Rais Magufuli ataja sababu kusitisha ujenzi bandari ya Bagamoyo kwa Mkopo wa Dola Bilioni 10

Rais Magufuli ataja sababu kusitisha ujenzi bandari ya Bagamoyo kwa Mkopo wa Dola Bilioni 10

Kalamu1 ndugu yangu bandari ya Bagamoyo ni uwekezaji wa hovyo kuliko uwekezaji mwingine wowote wa hovyo uliofanyika katika nchi yetu. Ni bora hilo eneo litumike kwa kilimo (kama linafaa kuliko kuwapa hao wachina. Wachina hawaji kucheza makida na wana mkakati mkali sana. Mradi ukiendelea kuna uwezekano mkubwa kabisa vizazi vijavyo vikajaanzisha vita vya kumuondoa mchina. Ni hatari kubwa kabisa kuikabidhi nchi nyingine lango la bandari ya nchi walimiliki. Watafanya chochote wanachotaka, wataingiza na kutoa chochote wanachotaka bila wa kuwauliza. Hata mimi Magufuli bado nasema alikuwa rais mbovu sana lakini kwenye hili la bandari alikuwa sahihi kabisa. Samia anahaha usiku na mchana ili ijengwe lakini atakuja kuingia kwenye rekodi kama rais aliyeuza nchi yetu. Najua wachina wanamwaga fedha nyingi sana kwa kila mtu anayeonekana ni kikwazo kwa sababu wanajua watapakuja kupata faidi kubwa na muda mrefu. Hili jambo linatakiwa lipinngwe kwa nguvu zote.
Mkuu Nikuulize swali, je umewahi kuuona huo mkataba? Mimi wote nawaona wehu tu si kikwete si ******** si samia mi nachotaka mkataba uwekwe wazi wananchi tuuone, tuusome na tuuelewe ili tujue kama unafaa ama la.
 
Mkuu Nikuulize swali, je umewahi kuuona huo mkataba? Mimi wote nawaona wehu tu si kikwete si ******** si samia mi nachotaka mkataba uwekwe wazi wananchi tuuone, tuusome na tuuelewe ili tujue kama unafaa ama la.
Huhitaji kuona mkataba ili ujue madhara ya kuipa nchi nyingine bandari (lango kuu) la nchi yako walimiliki. Huhitaji kuona mkataba ili ujue kuwa hiyo bandari siyo muhimu kwa sababu tayari tuna bandari ambazo tunaweza kuziendeleza kwa gharama ndogo, iliyo kwenye uwezo wetu, na zikakidhi mahitaji yetu.
 
Huhitaji kuona mkataba ili ujue madhara ya kuipa nchi nyingine bandari (lango kuu) la nchi yako walimiliki. Huhitaji kuona mkataba ili ujue kuwa hiyo bandari siyo muhimu kwa sababu tayari tuna bandari ambazo tunaweza kuziendeleza kwa gharama ndogo, iliyo kwenye uwezo wetu, na zikakidhi mahitaji yetu.
Basi kwa maneno yako hayo niishie hapa maana nimeshakujua wewe ni mtu wa namna gani, uwe na jioni njema.
 
Huelewek unasimamia wapi
Unasema kweli, au unategemea niseme kwamba naunga mkono kila jambo alilokuwa akilisema Magufuli?
Kamwe siwezi kusema hivyo, kwa sababu mapungufu yake yalikuwa ni makubwa sana, kiasi cha kuharibu hata yale niliyoona ni mazuri akiyasimamia.
Na kama wewe upo upande wa 'Maza Mizinguo' na genge lake la wapigaji, akina Januari, Zitto na wengine, wanaofanya kila jitihada sasa za kunadisha kila mradi tunaotegemea utuletee manufaa kwa shibe zao, tambua kwamba hutanisikia nikifanya hivyo.

Unataka kujua ninaposimamia? Ninasimamia katika maslahi ya Tanzania na wananchi wake, basi.
 
