Uchaguzi 2020 Rais Magufuli jipime umwachie Membe, Lissu atakuangusha mapema sana

Lissu huyu wa "MIGA"
Hivi yale makontena ya mchanga bado yapo pale bandarini? au tulinyoosha mikono baada ya kulipwa tr 400 tunapewa bil 600 tena kwa mkataba wa miaka 5 kama mazuzu mnashangilia!
 
NAUSAPOTI UPINZANI KWA SANA ILA SIJAONA KAMA WAKO TAYARI KUSHIKA NCHI
Hakika, na ndio wanasababisha ccm watawale kwa muda mrefu.
Hakuna mpinzani au upinzani thabiti TZ, huyu anayepigwa kila siku na akiamka anaomba maridhiano, kwenye sherehe za ccm yuko kiti cha mbele kujichekeshachekesha hawezi kuaminika kama ana nia thabiti.
Ni afadhari ACT Wazalendo wako siriaz kidogo sana. Tatizo wako upande mmoja wa tz na wenye raia wachache.
Huyu akiamka tu hospitari anaanza kuishukuru ccm na fikra za mwenyekiti hamna kitu kabisa.
 
Mkuu mwanzoni mwa Mada nawaona mataga wametiririka kwa kasi sana.
 

Mkuu Kwanini unapenda ku promote your stupidity. Kama wanastahili usingekuwa na haja ya kuandika.
 
Mapema asubuhi Membe anachukua nchi akishindanishwa na jiwe.
 
Mmeamua kumchafua tu, lakini Lissu ni Messiah hata Herrord afanye nini maandiko yatatimia.
Kwa suala la haki za binadamu atatusaidia, hasa kupigania haki za wanawake kama kina Bulaya, Halima, watoto sio Riziki lakini kwa Urais bado sana.
 
Rais magufuli anavyochukua form ni kwamba ameona jeraha alilotupa miaka5 halitoshi au?mpaka anaamua kulitia chumvi.
 
Chadema huwa wanapenda kutishia nyau
Afadhali hata ya lema anaweza kupata kura
Huyo lissu huo urais ataupataje wakati ameamua kujilipua?
Mlimpiga marisasi Mungu Baba akamponya, sasa tulia kampeini ianze uone mziki wa TLissu!!
 
Rais magufuli anavyochukua form ni kwamba ameona jeraha alilotupa miaka5 halitoshi au?mpaka anaamua kulitia chumvi.
Amejuruhiwa nini? Kuendesha siasa bila ustaarabu? au Ulitaka awe kama Kikwete? kila aingiae madarakani ana utaratibu wake wa kiutawala.
 
Mzee leo amekumbushwa kwamba alikula kiapo. Naona anasahau. Maandiko yanasema usiape kwa kitu chochote. Ukishafanya hivyo, kiapo kile kitasimama mbele yako daima. Na kila kiapo kina madhara yake ukienda kinyume
 
hapa alipita tu kukagaua ujenzi wa fly over wamejaa ivi, akianza kampeni itakuaje
 

unapoteza mda kuwaandikia hawa majamaa, ukweli unajulikana na upo wazi: yaani ukitaka kujionea kituko subiria mda wa kampeni utaona uzito wa mgombea, hapa wanakasirisha watu tu yaani wanachama wao wenyewe hawaikubali cdm wanahamia ccm , sasa iweje ambao tupo ccm tuwakubali.
 

sasa aibu gan? ENGLISH isnt our language, mbna china hawatumii english??? what are you talking about
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…