana wanaojitahidi kumtetea kwa kudai hana akili timamu
Na kama hana akili kwa nini awe mtumishi wa uma? Na kwanini asingechana mafaili ya ofisini kwake?
Hoja yako bado ina mpa uhalali wa kumfukuza.

Kama hayupo timamu, atafaaje kuwa mtumishi?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na waziri wa mambo ya ndani naye achunge mdomo wake mambo ya kuita makanisa ya walokole vibanda imani na kuponda imani zao aache.Vinginevyo na yeye atamfuata huyo Afisa biashara

Imani kila mtu ahangaike na yake asiponde ya mwingine .Kama ni.kueleweshana mweleweshe yako usitukane yake.Yake mwachie mwenyewe.Wewe eleza yako akiielewa ataifuta Lakini usiitukane yake

Mwanaume kutukana mke wa mwenzio kuwa Ni Malaya hakumfanyi mke wako ambaye ni malaya kuwa sio malaya
Kila mtu ahubiri chake tu.
Nampongeza Raisi kuanza kukomesha huu upuuzi wa watu kudhalilisha imani za wengine

Wasabato na nyie jipangeni .Vinginevyo yatawakuta waelezeni waumini wenu kuwa makini
kwa lipi,wale watu ni waungwana sana wanashindana kwa hoja za maandiko, siku mkiwagusa Wasabato ndo kiyama itawakuta,Maana sasa meamuakupigana na Mungu live
 
hivi kufutwa kazi na siku ile wangetokea waislam wenye hasira kali wakamjeruhi au hata kumuua KIPI BORA?
Influenza,
Sasa akishinda kesi kwa nini afukuzwe kazi? Kwani hiyo kesi si ya yeye kujitetea kwa nini alichana Quran?

Hivi Raisi wa nchi unawezaje kusimama mbele za watu ukipromote tabia ya utawala usio wa sheria? Kule kuapa ukiwa umeshika katiba ya nchi na kuahidi kuilinda ilikuwa ni vichekesho vya Senga?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti wakristo hawana shida hata ukisema yesu si mungu .huu unafiki wenu ndio unasababisha mpaka muonekane mna roho mbaya.unazungumzia wakristo wa ulaya au hapa Tanzania.
unajua sio mambo yote huwa yanatangazwa.

Mara zote inashereheshwa na wale waadhirika wenyewe.

Wakristo huwa hawana shida hata ukisema Yesu si Mungu, ukisema sijui Biblia yenu ni fake au ukisema Dini yenu ni ya uongo, huwa wapo kimya .

Iseme dini hii ya waislamu utapata shida sana.

Kwani hawa wanao tusumbua Kibiti, Tanga na Mtwara/msumbiji ni nani aliyewauudhi kama sio mambo ya kijinga kijinga tu.
 
Eti wakristo hawana shida hata ukisema yesu si mungu .huu unafiki wenu ndio unasababisha mpaka muonekane mna roho mbaya.unazungumzia wakristo wa ulaya au hapa Tanzania.
Hapa hapa bongo.
 
Sababu ni moja ukiwa mkristo ni ngumu kuamini unachokiamini. Sasa kama una akili timamu inabidi tu ukaye kimya

Mfano:
1.kunywa lakini usilewe.
Utajuaje kua umelewa,what about dose tolerated and addiction.

2.kiongozi anayefungisha ndoa na kutatua migogoro ya ndoa ye hana mke.
Haingii akilini.

3.kitabu kimoja,wengine wanakifata na kusema kinaruhusu pombe,wengine wanasema pombe haramu.
Contradiction?

Uislam hata kama madhehebu tofauti. PRINCIPLE na RULES ni zile zile na hapo ndio msimamo unapoanzia kwa waislam. malisoka,

Sent using Jamii Forums mobile app
Alah! Kumbe!??
 
Duh ... Mungu amuondolee ujinga yule jamaa na ampe rizk nyingine.
 
Kwanza Mimi naona huyo mtu hakuichana qur ann kwani qur ann ipo vifuani kwa waislamu wenyewe. Alichokichana ni maandishi ya lugha ya kiarabu isipokua hishima ya kila mtu aheshimu kile anachokiheshimu mwenziwe usikifanyie zarau ni utovu wa nidhamu na adabu mbovu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom