Rais Magufuli amfukuza kazi Mtumishi wa Serikali aliyechana Juzuu Amma huko Kilosa

weka ushahidi hapa biblia imechanwa au kuchomwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
weka ushahidi hapa biblia imechanwa au kuchomwa
unajua sio mambo yote huwa yanatangazwa.

Mara zote inashereheshwa na wale waadhirika wenyewe.

Wakristo huwa hawana shida hata ukisema Yesu si Mungu, ukisema sijui Biblia yenu ni fake au ukisema Dini yenu ni ya uongo, huwa wapo kimya .

Iseme dini hii ya waislamu utapata shida sana.

Kwani hawa wanao tusumbua Kibiti, Tanga na Mtwara/msumbiji ni nani aliyewauudhi kama sio mambo ya kijinga kijinga tu.
 
Mtumishi wa serikali kawa chizi rais yupo sahihi Kumtimua

"Si alikuumba kwa mfano wake simuachii Mungu "

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nabii Tito alikamatwa lakini mkuu sijui kama unakumbuka?
 
Kuna uzi ulianzishwa unasema Jafo anakurupuka sababu ni muislam.....leo hii munasema yupo sahihi.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee naona anapigania dini ya bwana muddy sasa kesho tusikie eti mnabaguliwa wakati mnapiganiwa na mzee wetu huyu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nabii Tito alikamatwa lakini mkuu sijui kama unakumbuka?
Nabii tito ana matatizo yake binafsi.

Aliulizwa dini yako inaamini nini akajibu bublia.

Akaambiwa lete biblia .

Tuonyeshe wapi hayo unayosema yameandikwa ?

Akashindwa kutetea hoja akanyamazishwa.

Ila ameanza dini kuichefua serikali.
 
Nilisikia....nafikiri alichana.....Mimi namfukuza kazi!
 
Leo sheikh ponda nadhani atakua anacheka kwa furaha


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nabii tito ana matatizo yake binafsi.

Aliulizwa dini yako inaamini nini akajibu bublia.

Akaambiwa lete biblia .

Tuonyeshe wapi hayo unayosema yameandikwa ?

Akashindwa kutetea hoja akanyamazishwa.

Ila ameanza dini kuichefua serikali.
Nani alimuhoji hayo maswali?
 
Sababu ni moja ukiwa mkristo ni ngumu kuamini unachokiamini. Sasa kama una akili timamu inabidi tu ukaye kimya

Mfano:
1.kunywa lakini usilewe.
Utajuaje kua umelewa,what about dose tolerated and addiction.

2.kiongozi anayefungisha ndoa na kutatua migogoro ya ndoa ye hana mke.
Haingii akilini.

3.kitabu kimoja,wengine wanakifata na kusema kinaruhusu pombe,wengine wanasema pombe haramu.
Contradiction?

Uislam hata kama madhehebu tofauti. PRINCIPLE na RULES ni zile zile na hapo ndio msimamo unapoanzia kwa waislam. malisoka,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ILA ngoja niseme ukweli.

Kama una bunduki alafu hata mende unatamani kumpiga na bunduki.

Hata kama una madaraka makubwa hivyo. Ni haki na upo sahihi.

Ila tuanche system ifanye kazi.

Waziri husika kamsimamisha kazi, akisubiri hatua zaidi za kisheria.

Unajua huyo jamaa anaweza kuwa na kichaaa au kalukwa na akili. Na ikithibitika hivyo!


Duuuuu itakuwa matumizi mabaya ya madaraka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…