Kalamu1 ndugu yangu bandari ya Bagamoyo ni uwekezaji wa hovyo kuliko uwekezaji mwingine wowote wa hovyo uliofanyika katika nchi yetu. Ni bora hilo eneo litumike kwa kilimo (kama linafaa kuliko kuwapa hao wachina. Wachina hawaji kucheza makida na wana mkakati mkali sana. Mradi ukiendelea kuna uwezekano mkubwa kabisa vizazi vijavyo vikajaanzisha vita vya kumuondoa mchina. Ni hatari kubwa kabisa kuikabidhi nchi nyingine lango la bandari ya nchi walimiliki. Watafanya chochote wanachotaka, wataingiza na kutoa chochote wanachotaka bila wa kuwauliza. Hata mimi Magufuli bado nasema alikuwa rais mbovu sana lakini kwenye hili la bandari alikuwa sahihi kabisa. Samia anahaha usiku na mchana ili ijengwe lakini atakuja kuingia kwenye rekodi kama rais aliyeuza nchi yetu. Najua wachina wanamwaga fedha nyingi sana kwa kila mtu anayeonekana ni kikwazo kwa sababu wanajua watapakuja kupata faidi kubwa na muda mrefu. Hili jambo linatakiwa lipinngwe kwa nguvu zote.
Kwa sehemu kubwa sana tunakubaliana kati yako na mimi.
Mimi naamini kabisa kwamba bandari ya Bagamoyo ni muhimu sana kwa Tanzania, tatizo pekee lililopo ni, je, itajengwa vipi, na nani na kwa masharti gani.

Kenya wameanza ujenzi wa bandari yao ya Lamu, wao wenyewe. Tayari ghati tatu zitakuwepo pale. Hiyo ni bandari yao. Uwekezaji mwingine wa ziada katika eneo hilo wa miradi mbalimbali, huko wanaalika wawekezaji. Sisi hapa tumekomalia waChina wajenge, kwa masharti magumu wanayotupa sisi. Hapo ndipo penye tatizo.

Nilishauliza humu JF mara kadhaa, lakini sijawahi kujibiwa. Hivi haiwezekani mradi huo wa Bagamoyo ikawa 'Joint Venture' kati yetu na wawekezaji, huku mradi ukiwa bado ni wa Tanzania? Mbona bomba la mafuta ya Uganda tuna umiliki kule, kwa nini isiwezekane kwenye mradi huu wa Bagamoyo.

Niseme wazi, kama wewe ulivyo na wasiwasi na Mchina, nami nina wasiwasi mkubwa sana juu yake. Huyu ndiye anayekuja kuwa mkuu wa mabepari duniani kote, tena anakiu kubwa sana, ukichukulia na wingi wa wananchi wake. Mahusiano ya huyu na nchi atakazokuwa ameziingilia utakuwa ni tofauti sana na hawa mabepari tuliowazoea kwa miaka mingi.

Samia lazima awe makini sana, vinginevyo ninakubaliana na uliyoandika juu yake.
 
Mkuu Nikuulize swali, je umewahi kuuona huo mkataba? Mimi wote nawaona wehu tu si kikwete si ******** si samia mi nachotaka mkataba uwekwe wazi wananchi tuuone, tuusome na tuuelewe ili tujue kama unafaa ama la.

Na Ukiwekwa wazi Utaujuaje kama Ndio wenyewe?[emoji3516][emoji851][emoji851][emoji41]
 
Kwa sehemu kubwa sana tunakubaliana kati yako na mimi.
Mimi naamini kabisa kwamba bandari ya Bagamoyo ni muhimu sana kwa Tanzania, tatizo pekee lililopo ni, je, itajengwa vipi, na nani na kwa masharti gani.

Kenya wameanza ujenzi wa bandari yao ya Lamu, wao wenyewe. Tayari ghati tatu zitakuwepo pale. Hiyo ni bandari yao. Uwekezaji mwingine wa ziada katika eneo hilo wa miradi mbalimbali, huko wanaalika wawekezaji. Sisi hapa tumekomalia waChina wajenge, kwa masharti magumu wanayotupa sisi. Hapo ndipo penye tatizo.

Nilishauliza humu JF mara kadhaa, lakini sijawahi kujibiwa. Hivi haiwezekani mradi huo wa Bagamoyo ikawa 'Joint Venture' kati yetu na wawekezaji, huku mradi ukiwa bado ni wa Tanzania? Mbona bomba la mafuta ya Uganda tuna umiliki kule, kwa nini isiwezekane kwenye mradi huu wa Bagamoyo.

Niseme wazi, kama wewe ulivyo na wasiwasi na Mchina, nami nina wasiwasi mkubwa sana juu yake. Huyu ndiye anayekuja kuwa mkuu wa mabepari duniani kote, tena anakiu kubwa sana, ukichukulia na wingi wa wananchi wake. Mahusiano ya huyu na nchi atakazokuwa ameziingilia utakuwa ni tofauti sana na hawa mabepari tuliowazoea kwa miaka mingi.
Excellent! Wala sitakupinga. Ila nakuhakikishia (may be I am wrong) lakini wachina hawatakubali unacho-suggest. Wao lengo lau ni wamiliki hiyo bandari. Wanajua ikiwa yao hata kwa miaka 50 tu basi watakuwa wamefanya mengi. Hebu tuone mambo yatakavyokwenda.
 
Kwa sehemu kubwa sana tunakubaliana kati yako na mimi.
Mimi naamini kabisa kwamba bandari ya Bagamoyo ni muhimu sana kwa Tanzania, tatizo pekee lililopo ni, je, itajengwa vipi, na nani na kwa masharti gani.

Kenya wameanza ujenzi wa bandari yao ya Lamu, wao wenyewe. Tayari ghati tatu zitakuwepo pale. Hiyo ni bandari yao. Uwekezaji mwingine wa ziada katika eneo hilo wa miradi mbalimbali, huko wanaalika wawekezaji. Sisi hapa tumekomalia waChina wajenge, kwa masharti magumu wanayotupa sisi. Hapo ndipo penye tatizo.

Nilishauliza humu JF mara kadhaa, lakini sijawahi kujibiwa. Hivi haiwezekani mradi huo wa Bagamoyo ikawa 'Joint Venture' kati yetu na wawekezaji, huku mradi ukiwa bado ni wa Tanzania? Mbona bomba la mafuta ya Uganda tuna umiliki kule, kwa nini isiwezekane kwenye mradi huu wa Bagamoyo.

Niseme wazi, kama wewe ulivyo na wasiwasi na Mchina, nami nina wasiwasi mkubwa sana juu yake. Huyu ndiye anayekuja kuwa mkuu wa mabepari duniani kote, tena anakiu kubwa sana, ukichukulia na wingi wa wananchi wake. Mahusiano ya huyu na nchi atakazokuwa ameziingilia utakuwa ni tofauti sana na hawa mabepari tuliowazoea kwa miaka mingi.

Mchina Hajawahi Kuwa Mzuri Kamwe Kwa Vyovyote vile...Bora Mzungu Tuu...
Marekani,Germany,Nk nk!
Mkuu nakushauri Kwa moyo wa Dhati tuu.Muombe tuu MUNGU sababu Huna uwezo wa Kufanya/Kubadilisha Chochote,Mimi na Wewe hatujui kilichomo,
Mkuu Kama Hatuna Hela ya Uwekezaji je?
PPP.
Mi Nimemuachia MUNGU
 
Magufuli hakuwa muongo.
Mfumo wetu wa Nchi unavyoendeshwa umekaa kiuongo.
Mfano;
Vichwa vya tren kupatikana bandarini bila mwenyewe inaweza kukuingia akilini kweli.
Kuchepusha mafuta yasipite kwenye flow ni uongo huo siyo mfumo wetu mbovu.
Waziri anatoa tamko linalochonganisha na Rais huku usalama wapo,si mfumo mbovu.
 
Mchina Hajawahi Kuwa Mzuri Kamwe Kwa Vyovyote vile...Bora Mzungu Tuu...
Marekani,Germany,Nk nk!
Mkuu nakushauri Kwa moyo wa Dhati tuu.Muombe tuu MUNGU sababu Huna uwezo wa Kufanya/Kubadilisha Chochote,Mimi na Wewe hatujui kilichomo,
Mkuu Kama Hatuna Hela ya Uwekezaji je?
PPP.
Mi Nimemuachia MUNGU
Ume usoma mkataba? Mara nyingi kama huna taarifa za kutosha hakuna haja ya kupinga kitu
 
Huyu 'Jamaa' alikuwa mwongo na muovu kwa mambo mengi; lakini huwezi ku'dismiss' kila kitu alichokisema kuwa kweli hakikuwepo kwenye mkataba huo.

Hawa wanaochochea sasa hivi bandari ijengwe kwa njia yoyote ile, hawa nao ni waovu kama huyo jamaa kwa njia zao wenyewe, kama siyo waovu zaidi ya Magufuli.

Bandari ya Bagamoyo ni muhimu sana kwa nchi hii, na ni muhimu ijengwe, lakini umuhimu huo ni lazima ulindwe kwa manufaa ya nchi yetu.
umuhumu wake ni Nini!??, miaka 100 hulambi kitu mapato yote yatakuwa Niya China,haya niambie kwa miaka yote hiyo miamoja ww utafaidika na nini,!?,labda faida ya kuona meli za kichina hapo nakubali!
 
