Rais Magufuli azindua Kanisa la Parokia ya Bikira Maria Emmakulata Chamwino, Dodoma. Achangisha fedha kanisani kuchangia ujenzi wa Msikiti

Rais Magufuli azindua Kanisa la Parokia ya Bikira Maria Emmakulata Chamwino, Dodoma. Achangisha fedha kanisani kuchangia ujenzi wa Msikiti

Mkuu,

Unaonekana ni mtu wa maana sana. Sina uhakika na hilo. But yeah at least unaonekana ni mtu!

Unajua mimi sijasema kwamba huu mchukiano ni two way traffic, kaa yupo anaesema hivyo aje atoe hoja zake.

Mimi ninachosema historia ya nchi yetu ni kwamba wakristo hususan wakatoliki wamekuwa wakiwachukia waislam (historically) na labda niseme hili ni tatizo la kimfumo zaidi kuliko individuals maana sote tunaishi vizuri kwa nje.

Hoja ikaja kwamba, aliyoyafanya Mheshimiwa rais magufuli ndio yanapingwa hapa na mimi nikafikia kuelezea kwamba hakutokuwa kamwe na mapenzi hayo ambayo yeye Mheshimiwa rais ametaka kuya portray kwa sababu chuki kutoka kwao (wakristo hususan wakatoliki) kwa uislam au waislam ni kubwa zaidi kuliko mapenzi yao.

Hebu imagine tu brother, katika umri wako na pengine kwa elimu yako eti Leo ndio Unamjua Sheikh Suleiman Takadir?? Sikulaumu mkuu ni mfumo ndio uliopelekea hivyo. Kwa hiyo lililofanyika ni geresha tu au danganya toto na wala si kwa mapenzi ya dhati ya wakristo juu ya uislam. Ukweli ni ule aliousema GWAJIMA juu ya miskiti, kwamba ataugeuza kuwa Sunday schools ile ni chuki ya hali ya juu na yale ni machache tu aliyoyasema ambayo kwa chuki ilimvyomjaa alishindwa kuendelea kukaa nayo moyoni.

Allah anatuambia kwamba ubaya wao (makafiri) waudhihirishao dhidi yetu (waislam) ni mdogo mno ukilinganisha na ule waufichao vifuani mwao.

Ukweli ni ule wa waziri lukuvi juu ya kauli anazozitoa kuhusu Zanzibar na mengine mengi mno mno mno mno.

Kwa hiyo ndugu yangu kimfumo, huu upendo kamwe hautokuwepo. Ile kuchangisha pesa ni geresha tu au nyinyi mnaita siasa tu.
Mkuu
Binafsi nadhani sio vizuri kujikita kwenye vitu tunavyohisi vinatugawa kwa kigezo cha dini hasa kwa vizazi vyetu vya sasa.
Mzee Suleiman Takadir alikuwa na hoja genuine kabisa kibinadamu. lakini tunaambiwa alikufa kwa kihoro baada ya kutengwa socially na wenzake.
Inasemekana alikuwa akisalimia haitikiwi, akienda kununua vitu kariakoo hela yake haipokelewi.

Sijajua mchango wa wakatoliki katika hilo hadi kusema wakatoliki/wakristo wanawachukia waislam, kwa sababu ninaamini waliokuwa wakikataa salaam zake na hela yake pale Kariakoo bila shaka walikuwepo na waislam pia.

Ni kweli kuna waislam wenye chuki isiyopimika juu ya wakatoliki/wakristo, lakini pia wapo waprotestant wenye chuki mbaya sana dhidi ya wakatoliki (and vice versa) na wapo wakatoliki/wakristu wenye chuki mbaya sana dhidi ya waislam.

Lakini ukweli ni kuwa, hao ni wachache saaaaana kuliko watanzania wasiochukiana kwa kigezo cha dini.
 
