Rais Magufuli amteua Dkt. Kipilimba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS)

Rais Magufuli amteua Dkt. Kipilimba kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS)

Tujikumbushe tu kwamba upande fulani walishawahi mlalamikia. Angalia article hii ya mwaka jana wakati wa vuguvugu la kura.

MKAKATI WA KUIBA KURA WANASWA

* NEC YAHUSIHSHWA. MSIMAMIZI MKUU NI DR. MODESTUS KIPILIMBA

* ALIKUWA MTUMISHI WA BOT, AKADAGANYA KACHUKUA LIKIZO KUMBE KAENDA NEC KWA KAZI MAALUM.

Niliposikia Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wamekubali matokeo kubandikwa ukutani kwenye vituo husika, niliwaza sana ni jinsi gani CCM inanusurika. Kwa bahati nzuri imegundulikwa kwamba mchezo wote utafanyika kwenye mfumo wa ujumlishaji wa matokeo "Tallying System".

Msimamizi mkuu wa hili zoezi ni Dr. Modestus Kipilimba ambaye katoka BOT (Bank of Tanzania) na kupelekwa ofisi za NEC kwa kile kinachoitwa kazi maalum....

* Dr. Modestus Kipilimba ni nani?..... (Tuanzie hapo)...

Dr. Kipilimba alikuwa mtumishi wa BOT Miaka kadhaa iliyopita. Baada ya kuhusishwa na wizi wa mabilioni ya fedha katika taasisi hiyo alifukuzwa kazi kwa barua namba MFP/BOT/PF/24/03. Baada ya kufukuzwa kazi alikimbilia nje ya nchi (Uingereza) ambapo alienda kusoma zaidi.

Baada ya Prof. Ndulu kuwa gavana wa Bank, Ndugu Kapalimba haijulikani jinsi alivyorudi kazini. Ila ni wazi alipitia mlango wa nyuma, baada ya uongozi wa juu wa banki hiyo kupewa agizo la Dr. Kapalimba kurudishwa kazini. Dr. Kapalimba akaajiriwa tena kwa mara ya pili na kupewa cheo cha "Bank Advisor". Kwa muda mfupi akapandishwa cheo na kuwa mkurugenzi wa idara ya Risk Mgt.

Mwezi uliopita Dr. Kapalimba kwa taarifa zilizopo BOT zinaonyesha Kapalimba kachukua likizo. Ila cha kushangaza huyo bwana yupo anafanya kazi NEC na kapewa idara nyeti ndani ya kurugenzi ya IT. Na pia ni yeye aliyepewa jukumu la kupokea na kusambaza makaratasi ya kupigia kura.

Dr. Kapalimba ni mtaalamu wa IT, aliyepeta elimu hiyo nje ya nchi na ni moja wa watu wanaosifika kwa utaalam huo. Idara nyingi za serikali imekuwa ikimtumia kwa operation mbalimbali...

NB:.. Baada la hili kujulikana sasa tunaomba tume ya uchaguzi ikubali ombi la kaimu katibu mkuu wa CHADEMA, John Mnyika. La kutaka mfumo wa kujumuisha idadi za kura ukaguliwe mara moja na vyama vyoto wakiwemo CCM...

Kukagua mfumo husika ndio suluhu kwa sasa. Ila bila NEC kuruhusu hilo, bao la mkono litakuwa hapo....

SIASA LEO TZ: MKAKATI WA KUIBA KURA WANASWA
kwa utawala uliofitinika kama huu ni lazima ingekuwa hivyo kumpa mtu cheo kikubwa cha aina hiyo wakati hana moral authority kama alichangia kuiba matokeo na kuweka mtu ambaye si chaguo la wananchi sasa ataana kazi ya kuuwa watu wasiomtaka nchi hii tukilegea tumekwisha
 
Usalama wa Taifa?, mtu anatoka kokote kule! Kumbe hata huko Teuzi ni za kisaisa not weledi ..

Ajab la 8, Dunian lipatakikana TZ
Labda alikuwa TISS since the very beginning.. Huna haja ya kustaajabishwa! Idara nyeti hawaendi watu wa kuokota okota!
 
Alikuwa BOT akaondoka kwenda kusoma(kazi maalum) akarudi BOT- mkurugenzi kitengo cha maafa, akaenda tume ya uchaguzi kuwa mkurugenzi kitengo cha tehama, baadae kakaimu ukurugenzi NIDA. Leo mkurugenzi mkuu wa kitengo. Hongera kwa kazi zilizotukuka. Mliofanya nae kazi mnaweza kutushuhudia.
Hee kumbe spymaster namba mmoja kamaliza kazi aliotumwa,lo kafyeka wengi,na labda bora akalie kiti mwenyewe .
 
La
Labda alikuwa TISS since the very beginning.. Huna haja ya kustaajabishwa! Idara nyeti hawaendi watu wa kuokota okota!
Huyu Bwana alikuwa BoT, akakaenda NIDA, leo ndio kaula TISS. Hajawahi kufanya TISS kabla, he has to undergo tranining kabla ya kuchukua kiti
 
Kitu ambacho baadhi yetu tunapaswa kukifahamu ni kwamba nyuma kabisa mashirika na taasisi za umma zilianza kutumia rasilimali vibaya - sasa kitambo kidogo ili kubaini nani wanatapanya resources zetu vibaya ndiyo tiss walipelekwa kule kwanza kusimamia, kudhibiti na kuratibu mambo.

Kwa maneno machache, ni kuwa hawa TISS wako kila kona na kila taasisi na mashirika.
 
Mhm.... huyu si ndio alikuwa Mkurugenzi wa IT tume ya Taifa ya Uchaguzi....
 
