Rais Magufuli amfukuza kazi Mtumishi wa Serikali aliyechana Juzuu Amma huko Kilosa

Rais Magufuli amfukuza kazi Mtumishi wa Serikali aliyechana Juzuu Amma huko Kilosa

Huu ni ujinga. Unamfukuzaje mtumishi kisa cha mambo ya dini wakati hauamini dini? Bora angefukuzwa kwa kosa lingine lakini sio hili huu ni unafiki
Screenshot_20200211-151034.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali ni watu hao hao wenye dini
Serikali sio likitu lilipo mahali tu


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Tuna Rais wa ajabu na wa hovyo haijapata kutokea ,aliyetekeleza mamlaka yake vizur hapo ni wazir wa Tamisemi tu,

Infact ,ukiangalia kwa makini Rais hawezi kumfukuza kazi mtumishi wa umma namna ile ,

Nachojua mm ni kuwa zipo idara zingefanya kazi yake kwa kuchunguza na kubaini nn hasa kilipelekea mtumishi kuchana kitabu kitukufu hadharani vile ,je Kama jamaa anamatatizo ya akili ,hvyo ni lazima mamlaka zinazohusika kufanya kazi yake ,zipo idara huko kwenye kila halmashauri ,mfano ni TSC ,ofisi ya idara yake ,ofisi ya mkurugenzi ,mkoa na hatimaye Tamisemi ambayo ipo chini ya Rais ,

Nachojua mm Rais angeshauri tu baada ya hatua hyo ,then wamuhoji kwa undani ili kubaini nn chanzo ,then ndo hatua zaidi zichukuliwe ,nachoona mm ni kuwa Rais alikuwa anatafuta cheap Popularity tu pale hamna kingine ,,
Huu ni ujinga. Unamfukuzaje mtumishi kisa cha mambo ya dini wakati hauamini dini? Bora angefukuzwa kwa kosa lingine lakini sio hili huu ni unafikiView attachment 1354492

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maadam suala limeshapelekwa mahakamani sidhani kama ilikuwa busara kuliongelea na kutoa hukumu kubwa vile! Anyway, baada ya miaka 6 hukumu ya haki itatolewa.
 
Kauli ya Mufti Mkuu kumpongeza Rais na serikali aliyoitoa leo huko Tanga kwa kuchukua hatua haraka inaweza kuchochea haki kutotendeka kwa mtuhumiwa muhusika.
Reply
Add bookmark
#151
Saturday at 8:21
Tahadhari hii niliitoa Jumamosi tarehe 8 kwenye Post ya anayetuhumiwa kuchana kitabu cha Korani anahitaji msaada wa kisheria, na haya ndiyo matokeo yake.
 
spleen, 2.kiongozi anayefungisha ndoa na kutatua migogoro ya ndoa ye hana mke. Haingii akilini.

Kwa hiyo ukitakiwa kuhukumu kesi ya wizi inabidi uwe mwizi kwanza?
 
Jukumu la Serikali ni kulinda amani na usalama wa watu na baadhi wanaovuruga amani wanajificha nyuma ya kichaka Cha dini hivyo Serikali lazima idhibiti chanzo
 
Hivi na awamu zilizopita maraiswake walikuwa wanafukuza kazi watu majukwaani au ni huyu tu mmoja mwenye mambo ya ajabu ajabu,ukimfukuza mtu kazi lazima atangaze majukwaani sijui anafanya hivi ili iweje
 
ni kweli haina dini, lakini wananchi wake wana dini hvy lazima dini ilindwe mana utakuwa umelinda dini na watu kwa wakati mmoja.
Serikali hailindi dini inawalinda wananchi bila kujali dini zao.
Nimesikia amechana kitabu cha Korani na mimi ninamfukuza kazi! Nimesikia!.......
 
Back
Top Bottom