Kiwarhoapandenga
JF-Expert Member
- Aug 10, 2019
- 2,078
- 1,805
Weee mwenyewe una uchizi wako sema umelala tu bishaBasi yule hatofungwa baada ya Kuonekana na matatizo ya akili, sasa vipi kuhusu kurudi kazini?
Inamaaana unataka kutuaminisha kwamba serikali bado inapokea watu wenye matatizo ya kurukwa na akili?
MKUU TUMIA UBONGO KUJENGA HOJA, ACHA MIHEMUKO
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app