KARLO MWILAPWA
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 2,789
- 4,951
Kifungu 6(7) Cha kanuni za maadili kwa watumishi wa umma kinasema "Watumishi wa Umma wanapaswakuepuka tabia ambayo inavunjaheshima ya utumishi wao kwaumma hata wanapokuwa nje yamahali pa kazi. Tabia inayoweza kuvunja heshima ya utumishi waumma ni pamoja na matumizi yamadawa ya kulevya, ulevi, kukopakwa kiwango ambacho hawawezikurejesha, mwenendo mbaya nakujihusisha na vitendo vyovyote viovu mbele ya jamii".Sasa tuwekee hapa na kanuni inayoonesha kwamba MTUmishi akiwakwaza watu wa imani Fulani basi adhabu yake ni kutimuliwa kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kufukuzwa sio tatizo kwani watanzania wote mil zaidi ya 45 wameajiriwa na selikali?je hawaishi ?tena maisha mazuri tu na mijengo ya maana .wakati mwingine kuona kuona kwamba kufukuzwa kazi serikalin ndo mwisho wa wakuishi ni utumwa wa fikra la msingi mtumishi nikutimiza wajibu wake kwa misingi ya kazi yake sio kutimiza majukumu yake eti kwa pressure ya kufukuzwa ikitokea basi iyo ni atua fanya mambo mengine maisha yaendeNyie wafanyakazi muee makini ukileta upuuzi unafukuzwa tu. Nampa hongera Mh Rais Magufuli
Sent using Jamii Forums mobile app
Anajua kila kitu mkuu. Mara haongelei masuala yaliyoko Mahakamani, Leo kafukuza mtu kazi kwa kesi iliyoko mahakamani.
Najua watetezi wake watasema hizo alizochukua ni disciplinary action, lakini unamfikisha mtumishi mahakamani kisha unamchukulia hatua za kinidhamu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Legitimacy + legality ya Polepole inaingia hapa.Rais kama muajiri mkuu wa Serikali na aliyechana Quran ni muajiriwa wa Serikali na serikali imeweka viwango vya nidhamu na maadili ambavyo vingine vipo nje ya sheria ila ndani ya mamlaka ya ajira, kumfukuza mtu aliyefanya hivi si kosa.
Mahakàmà itaangalia kosa kwa upànde wa kisheria na serikali imeangalia kosa kwa upànde wa maadili na si makosa yote ya kimaadili yanavunja sheria, mengine yanavunja taratibu za kazi na za kiutumishi.
Mfano mtu kaenda kazini kalewa, hilo ni kosa la kimaadili ambalo sheria haiwezi kumkuta na kosa.
Rais hajavunja sheria yeyote ila katekeleza wajibu kama muajiri mkuu na msimamzi wa maadili wa watumishi wote wa umma
Kasome kesi ya Marbury v MadisonRais kama muajiri mkuu wa Serikali na aliyechana Quran ni muajiriwa wa Serikali na serikali imeweka viwango vya nidhamu na maadili ambavyo vingine vipo nje ya sheria ila ndani ya mamlaka ya ajira, kumfukuza mtu aliyefanya hivi si kosa.
Mahakàmà itaangalia kosa kwa upànde wa kisheria na serikali imeangalia kosa kwa upànde wa maadili na si makosa yote ya kimaadili yanavunja sheria, mengine yanavunja taratibu za kazi na za kiutumishi.
Mfano mtu kaenda kazini kalewa, hilo ni kosa la kimaadili ambalo sheria haiwezi kumkuta na kosa.
Rais hajavunja sheria yeyote ila katekeleza wajibu kama muajiri mkuu na msimamzi wa maadili wa watumishi wote wa umma
Retired,
Kuchoma kitabu kitakatifu cha dini yoyote ni kosa lisilovumilika!
..kwanza, nalaani kitendo alichofanya huyo kijana cha kudhalilisha QURAN.
..Lakini hiki ulichoandika ni UONGO.
..Mkapa aliwahi kufukuza watumishi kimakosa na serikali ilishindwa kesi mahakamani.
..Raisi hayuko juu ya sheria kama ulivyodanganya hapo juu.
this is cheap popularity and to win the Islamic community!
Wape kifungu Cha sheria ama hata Public Servant Standing Orders bosi..waelewe kile kinachompa mamlaka Mh. Rais kumfuta kazi mtumishi aliye commit blossom au yeyote yulee. Wewe verified users na mjuvi wa Mambo..tuelimishe hasa wanaopinga pingaa..😊😊Kufukuzwa au kisimamishwa kabla au baada ya kufunguliwa mashtaka ndio njia salama zaidi ya kudhibiti uhalifu.
Rais katenda wajibu wake kama muajiri kwa muajiriwa mwenye utovu wa nidhamu na ukosefu wa maadili.
Mahakamani kapelekwa akajibu mashtaka kama mhalifu ambapo yeyote angepelekwa Kama angefanya aliyofanya.
Kwa hiyo Kuna pande, Kuna adhabu ya muajiri kwa mwajiriwa na Kuna adhabu ya kisheria ya mahakàmà. Mwajiriwa halazimishwi na sheria ila kanuni na taratibu za ajira kwa mfano: mlevi anaweza kufukuzwa kwa kulewa kazini lakini sheria inaweza kutoona kosa lake na kumwachia hiyo haimaanishi mwajiriwa ana haki ya kumrudisha
Kuna watu wametenguliwa kwenye nafasi zao mpaka leo hatujajua walifanya Nini na Rais halazimiki Wala halazimishwi kutueleza kwa Nini alimtumbua...nilikuwa namjibu KARLO MWILAPWA aliyedai Raisi ana mamlaka au anaruhusiwa kufukuza kazi mtumishi yeyote na halazimiki kuzingatia sheria za kazi na uajiri.
Ccm ni chama cha kiislamKosa ndio hilo la kuchana juzuu bwashee!
We mbumbumbu, kuna disciplinary procedures za kuwaondoa watumishi wa umma kazini.Rais kama muajiri mkuu wa Serikali na aliyechana Quran ni muajiriwa wa Serikali na serikali imeweka viwango vya nidhamu na maadili ambavyo vingine vipo nje ya sheria ila ndani ya mamlaka ya ajira, kumfukuza mtu aliyefanya hivi si kosa.
Mahakàmà itaangalia kosa kwa upànde wa kisheria na serikali imeangalia kosa kwa upànde wa maadili na si makosa yote ya kimaadili yanavunja sheria, mengine yanavunja taratibu za kazi na za kiutumishi.
Mfano mtu kaenda kazini kalewa, hilo ni kosa la kimaadili ambalo sheria haiwezi kumkuta na kosa.
Rais hajavunja sheria yeyote ila katekeleza wajibu kama muajiri mkuu na msimamzi wa maadili wa watumishi wote wa umma
Kuna watu wametenguliwa kwenye nafasi zao mpaka leo hatujajua walifanya Nini na Rais halazimiki Wala halazimishwi kutueleza kwa Nini alimtumbua.
Nimesema kwa sababu yeyote kwa sababu najua hakuna utumbuzi unaofanywa bila sababu ila sababu nyingine si lazima tujue/ tujulishwe.
Kusema Rais halazimiki kutii sheria hapo umenielewa au umeninukuu vibaya
I think the President has the Supreme authority...unchallengeable...Acha ujinga wewe!
Sijui unalipwa shingapi kumwaga uharo mitandaoni!
Utumishi wa umma unasimamiwa na disciplinary authorities na kuna procedures za kufuata kabla ya Rais kukurupuka na kumfuta kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app