Rais Magufuli amfukuza kazi Mtumishi wa Serikali aliyechana Juzuu Amma huko Kilosa

Rais Magufuli amfukuza kazi Mtumishi wa Serikali aliyechana Juzuu Amma huko Kilosa

Kitendo alichokifanya huyo jamaa cha kuchana na kudhihaki kitabu cha imani ya Kidini si kitendo chakuungwa mkono na mtu yeyote mwenye akili timamu,

Kitendo hicho kinahatarisha hali ya amani na kumuhatarisha pia muhusika mwenyewe wa hilo tukio,
Kama alikua na matatizo ya akili kwanini hakuchana kitabu cha imani ya dini yake?
Yani kuchana likitabu kuhatarishe usalama uliopo like seriously?
I guess you're whitewashed
 
Swadakta [emoji23] mi nawashangaa sana wanaojitahidi kumtetea kwa kudai hana akili timamu
Na kama hana akili kwa nini awe mtumishi wa uma? Na kwanini asingechana mafaili ya ofisini kwake?

Sent using Jamii Forums mobile app
Maswali yako ni mepesi na yana shahidi kibao, watu wanaajiriwa wakiwa hawana HIV wanaipata wakiwa tayari wameshaajiriwa.

Kazi za kijinga jinga kama hiyo waliyomfukuza (i don't offend anybody) frustration ni lazima kwanini usianze umento fresh?
 
Maswali yako ni mepesi na yana shahidi kibao, watu wanaajiriwa wakiwa hawana HIV wanaipata wakiwa tayari wameshaajiriwa.

Kazi za kijinga jinga kama hiyo waliyomfukuza (i don't offend anybody) frustration ni lazima kwanini usianze umento fresh?
Aisee wewe ni Dhaifu. Unalinganisha uchizi na HIV kweli, Are u okay up stairs au ni chuki zimekujaa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
spleen, 2.kiongozi anayefungisha ndoa na kutatua migogoro ya ndoa ye hana mke. Haingii akilini.

Kwa hiyo ukitakiwa kuhukumu kesi ya wizi inabidi uwe mwizi kwanza?
Waislamu boss hawana tofauti na wale tulioambiwa tuishi nao kwa akili
 
Sababu ni moja ukiwa mkristo ni ngumu kuamini unachokiamini. Sasa kama una akili timamu inabidi tu ukaye kimya

Mfano:
1.kunywa lakini usilewe.
Utajuaje kua umelewa,what about dose tolerated and addiction.

2.kiongozi anayefungisha ndoa na kutatua migogoro ya ndoa ye hana mke.
Haingii akilini.

3.kitabu kimoja,wengine wanakifata na kusema kinaruhusu pombe,wengine wanasema pombe haramu.
Contradiction?

Uislam hata kama madhehebu tofauti. PRINCIPLE na RULES ni zile zile na hapo ndio msimamo unapoanzia kwa waislam. malisoka,

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni kwamba dini moja ilianza, nyingine ikafuata huku ikiigiza mambo mengi ya dini iliyotangulia!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Afisa biashara amesomea biashara ataenda mtaani kufanya biashara simple.Ila kupata ushirikiano wa kutafuta napo itamuwia vigumu kwa sababu watu watakuwa hawana imani nae.Amechezea nafasi adimu ya upigaji akabebe zege.
 
Iwe hakuwa timamu kiakili au alikuwa timamu/mlevi basi anastahili alichopewa kwasababu madhara yangeyoweza kutokea kutokana na tukio lile yangeweza kuigharimu jamii pana kwasababu ya ujinga/kutokuwa timamu kwake.
Angesubiria hatua za kinidhamu zikamilike ili nayeye apewe haki ya kusikilizwa halafu maamuzi yafanyike,Jafo alikuwa sahihi katika hili.

Vinginevyo hio itakuwa mihemko ya kuelekea Uchaguzi.

Kwanza inahisiwa hata mtu mwenyewe hakuwa katika akili timamu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee wewe ni Dhaifu. Unalinganisha uchizi na HIV kweli, Are u okay up stairs au ni chuki zimekujaa?

Sent using Jamii Forums mobile app
You are a sorry excuse for breathing air. Are you really that stupid in real life? Energy is dead? what planet are you from?

Na kama hana akili kwa nini awe mtumishi wa uma? Na kwanini asingechana mafaili ya ofisini kwake?
hili ni swali lako na nikalijibu hivi

Watu wanaajiriwa wakiwa hawana HIV wanaipata wakiwa tayari wameshaajiriwa.

Kazi za kijinga jinga kama hiyo waliyomfukuza (i don't offend anybody) frustration ni lazima kwanini usianze umento fresh?
Nikiwa na maana hata huyu huenda kaupata uchizi ambao haujathibitika akiwa tayari kazini idiot!
 
Back
Top Bottom