Kwani unajua kainunua lini? Pengine anayo miaka mingi iliyopitaHii hata kama sifa imezidi.SIjawahi kuona toka enzi za JKN mpaka Kikwete,Rais kuwa na silaha.Walinzi wote wale ikulu.Au yuko first kutumia kuliko walinzi wake??Imenipa shida,nadhani hata walinzi wake itakuwa imewapa shida kumuelewa.
Kwa hiyo atakayealiza ndo muhimu sana zaidi yake? Ue ndo rais! Kama atamaliza mtu huko ila ye atabaki poa tu!Hakutakiwa kuhakiki,alitakiwa kurudisha.Na alitakiwa kurudisha kabla hata ya kuingia Ikulu.Hivi akipata hasira yupo chumbani akammaliza mtu humo ndani inakuwaje??
Hujaniconvince bado,inakuwaje RAIS amiliki silaha.
HAKAGULIWI, na niAmiri Jeshi Mkuu anaruhusiwa kukaguliwa? Na je anayemkagua ni mtu wa cheo gani?
Hili ndilo kosa litakalompa taabu ktk utendaji. Kila wakati, kila kitendo, kila sifa unataka iwe yako! Sasa tutamuona ni mtu regular na hata akitoa amri itakuwa ni mazoea tu. Hili yabidi ashauliwe. Hatuhitaji kujua kama amehamia ikulu na bunduki mbili.
Lowas alipopanda daladala ikaonekana anatafuta sifa za bure, sasa huyu na ikulu ina taabu sana!
uwazi na ukweli ili muone kila anachofanya, sasa akificha mtalalamika, anawaoneshe mnalalamika, binadamu hariziki kweli.....au ndo shule???Magufuli hii imezidi... Unatumia nguvu sana kubaki kwenye media....
Vipi majipu yameisha? Too much aisee.
anatumia uwazi na ukweli ili muone kila anachofanya, sasa akificha mtalalamika, anawaonesheni mnalalamika, binadamu hariziki kweli..... au ndio ulimbukeni wenu unapoanzia, eti unamwita Raisi wako limbukeni hebu jiangalie kwanza toka unyayo mpaka utosini halafu jipe jibu nani ni limbukeni????kasema anaonesha njia ili raia wake wafuate, jamani kipi hakijaeleweka? hii si rocket sayansi kwa kushindwa kueleweka somo rahisi kabisaYaani sasa kulikuwa na haja gani ya Rais kupiga picha na kusambaza huku akionyesha hadharani silaha anayomiliki?
Hivi ni Ulimbukeni au ni kujisahau tu?
Ashauriwe maana sioni kama utetezi wa Kuwa anaonyesha mfano mwema utakuwa na maana.
uwazi na ukweli ili muone kila anachofanya, sasa akificha mtalalamika, anawaoneshe mnalalamika, binadamu hariziki kweli.....au ndo shule???
matusi ya nini kama umesoma? clearly wewe ni mbwa kama picha yako kwa hiyo hakuna haja ya kujibishana na mnyama...Nani kawahi lalamika kuwa Rais kaficha silaha? Kwanza hata kujua nilikua sijui kama nayeye anayo achilia mbali kulalamika.....
Hata hivyo hizo ni minor issues zisizonisaidia chochote.....
Acha kuwa kama funguo Malaya kila kufuli unafungua.... Panua ubongo huo uliochafuka kama kimba utapata akili za kuchangia kwa weledi shume wewe.
Desire Kabila ni nani tena???
Leo, Rais wetu mpendwa , amekuwa raia wa kwanza kuhakiki silaha zake kutii agizo la Mh. Makonda. Jambo la kujifunza ni ulinzi binafsi hasa kwa viongozi wetu wakuu. Waache kutegemea body guard, hawa ndio waliokatisha uhai wa The late Desire Kabila....!
Wewe takataka unataka kujifananisha na Rais?Na sisi waje watukague majumbani kwetu au maofisini kwetu ili kutupunguzia usumbufu
Bawacha bhana hizo silaha Rais alikuwa nazo kabla hata ya kuwa Rais....Hii hata kama sifa imezidi.SIjawahi kuona toka enzi za JKN mpaka Kikwete,Rais kuwa na silaha.Walinzi wote wale ikulu.Au yuko first kutumia kuliko walinzi wake??Imenipa shida,nadhani hata walinzi wake itakuwa imewapa shida kumuelewa.
Wana JF,Rais Magufuli leo atekeleza agizo la Mkuu wa mkoa la kuwasilisha silaha jeshi la Polisi kwa ajili ya ukaguzi.
Amewataka wananchi wote wanaomiliki silaha katika jiji la Dar kujitokeza kuhakiki silaha zao kama alivyoagiza mkuu wa mkoa.
View attachment 331523 View attachment 331522
View attachment 331524 View attachment 331525 View attachment 331526
Manaake na walinzi wake wakahakiki silaha pia, this is silly,serikali kuu inacheza michezo ya sanaa,mkuu wa mkoa kwa rais? Mkutugenzi wa tiss akahakiki, cos lazima anayo, igp, general,judge mkuu, manake wote wakazi wa dar.Hii hata kama sifa imezidi.SIjawahi kuona toka enzi za JKN mpaka Kikwete,Rais kuwa na silaha.Walinzi wote wale ikulu.Au yuko first kutumia kuliko walinzi wake??Imenipa shida,nadhani hata walinzi wake itakuwa imewapa shida kumuelewa.
Mbwa ni wewe unayekula kila kitu!! Kila kitu unasifia tu upo kama funguo Malaya inayofungua kila kufuli!!!matusi ya nini kama umesoma? clearly wewe ni mbwa kama picha yako kwa hiyo hakuna haja ya kujibishana na mnyama...