Jiwe alikuwa na uwongo unaokaribiana na uchawi
pu......Basi ngoja ninyqmaze!! Bwawa la mwal.nyerere ambalo lilikuwa ndo mwalobaini wa umeme hapa nchini liko wapi ,nalo linasuasua ,juz wazyiri wenu akasema hakuna mtambo wa kuinulia mifuniko ya bwawa kuupachika mahala pake,si majibu ya kiwendawazimu haya,yaani wazyri mzma anaongea pumba utadhani kanywa mbege! hii nchi sijui ikoje ,imejaa mijitu ya hovyo na milafi Kama ww.mijitu inafikilia maisha ya miaka 2 au 3,haifikilia vizazi vijavyo vitakuwaje !! Kama sisi tusipojenga Sasa na kutengeneza Nani atafanya !?, wakati mwngine unaweza kumlaumu muumba ,anachukua viongozi wa maana anatuachia majanga !!daaah, halafu mijitu hii inaishi kweli
 
umuhumu wake ni Nini!??, miaka 100 hulambi kitu mapato yote yatakuwa Niya China,haya niambie kwa miaka yote hiyo miamoja ww utafaidika na nini,!?,labda faida ya kuona meli za kichina hapo nakubali!
Mkuu 'chazachaza', nisome unielewe. Naona hujaelewa ninachokieleza mimi.

Nasema hivi: Bandari ya Bagamoyo kwa Tanzania ni muhimu sana, tena sana. Sijaandika popote kwamba ni muhimu ijengwe na mchina kwa masharti anayotaka yeye.
Umuhimu wa hiyo bandari kwa Tanzania ni hapo inapokuwa na manufaa ya moja kwa moja kwa Tanzania na si vinginevyo.
 
umuhumu wake ni Nini!??, miaka 100 hulambi kitu mapato yote yatakuwa Niya China,haya niambie kwa miaka yote hiyo miamoja ww utafaidika na nini,!?,labda faida ya kuona meli za kichina hapo nakubali!
Umeyatoa wapi haya au kahawani. Huyu ni mmoja wa watanzania wanaochangaika Mada yeyote bila ya kuwa na uhakika wa anacho changia, Hatari kubwa sana
 
Nafikiri akili sasa zitatukaa vizuri. Tunaposema Katiba Mpya ni muhimu tunamaanisha.

Nchi ni lazima iwe na dira ya maendeleo na si kama hivi sasa inavyoongozwa Kwa kufuata mawazo ya mtu mmoja. Yawe mazuri au ya hovyo. Anaweza kuamua lolote bila kushauriana na yeyote yule. Mbaya zaidi hakuna chombo Chenye Mamlaka ya kuhoji.

Nije kwenye mada. Rais aliamua Bandari ijengwe. Kwa mawazo yake aliona/aliamini ina faida kubwa kwa Taifa na hata kwa mataifa jirani zetu kusini mwa nchi. Makofi alipigiwa na kupongezwa kwa moyo wake wa kizalendo.

Rais aliyefuata akaja na mawazo yake binafsi. Akasema Bandari ile ni wizi na unyonyaji mkubwa kwa Taifa. Mikataba ya hovyo kabisa ni wapumbavu pekee ndio wanaweza kukubaliana na mikataba hii. Nae kapigiwa makofi na kupongezwa kwa moyo wake wa kizalendo ktk kuwatetea raia wa nchi yake.

Kaja mwingine Kwa mbinu mpya eti ile mikataba haikuwa kweli kama tulivyoaminishwa. Hivyo ni muhimu sana kuwa na Bandari ile kwani ina manufaa makubwa Kwa nchi yetu.

Bwawa la Mwl Nyerere tuliambiwa ndiyo mwarobaini wa tatizo la umeme nchini. Kulingana na hali ilivyo kwa sasa wakati wowote tutaambiwa, kulingana na mabadiliko ya tabia ya nchi umeme wa kutegemea maji siyo ishu. Nalo likapigwa pending.

Ni Nani mkweli kati ya hawa wote?? Mimi sina jibu kwani wenye uwezo na mamlaka ya kupitia mikataba yote ni Wabunge.

Bunge lenyewe ndiyo hilo. Limegeuzwa kuwa kichaka cha kupitishia mawazo ya mtu mmoja kwa mgongo wa Serikali.

Bila kuwa na Katiba Mpya itakayompunguzia Rais Mamlaka/Madaraka basi hatutaweza kuwa na Mihimili mitatu itakayoweza kujisimamia yenyewe bila kuingiliana ktk kutekeleza majukumu yao.
Hapo umenena mkuu! Asante sana
 
Back
Top Bottom