Rais Magufuli, hili la Kangi Lugola hujatenda haki. Sheria ya Uhujumu Uchumi inawahusu wananchi tu?

Rais Magufuli, hili la Kangi Lugola hujatenda haki. Sheria ya Uhujumu Uchumi inawahusu wananchi tu?

Uhujumu uchumi ni kesi zetu sisi huku tunao mkosoa jiwe. Pia mahakama ya mafisadi haishughuliki na wanasiasa ambao ndo mafisadi wakuu. CCM wanalindana sana
 
Kweli aisee,yaani major general umpe kesi ya uhujumu uchumi hiiiiiiiiiiiiii patachimbika.
Uhujumu uchumi ni kesi zetu sisi huku tunao mkosoa jiwe. Pia mahakama ya mafisadi haishughuliki na wanasiasa ambao ndo mafisadi wakuu. CCM wanalindana sana

dodge
 
Nauliza ivi Magufuli anapambana na ufisadi au anawalea mafisadi? Ivi kuna mtu anaweza kuwa fisadi nje ya mfumo wa ccm na serikali yake?

Ile mahakama ilifunguliwa kuwafunga kina nani?

Lugola alishakamatwa na Rushwa tukashangaa kupeaa uwaziri kaenda kusaini mkataba wa matrilioni nashangaa anayejiita mtumbua chunusi hata kusema ashitakiwe kwa kutaka kuliingizia taifa hasara na katibu wake anapewa ubalozi.

Najiuliza lengo la magufuli kumpa ubalozi ili iweje? Kwann wasishitakiwe kwa makosa ya uhujumu uchumi.

Kabendera kadaiwa kutakatisha milioni 173 yuko jela hawa ma matrilioni wanapewa ubalozi.

Huyu ni mpenzi wa mungu yupi anayesema ukweli?
Katibu wake kaula sasa ni balozi kamuacha kangi na tambi lake la kukatia uno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama uliskiliza vizuri utagundua pale mwenye kosa kuu ni Kamishna wa zimamoto! Katibu na Lugola ni issue ya uwajibikaji, na Katibu alisifiwa kwa sababu alijiuzulu/aliwajibika bila shurti!

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkitumwa na Mabosi zenu muwe ‘mnaleta mrejesho ‘

Kibali cha Safari Bosi anakupitishia unaenda kusaini Mkataba wa Trillion nzima halafu unarudi kama hakuna ulichosaini
 
Mkataba unaostahili kuwapeleka watu uhujumu uchumi ni ule aliosaini Kabudi akishuhudiwa na mzee baba.
Kama tutaundiwa Tume huru ya uchaguzi na Octoba tukampata rais wa chaguo la wengi basi inshallah, panapo majaliwa 2021 hawa wahujumu wa uchumi wetu kupitia Barrick tutakuwa tunaenda kuwasalimia jumamosi Segerea
 
Nauliza ivi Magufuli anapambana na ufisadi au anawalea mafisadi? Ivi kuna mtu anaweza kuwa fisadi nje ya mfumo wa ccm na serikali yake?

Ile mahakama ilifunguliwa kuwafunga kina nani?

Lugola alishakamatwa na Rushwa tukashangaa kupeaa uwaziri kaenda kusaini mkataba wa matrilioni nashangaa anayejiita mtumbua chunusi hata kusema ashitakiwe kwa kutaka kuliingizia taifa hasara na katibu wake anapewa ubalozi.

Najiuliza lengo la magufuli kumpa ubalozi ili iweje? Kwann wasishitakiwe kwa makosa ya uhujumu uchumi.

Kabendera kadaiwa kutakatisha milioni 173 yuko jela hawa ma matrilioni wanapewa ubalozi.

Huyu ni mpenzi wa mungu yupi anayesema ukweli?
Mahakama ya mafisadi ilimlenga mtu mmoja... keshahamia kwa muanzisha mahakama hiyo... HAINA KAZI

NI SAWA NA KUNUNUA BUNDUKI KISA KUNA MTU KAKUKERA... mara unapomaliza process za manunuzi, ALIYEKUKERA MNAKPATANA NA MNAKUWA MARAFIKI... bunduki inakuwa haina kazi
 
“Kuwajibika au kujitathmini” ni maneno ya kisiasa yanayotumika vibaya kipropaganda ili kukwepa sheria.

Swala la hawa jamaa ilikuwa ni uvunjaji wa taratibu za kisheria na wanaweza kushitakiwa au kwa matumizi mabaya ya madaraka au kwa kukiuka taratibu!

Tabia hii ya kutoshitaki na kuadhibu watu itatufikisha pabaya. Ndio tofauti yetu moja na mabeberu!! Wanaadhibiana, sisi tunaoneana aibu/haya!!

Impunity - letting crimes go unpunished!!
 
Wasalam, kuna taarifa kwamba imeundwa tume kuchunguza mkataba wa mamilion aliosaini mh lungola kwa niaba ya jeshi LA zimamoto na km itathibitika mkataba ni wakifasadi basi bwana lugola kangi atashitakiwa kwa makosa ya uhujumu uchumi ambayo hayana dhamana hivyo kuna uwezekano akaungana na ndugu Eriki kabendera kule segerea.

Muda ni rafiki mwema tuvute subra tuone km tetesi za taarifa hii zitatokea sio mbali ni karibu sana.
Mkuu hata Takukuru hawajaanza uchunguzi wa mkataba du Watanzania kwa majungu hamjambo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom