Rais Magufuli amteua Asha-Rose Migiro kuwa Balozi nchini Uingereza

Mama yetu huyu anapenda sana nafasi za kuteuliwa mweee jamani, yaani yeye kusema ajaribu angalao hata kugombea ubunge wa jimbo wapi, anasubiri dezo tu jamani
Na sikia tu dezo lkn gharama yake usipime!
 
Huna lolote
Mjipange kuzungusha viouno 2020
Maana ndio mjualo
Wewe unawaza 2020 wakati wenzio wanawaza foleni zilizoanza za kununua sukari kwa mgawo?
Nchi ya viwanda sukari kwa foleni? Miezi sita tuu chali! Kila ukiuliza kitu ni eti majipu kwanza! watu watakula majipu? bilalifulu
 
Wewe unawaza 2020 wakati wenzio wanawaza foleni zilizoanza za kununua sukari kwa mgawo?
Nchi ya viwanda sukari kwa foleni? Miezi sita tuu chali! Kila ukiuliza kitu ni eti majipu kwanza! watu watakula majipu? bilalifulu
Mkuu huyo Mzuka hajitambui
 
Kutoka naibu Katibu Mkuu UN hadi kuwa balozi ni free fall. Kama sio ni kwa ajili ya njaa sidhani kama kuna motivation nyingine kwa huyo mama kukubali hiyo post. Wazo la kustaafu kwa heshima ni gumu sana kueleweka kwa hawa jamaa
Watu kama hao kustaafu sahau, hapo hata kama angepewa ukuu wa wilaya au mkoa angekimbia haraka sana kwenda huko, muda mwingine njaa.
 
Mbona hiyo nafasi ya naibu katibu mkuu wa un,hakukaa sana?je ni kitu gani kilimtoa mapema?au aliamua mwenyewe kuachia ngazi?
 
The best option was to go and lecture as UDSM....let this political ego fade. Ni muda wa kuelimisha kuliko kua balozi.
 
Kutoka naibu Katibu Mkuu UN hadi kuwa balozi ni free fall. Kama sio ni kwa ajili ya njaa sidhani kama kuna motivation nyingine kwa huyo mama kukubali hiyo post. Wazo la kustaafu kwa heshima ni gumu sana kueleweka kwa hawa jamaa
Kuna habari kuwa huyo mama hajawahi kuchaguliwa na wananchi kwenye cheo chochote, hata mjumbe wa nyumba kumi na hii inanyesha kuwa anaishi maisha ya kuvizia kama mshambuliaji
 
Mama yetu huyu anapenda sana nafasi za kuteuliwa mweee jamani, yaani yeye kusema ajaribu angalao hata kugombea ubunge wa jimbo wapi, anasubiri dezo tu jamani
Mkuu hiyo nafasi ya ubunge ni ya juu sana kwake ungesema labda ujumbe wa nyumba kumi tu au mkuu wa sungu sungu
 
It is only in africa where a person can walk 100 steps ahead and go back 150 steps and praises him/herself that he/she is improving
Mkuu mwenye njaa hachagui aina ya chakula
 
Wasaliti wenzako wanasubiri kuburuzwa kwa pilato kwa kushawishi kupewa kitu kidogo
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…