Unakumbuka mwaka 2011 mbowe alipochangisha pesa za kukarabati msikiti kule hai mlivyomshambulia mkiongozwa na bwakata mkoa wa kilimanjaro kuwa haikuwa sahihi mbowe kuchangisha pesa na kutangaza? Tena alichangisha kwenye swala ya ijumaa, huyu kachangisha kwenye misa kanisani tena TV ya taifa na channel 10 wakiwa live lakini mnashangilia.
Mambo ya 2011 yanaingiaje hapa?halafu usimfananishe mbowe (dj) na Rais umekosea
 
Mkuu hapa haupo sahihi.
Zaidi ya mara tano wanapita hapa nyumbani kwangu na kuomba mchango wetu watu wa kamati za kukusanya michango ya ujenzi wa msikiti.
Hawaulizi dini wala jina, hapa kwangu sisi sote ni wakristo. Na sidhani kama ukitoa mchango ukaandika jina la kikristo kwenye daftari lao watakurudishia mchango wako.

Tunawaona wanakaa barabarani wanakusanya michango na hawasemi wakristo wasichangie.

Usije ukasema hawa ni walaghai hawapeleki michango msikitini siakuamini sababu wanakuja na vibali vya kukusanya michango na tunawajua kwa sura na majna ni kweli hao ni watu wa kutoka msikiti flani.

Wamewahi kuja kanisani kuendesha harambee ya kujenga msikiti?

Jiulize kwa nini hawaji kanisani kuendesha harambee ya kujenga msikiti wanakufuata nyumbani kwako!
 
Waislamu mnajifanya mbingu yenu sana nyie wana , mnajiona ndiyo watu[emoji706]
 
Mkuu
Binafsi nadhani sio vizuri kujikita kwenye vitu tunavyohisi vinatugawa kwa kigezo cha dini hasa kwa vizazi vyetu vya sasa.
Mzee Suleiman Takadir alikuwa na hoja genuine kabisa kibinadamu. lakini tunaambiwa alikufa kwa kihoro baada ya kutengwa socially na wenzake.
Inasemekana alikuwa akisalimia haitikiwi, akienda kununua vitu kariakoo hela yake haipokelewi.
Sijajua mchango wa wakatoliki katika hilo hadi kusema wakatoliki/wakristo wanawachukia waislam, kwa sababu ninaamini waliokuwa wakikataa salaam zake na hela yake pale Kariakoo bila shaka walikuwepo na waislam pia.
Ni kweli kuna waislam wenye chuki isiyopimika juu ya wakatoliki/wakristo, lakini pia wapo waprotestant wenye chuki mbaya sana dhidi ya wakatoliki (and vice versa) na wapo wakatoliki/wakristu wenye chuki mbaya sana dhidi ya waislam.
Lakini ukweli ni kuwa, hao ni wachache saaaaana kuliko watanzania wasiochukiana kwa kigezo cha dini.
Mkuu,

Ya mzee Suleiman Takadir tuyaache ni machache mno na mengi yapo yanayoonyesha au kuthibitisha chuki za wakristo mbele ya waislam.

"Binafsi nadhani sio vizuri kujikita kwenye vitu tunavyohisi vinatugawa kwa kigezo cha dini hasa kwa vizazi vyetu vya sasa." Kuhusu hili mkuu sikubaliani nawe, hili tatizo ni lazima kuli-address ili litatuliwe. Kujifanya hatulioni na kupeana matumaini hewa kwamba hatuna ubaguzi nchini wetu haisaidii chochote. Linazidi kuziimarisha hizi chuki.

By the way nina marafiki wengi tu na wazuri ambao ni wakatoliki na tumesaidiana sana hapa duniani.
 
Wale ambao wanaona hakuna tatizo kwa raisi kuendesha mchango kanisani wa kujenga msikiti kwa kigezo cha undugu

Je Waislamu walipotaka Iwepo mahakama ya kadhi nchini mlisemaje?
Si mlisema waazishe wenyewe kwa hela zao wenyewe, na kwamba pesa ya Mkristo(kodi) isiendeshee ibada za waislamu!

