Rais Magufuli jitahidi uache uvunjaji wa sheria! Let justice take its natural course!

Sasa kosa la yule jamaa liko wapi jamani mbona mwamposa bado yuko kiataa anasubiri kupandishwa daraja kuwa level za akina TB joshua
 
Kuwa mkristo au moslem haikupi right ya kuchana vitabu vya dini ,hata kama haukiamini ,amini kwa Allah au Mungu lakini usikashifu vitu vya wengine
Umesema vema kabisa. Maan kuna wengine, huvuta upande wao na kuona wengine hawana haki. Kama tukio hili lingefanywa kinyume, kungekuwa kimya kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwa hiyo kwa kuchana kitabu cha kuruani ni kuonesha chuki kwa kikundi cha jamii flani, lakini kusema Yesu si Mungu (kuna jamii inaamini kuwa Yesu ni Mungu) si kuonesha chuki dhidi ya hiyo jamii?

Sheria ilivyo kukosea tu taratibu za kumtoa kazini huyo jamaa, tayari ni kukiuka taratibu za kisheria na hiyo ni sababu tosha ya kushindwa kesi

Mhe. mwenyewe anajua Serikali itashindwa kesi, maana alisema "aondolewe kazini hata kama atashinda kesi"
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kusema Yesu siyo Mungu imo kwenye Qur'an.

Ni mtizamo tofauti wa kitheolojia na ni wa kale sana baina ya Waislamu na Wakiristo,

Mkiristo akisema Yesu ni Mungu haimaanishi kuwa anamkasirisha muislam, na hivyohivyo Muislamu akisema Yesu siyo Mungu anamkasirisha Mkiristo.

Ila ikifikia hatua ya mtu kuichanachana Biblia au Quran na kuikanyagakanyaga sasa hapo unakuwa umevuka mipaka.
 
Hakuna namna ya kumtetea mtumishi yule vinginevyo idhibitishwe pasipo shaka kwamba alirukwa na akili. Na akisharukwa na akili tayari hatoshi kuendelea na kazi vinginevyo pia idhibitishwe pasipo shaka kuwa sasa akili zimemrudia tena kichwani.
 

Wewe umekatazwa kuziba barabara ukiwa na shughuli kwani [emoji23][emoji23][emoji23] wp wamevunja sheria !
Tatizo lenu nyinyi mnakaa mashambani huko nje ya mji sasa unaona ni vitu vya ajabu hapa mjini..
Kwa taarifa yako mambo hayo yapo miaka na miaka kabla hamjaja mjini kutoka huko mashambani kwenu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nimetaja pombe na pombe lazima iwe na kilevi, hizo ni kama grand malt tu usitumie kutetea hoja yako ya kupotosha. Eti kutumia ulevi ruksa
 
kazi yake na kosa lake vinahusiana VIP, wangeachiwa wale mashehe waliobambikiziwa kesi kama anawajali,kutafuta sifa kupitia mwendawazimu aliyewehuka in utoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee kasome hukumu ya court of appeal baina ya urouch wa chama cha walim tanzania dhidi ya katibu mkuu utumishi wa uma.


Rais ndo mwenye mamraka yakufukuza mtumishi wa uma kazi.

Kwahiyo Rais alisema hivyo akimaanisha sheria ndo imempa nguvu.
 
What is your point then..!!! Mashambani ndo wapi? Asumptions zako za mashambani basi hazina hoja ya kwanini uzibe barabara kisa eti unaishi mjini..!!!
 
What is your point then..!!! Mashambani ndo wapi? Asumptions zako za mashambani basi hazina hoja ya kwanini uzibe barabara kisa eti unaishi mjini..!!!

Nijambo la kawaida lipo miaka na miaka pengine kabla wewe ujazaliwa ..
Panapokua na jambo la kukusanya watu either msiba au harusi ni kitu kinachoruhusiwa Sasa kama wewe unashangaa ndio maana nakwambia labda umetoka mashambani


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Halafu licha ya kuwa ni rais ni muajiri mkuu kuna suala la maadili ya mtu binafsi.

Ukilea mpumbavu mmoja akafanya upumbavu hadharani kesho ataibuka mpumbavu mwingine atafanya upumbavu mwingine.

Yule dogo imekula kwake mazima.
 
Rais ni mwajiri mkuu, anaweza kukufuta kazi au kupendekeza upandishwe cheo muda wowote ule.

Kiongozi mkuu wa serikali ni rais, huyo pimbi wa huko Kilosa ni muajiriwa wa serikali.
 
Ficha ujinga wako wewe, muajiri mkuu ndio nini? Watu wote wameajiriwa na taratibu za ajira zipo wazi.

Sio mtu akiamka tu anafukuza mtu kazi. Hii tabia hata wakuu wa wilaya na mikoa walianza kufanya kipindi fulani.

Acha sheria ifuate mkondo wake. Taratibu za ajira zipo wazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hoja zipi ulizo ongea zaidi ya pumba hapo siku zote mtu anaye endekeza chuki ni mpumbavu tu hana akili na wewe unaye tetea upumbavu na wewe pia ni mpumbavu,samahani kwa kukuita mpumbavu ila sioni jina lingine zaidi ya hilo kwa mtu anaye palilia chuki kama wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…