peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Uchaguzi 2020 tutaona na kuisikia mengi.ila muhimu watanzania wekeni uelewa mbele Hali ya mwananchi mmoja mmoja ni mbaya kupita kupindukia. Kwa miaka hii mitano Rais amechukua madaraka makubwa mnoooo na haswa alipoichukua tamisemi ikawa ofisini kwake.KWELI LEO KANISA KATOLIKI LA MITUME LINAJENGA MSIKITI?
Naanza kuamini maneno yaliandikwa Ufunuo 13.