Sasa vipi Rais anatumia madhabahu kuchangisha hela za kuendeshea ibada za Waislamu na nyie mnaona sawa?
Kumbe hoja siyo hela za Wakiristo kutumika kwenye ibada ya waislamu bali mnachagua ibada ipi ya kuwachangia na ibada ipi ya kuwakatalia?
 
Naomba kuuliza kwani zile fedha zilizochangwa hazistahili kujengewa msaikiti?
 
..ingependeza kama Raisi angeitisha harambee yake nje ya Kanisa.

..na angewashirikisha Waislamu, pamoja na ndugu zao wa madhehebu mengine.

..Hapa nadhani washauri hawakumsaidia Raisi ktk kuliweka vizuri jambo hili.

NB:

..nadhani Raisi apunguze kidogo huu muingiliano baina ya serikali, chama cha mapinduzi, na madhehebu ya dini.
 
Anawashurutisha Wakiristo kufanya ibada zisizo zao!

Wakiristo walikataa Mahakama ya kadhi kwa hoja kuwa kodi zao zisitumike kwenye ibada ya wengine, sasa leo Magufuli anakwenda kanisani kuwachangisha ili ijengwe nyumba ya kuabudia isiyo ya ibada yao!

Kama Magufuli ni Mkiristo mwenye kuwapenda waislamu na ibada yao basi awape mahakama ya kadhi kwanza!
 
..ingependeza kama Raisi angeitisha harambee yake nje ya Kanisa.

..na angewashirikisha Waislamu, pamoja na ndugu zao wa madhehebu mengine.

..Hapa nadhani washauri hawakumsaidia Raisi ktk kuliweka vizuri jambo hili.

NB:

..nadhani Raisi apunguze kidogo huu muingiliano baina ya serikali, chama cha mapinduzi, na madhehebu ya dini.

Wewe muache waje wamuombe mahakama ya kadhi, sijui atawakatalia kwa ground zipi!

Akiwajibu serikali haina dini watamjibu sisi ndo wenye serikali tunataka mahakama ya kadhi

Akiwajibu kuwa hata wakiristo nao hii serikali ni yao na kodi zao haziwezi kuendesha mambo ya dini nyingine watamjibu kuwa tuombee kwa wakiristo watukubalie kwa sababu umewahi kutuombea watuchangie ujenzi wa msikiti

Wakiristo wakichachamaa kuwa hatutaki mahakama ya kadhi kwa kuwa sisi si ibada yetu na hatutaki kodi zetu ziende huko kwenye kufinance ibada ya wengine, waislamu watawajibu kuwa mbona kwenye ujenzi wa msikiti mlituchangia ila huku kwenye mahakama yetu ya kadhi hamtaki kodi zenu zitumike?

Mwishowe Itaonekana kuna double standard, chuki na utengano baina ya watu wa dini hizi zitatamalaki. Hii yote ni kwa sababu mwanasiasa mmoja alianza kutumia dini kisiasa!.

Mwalimu alionya sana kuhusu tabia za kutumia dini kwenye siasa, hazina mwisho mwema!
 
Inaleta ukakasi kwa kadri ya mazoea lakini sio vibaya na hasa kwa mamlaka ya rais kama mkuu wa nchi haina shida.
wakristo wamechangia miskiti mara nyingi tu na waislamu wamefanya hivyo hivyo refer kwa wale tunaowakuta stend wakiomba kuchangiwa kwa ajili ya kujengewa mskiti au michango aliyopitisha makonda.
tunatakiwa tuelewe kuwa tunakutana na MUNGU katika roho hizo nyumba za ibada kwa kadri ninavyoamini ni maeneo ya kukutana na MUNGU kiimani hivyo imani ni ya msingi zaidi kwa mtu binafsi.
 
Acheni umbea na uzwazwa mimi ni.mkristo na nimeshachangishwa ujenzi mbal mbal za misikiti.kma ww huna cha kuchangia kaa kimya .hiyo mnayoswalia mnajua ilijengwa na nani? Na vyanzo vya mapato ya kuijenga mnaifahami au ni unafiki
 
Back
Top Bottom