JOYOPAPASI
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 250
- 409
Tumendesha harambee ya Ujenzi wa Msikiti wa Chamwino katika Misa Takatifu na uzinduzi wa Kanisa, Parokia ya Bikira Maria Imakulata, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma.
Ibada ya Misa Takatifu iliongozwa na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dodoma, Mhashamu Beatus Kinyaiya
Kwenye michango tuliyochangisha hapa Kanisani kwa ajili ya ujenzi wa Msikiti Chamwino, Dodoma tumepata jumla ya Tsh.Million 48 na Elfu 21,mifuko 48 ya cement na Lori 5 za mchanga, Rostam amechanga Mil. 20, Boss wa CRDB Nsekela Milioni 10, pia CAG Kichere, Antony Mavunde, RC Dodoma ni miongoni mwa waliochangia, nawashukuru wote waliochangia.
Mungu Ibariki Tanzania [emoji1241][emoji419]
“Nakuomba Baba Askofu kama utaniruhusu na kama sitokukwaza basi tutumie siku ya leo pia tuchange angalau tuanze kujenga Msikiti wa Ndugu zetu Waislamu ambao Msikiti wao kwa sasa ni mdogo nao wapo pale kwa ajili ya kumtukuza Mungu” -JPM kwenye Uzinduzi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Imakulata, Ikulu Chamwino Dodoma
“Mimi baadhi ya Wasaidizi wangu wengine ni Waislamu, nataka niwatajie mmoja tu kuna Al-haji huyu ameshaenda kuhiji ila ni msaidizi wangu ninapoingia humu Kanisani lazima aingie lakini ikifika siku yake Msikiti wake mdogo,Baba Askofu niruhusu nichukue kikapu tuchangie Msikiti”-JPM
“Nachukua kikapu hapa Kanisani ili tuchangie ujenzi wa Msikiti baadaye Baba Paroko atazipeleka kwa Sheikh ili Chamwino iwe ni ya Watu wa Ibada, tumejenga Kanisa Katoliki tunalizindua leo, tujenge Msikiti, kisha tutaendelea kujenga Makanisa ya Madhehebu
mengine nk” -JPM
Ibada ya Misa Takatifu iliongozwa na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dodoma, Mhashamu Beatus Kinyaiya
Kwenye michango tuliyochangisha hapa Kanisani kwa ajili ya ujenzi wa Msikiti Chamwino, Dodoma tumepata jumla ya Tsh.Million 48 na Elfu 21,mifuko 48 ya cement na Lori 5 za mchanga, Rostam amechanga Mil. 20, Boss wa CRDB Nsekela Milioni 10, pia CAG Kichere, Antony Mavunde, RC Dodoma ni miongoni mwa waliochangia, nawashukuru wote waliochangia.
Mungu Ibariki Tanzania [emoji1241][emoji419]
“Nakuomba Baba Askofu kama utaniruhusu na kama sitokukwaza basi tutumie siku ya leo pia tuchange angalau tuanze kujenga Msikiti wa Ndugu zetu Waislamu ambao Msikiti wao kwa sasa ni mdogo nao wapo pale kwa ajili ya kumtukuza Mungu” -JPM kwenye Uzinduzi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Imakulata, Ikulu Chamwino Dodoma
“Mimi baadhi ya Wasaidizi wangu wengine ni Waislamu, nataka niwatajie mmoja tu kuna Al-haji huyu ameshaenda kuhiji ila ni msaidizi wangu ninapoingia humu Kanisani lazima aingie lakini ikifika siku yake Msikiti wake mdogo,Baba Askofu niruhusu nichukue kikapu tuchangie Msikiti”-JPM
“Nachukua kikapu hapa Kanisani ili tuchangie ujenzi wa Msikiti baadaye Baba Paroko atazipeleka kwa Sheikh ili Chamwino iwe ni ya Watu wa Ibada, tumejenga Kanisa Katoliki tunalizindua leo, tujenge Msikiti, kisha tutaendelea kujenga Makanisa ya Madhehebu
mengine nk” -JPM
.