Polisi wa Tanzania wanafaidika na nini kuchukua taarifa za ajali barabarani na vifo vilivyotokea.Umeongea vizuri sana kuwa kirusi kina'mutate'! Sasa niambie unafaidika na nini kufanya massive testing kwa nchi nzima, wakati huohuo unajua 'mutation' inaendelea na pia unapomaliza kumpima mtu akiwa -ve leo unampleka mwezini ili asijeambukizwa? Maana wengine wakati zoezi lenyewe la kupimana linaendelea nao wanaambukizwa! Nasapoti kupima wenye dalili na wasafiri cross country! Lakini watu wote, hapana mkuu ni kupanicshana tu!
Sent using Jamii Forums mobile app