Hongera kwa mteuliwa, changamoto za Idara yetu ni nyingi, ila tutumie resources zetu chache kulinda na kujenga Taifa letu.
 
Tujikumbushe tu kwamba upande fulani walishawahi mlalamikia. Angalia article hii ya mwaka jana wakati wa vuguvugu la kura.

MKAKATI WA KUIBA KURA WANASWA

* NEC YAHUSIHSHWA. MSIMAMIZI MKUU NI DR. MODESTUS KIPILIMBA

* ALIKUWA MTUMISHI WA BOT, AKADAGANYA KACHUKUA LIKIZO KUMBE KAENDA NEC KWA KAZI MAALUM.

Niliposikia Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) wamekubali matokeo kubandikwa ukutani kwenye vituo husika, niliwaza sana ni jinsi gani CCM inanusurika. Kwa bahati nzuri imegundulikwa kwamba mchezo wote utafanyika kwenye mfumo wa ujumlishaji wa matokeo "Tallying System".

Msimamizi mkuu wa hili zoezi ni Dr. Modestus Kipilimba ambaye katoka BOT (Bank of Tanzania) na kupelekwa ofisi za NEC kwa kile kinachoitwa kazi maalum....

* Dr. Modestus Kipilimba ni nani?..... (Tuanzie hapo)...

Dr. Kipilimba alikuwa mtumishi wa BOT Miaka kadhaa iliyopita. Baada ya kuhusishwa na wizi wa mabilioni ya fedha katika taasisi hiyo alifukuzwa kazi kwa barua namba MFP/BOT/PF/24/03. Baada ya kufukuzwa kazi alikimbilia nje ya nchi (Uingereza) ambapo alienda kusoma zaidi.

Baada ya Prof. Ndulu kuwa gavana wa Bank, Ndugu Kapalimba haijulikani jinsi alivyorudi kazini. Ila ni wazi alipitia mlango wa nyuma, baada ya uongozi wa juu wa banki hiyo kupewa agizo la Dr. Kapalimba kurudishwa kazini. Dr. Kapalimba akaajiriwa tena kwa mara ya pili na kupewa cheo cha "Bank Advisor". Kwa muda mfupi akapandishwa cheo na kuwa mkurugenzi wa idara ya Risk Mgt.

Mwezi uliopita Dr. Kapalimba kwa taarifa zilizopo BOT zinaonyesha Kapalimba kachukua likizo. Ila cha kushangaza huyo bwana yupo anafanya kazi NEC na kapewa idara nyeti ndani ya kurugenzi ya IT. Na pia ni yeye aliyepewa jukumu la kupokea na kusambaza makaratasi ya kupigia kura.

Dr. Kapalimba ni mtaalamu wa IT, aliyepeta elimu hiyo nje ya nchi na ni moja wa watu wanaosifika kwa utaalam huo. Idara nyingi za serikali imekuwa ikimtumia kwa operation mbalimbali...

NB:.. Baada la hili kujulikana sasa tunaomba tume ya uchaguzi ikubali ombi la kaimu katibu mkuu wa CHADEMA, John Mnyika. La kutaka mfumo wa kujumuisha idadi za kura ukaguliwe mara moja na vyama vyoto wakiwemo CCM...

Kukagua mfumo husika ndio suluhu kwa sasa. Ila bila NEC kuruhusu hilo, bao la mkono litakuwa hapo....

SIASA LEO TZ: MKAKATI WA KUIBA KURA WANASWA
Naam, nayakumbuka maneno ya hivi karibuni ya Mzee Wassira kuhusu sababu za kuzuiwa kwa UKUTA. Je kuna ukweli juu ya zile 62% za Lowassa? Maana nikitizama huu "uoga" (usiniulize wa nani) uliopo, kwa sehemu kubwa nauona kama unasababishwa na kutojiamini.
 
Mbowe ana kazi..?

Au alisha ajiriwa kokote..? Because he has no any professionalism..!! Hana hata cheti cha fani yoyote..!!
R u kidding?
IFM alikua anacheza makidamakida?
Msiwe mnaweweseka ovyo kwa msiyoyajua. Inaelekea kuna watu wanapenda sana kuongea bila kujua kitu. Mimi nimesoma naye so namjua vema.
Kwanza jiulize....hata kama hakusoma kwa mfano....hizo analysis anazofanya basi he is a genius! "Angesoma" tena ingekuwaje?
 
Huyu kapilimba ni kati ya mashushu waliobobea amekuwa akitumiwa na idara katika maeneo muhimu B O T ndio alikuwa anaisaidia idara hiyo kwa kuwapa information muhimu hasa za kupiga dili....

Hata baada ya kuondoka BOT kwenda masomoni baadae tena baada ya masomo alilejeshwa tena BOT kwa kazi maalum za kijasusi

aliondoka Bot kwa kuandika barua ya likizo akiwa likizo alisikika tena Nec hapo pia alienda kwa kazi maalum za kijasusi baada ya zoezi kukamilika la uchaguzi.......Jasusi huyo alipelekwa Nida kukaimu ukurugenzi kwa kazi maalum na mpaka hivi Jpm anamrudisha kundini Kuingoza Idara hiyo yA Usalam
Huyu ni jipu lenye usaha w a kilo mia mtu si msafi kabisa mtuhumiwa kwa kiwango kikubwa kama cha huyu mtu hawezi pewa idara nyeti kama hiyo hana intergrity katuhumiwa kuiba kura katuhumiwa kufanya biashara ovu na akina Lugumi halafu unampa kitengo nyeti kama hicho halafu Magufuli anadanganya umma eti anatetea watu anyone kweli serikali ya CCM ni ya mafisadi mwendo mzima
 
Back
Top Bottom