Rais Magufuli amfukuza kazi Mtumishi wa Serikali aliyechana Juzuu Amma huko Kilosa

Yani kuchana likitabu kuhatarishe usalama uliopo like seriously?
I guess you're whitewashed
 
Swadakta [emoji23] mi nawashangaa sana wanaojitahidi kumtetea kwa kudai hana akili timamu
Na kama hana akili kwa nini awe mtumishi wa uma? Na kwanini asingechana mafaili ya ofisini kwake?

Sent using Jamii Forums mobile app
Maswali yako ni mepesi na yana shahidi kibao, watu wanaajiriwa wakiwa hawana HIV wanaipata wakiwa tayari wameshaajiriwa.

Kazi za kijinga jinga kama hiyo waliyomfukuza (i don't offend anybody) frustration ni lazima kwanini usianze umento fresh?
 
Maswali yako ni mepesi na yana shahidi kibao, watu wanaajiriwa wakiwa hawana HIV wanaipata wakiwa tayari wameshaajiriwa.

Kazi za kijinga jinga kama hiyo waliyomfukuza (i don't offend anybody) frustration ni lazima kwanini usianze umento fresh?
Aisee wewe ni Dhaifu. Unalinganisha uchizi na HIV kweli, Are u okay up stairs au ni chuki zimekujaa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
spleen, 2.kiongozi anayefungisha ndoa na kutatua migogoro ya ndoa ye hana mke. Haingii akilini.

Kwa hiyo ukitakiwa kuhukumu kesi ya wizi inabidi uwe mwizi kwanza?
Waislamu boss hawana tofauti na wale tulioambiwa tuishi nao kwa akili
 
Tatizo ni kwamba dini moja ilianza, nyingine ikafuata huku ikiigiza mambo mengi ya dini iliyotangulia!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afisa biashara amesomea biashara ataenda mtaani kufanya biashara simple.Ila kupata ushirikiano wa kutafuta napo itamuwia vigumu kwa sababu watu watakuwa hawana imani nae.Amechezea nafasi adimu ya upigaji akabebe zege.
 
Iwe hakuwa timamu kiakili au alikuwa timamu/mlevi basi anastahili alichopewa kwasababu madhara yangeyoweza kutokea kutokana na tukio lile yangeweza kuigharimu jamii pana kwasababu ya ujinga/kutokuwa timamu kwake.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee wewe ni Dhaifu. Unalinganisha uchizi na HIV kweli, Are u okay up stairs au ni chuki zimekujaa?

Sent using Jamii Forums mobile app
You are a sorry excuse for breathing air. Are you really that stupid in real life? Energy is dead? what planet are you from?

Na kama hana akili kwa nini awe mtumishi wa uma? Na kwanini asingechana mafaili ya ofisini kwake?
hili ni swali lako na nikalijibu hivi

Watu wanaajiriwa wakiwa hawana HIV wanaipata wakiwa tayari wameshaajiriwa.

Kazi za kijinga jinga kama hiyo waliyomfukuza (i don't offend anybody) frustration ni lazima kwanini usianze umento fresh?
Nikiwa na maana hata huyu huenda kaupata uchizi ambao haujathibitika akiwa tayari kazini idiot!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…