Rais Magufuli jitahidi uache uvunjaji wa sheria! Let justice take its natural course!

Rais Magufuli jitahidi uache uvunjaji wa sheria! Let justice take its natural course!

Nikiri kwamba mimi ni muislamu kwa kuzaliwa.

Ukiwa mpenda haki lazima uwe na uwezo wa kusimama katikati na kusema kweli.
Iliripotiwa kwamba kuna mtumishi mmoja kachana MASAHAF Huko Morogoro.

Hatua zilizochukuliwa dhidi yake ni kama ameua yaani mwamposa aliyekusanya watu na kusababisha wakanyagane akaonekana katenda jambo dogo kweli kuliko la kuchana MASAHAF.

Kama tunakumbuka vizuri hapa jukwaani kuna mtu aliitwa DIBAGULA. Huyu bwana alitokea huko huko Morogoro. yeye alisema YESU SIO MUNGU. Hukumu ya case yake inajulikana ukweli ni kwamba alishinda?

Leo kuna mzalendo mmoja huko Kigamboni amemfukuza huyu bwana kazi. Ni amma hajui sheria, kanuni na taratibu za utumishi au ni mihemko tu ya kuelekea Uchaguzi Mkuu.

Nitaeleza:

1) Kwanza jamaa hajapewa nafasi ya kusikilizwa. Hapo anashinda mchana kweupe, hakuna mashtaka yoyote ya kiutumishi yaliyofunguliwa dhidi yake. Mkuu wa nchi kaingia chaka.

2) Imani yake haiamini kwenye utukufu wa qurani, yeye mkristo, unaposema kitabu kitakatifu sio kwake

3) Kosa alilofanya halimuathiri mwajiri wake kwa namna yeyote ile, amelifanya nje ya kazi zake.

Tujifunze kuheshimu Sheria
 
Rais hajakosea lolote tena ameacha nafasi ya mahakama kutoa hukumu. Shida ya wapenda siasa wengi wakimchukia mtu wanaamini kila atakalofanya ni kosa.
 
Inawezekana kweli ametenda kosa kuchana Qurani, amewaudhi wengine, Lakini

1. Kuna taratibu tumejiwekea za kushughulka na watu kama hao wanaoamsha hasira za wengine! Uliapa kulinda katiba na sheria zitokanazo na katiba hiyo. Kunatartibu! Wewe huna mamlaka ya kisheria kumwajibisha. Mihemko ya nini? Niwie radhi kuwa this is cheap popularity and to win the Islamic community!

2. Umeshaidharau mahakama kwa kusema ashinde asishinde nimeshamfukuza kazi! Matamshi kama hayo ni ya kidictator katika nchi ambayo ni lawlessness. Unajipa ukuu wa kuwa juu ya mahakama na sheria maana unaapa kutoisikiliza mahakama in case anakwenda mahakamani na kushinda!

3. Hili siyo tukio la kwanza Nakuwekea kesi ya Dibagula uone how such issues are handled in a law abiding regime!
Ndugu yangu kweli hata huzitambuwi alama za nyakati? Tangulini mahakama ikaingiliana na serikali kuu?
Amesema amemfukuza kazi ya serikal kuu hana kazi huko mahakaman ashinde au asishinde ila hana kazi.
Alie muajiri hamtaki sasa amevunja sheria wapi?
Tumekuwa hater wa serikal kiasi hakuna jema tunaliona.
Ulitaka amwache mtu anaye taka kulipuwa taifa letu kwa mambo kidini?
Huyu nimtu hatari sana
 
Inawezekana kweli ametenda kosa kuchana Qurani, amewaudhi wengine, Lakini

1. Kuna taratibu tumejiwekea za kushughulka na watu kama hao wanaoamsha hasira za wengine! Uliapa kulinda katiba na sheria zitokanazo na katiba hiyo. Kunatartibu! Wewe huna mamlaka ya kisheria kumwajibisha. Mihemko ya nini? Niwie radhi kuwa this is cheap popularity and to win the Islamic community!

2. Umeshaidharau mahakama kwa kusema ashinde asishinde nimeshamfukuza kazi! Matamshi kama hayo ni ya kidictator katika nchi ambayo ni lawlessness. Unajipa ukuu wa kuwa juu ya mahakama na sheria maana unaapa kutoisikiliza mahakama in case anakwenda mahakamani na kushinda!

3. Hili siyo tukio la kwanza Nakuwekea kesi ya Dibagula uone how such issues are handled in a law abiding regime!
Mbona haja mzungumzia na yule alie chana Biblia? Ambayo yeye ana iamni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu yangu kweli hata huzitambuwi alama za nyakati? Tangulini mahakama ikaingiliana na serikali kuu?
Amesema amemfukuza kazi ya serikal kuu hana kazi huko mahakaman ashinde au asishinde ila hana kazi.
Alie muajiri hamtaki sasa amevunja sheria wapi?
Tumekuwa hater wa serikal kiasi hakuna jema tunaliona.
Ulitaka amwache mtu anaye taka kulipuwa taifa letu kwa mambo kidini?
Huyu nimtu hatari sana
Nakubaliana na wewe Magufili kuimeza mihimili mingine...ila hilo la Eti taifa lilipuke maxhafuko kisa kuchanwa hicho kįtabu....ni upumbavu kufikiri hivyo.
 
Ndugu yangu kweli hata huzitambuwi alama za nyakati? Tangulini mahakama ikaingiliana na serikali kuu?
Amesema amemfukuza kazi ya serikal kuu hana kazi huko mahakaman ashinde au asishinde ila hana kazi.
Alie muajiri hamtaki sasa amevunja sheria wapi?
Tumekuwa hater wa serikal kiasi hakuna jema tunaliona.
Ulitaka amwache mtu anaye taka kulipuwa taifa letu kwa mambo kidini?
Huyu nimtu hatari sana
Soma hii kitu
Administrative law is the body of law that governs the activities of administrative agencies of government. Government agency action can include rule making, adjudication, or the enforcement of a specific regulatory agenda.
Judicial review of administrative actions
Zaidi ya hapo, soma hii... c&p

1581441335221.png
 
Kinoamiguu,
1:Cha kwanza acha unafiki wa kijinga ww siyo muislam,muislamu hawezi kumtetea mtu aliye kidharirisha kitabu ambacho anaamimi ni kitukufu.
2:Kwa hiyo kumbe siku hizi ukiua au ukiiba nje ya kituo chako cha kazi ni halali?unapo onesha kitendo chochote kisicho faa ndani ya jamii haufai kuwa kiongozi au mtumishi.
3:Kitendo alicho fanya huyu jamaa ni inshara tosha ya chuki yake dhidi ya uislam na waislam, kwa mujibu wa sheria ni kosa kuonesha chuki hadharani dhidi ya jamii yeyote haijalishi unakubaliana na maono yake au la.
4: huyo aliye sema yesu sio mungu hana kosa kwa sababu yeye alitoa maoni yake jambo ambalo limeruhusiwa na katiba, ya kwamba unaruhusiwa kuamini chochote kwa imani yako Lakini usingilie au kukiharibu anacho amini mwenzio eti kwa sababu hukubaliani nacho,na ndio maana serikali imeruhusu midaharo mbali mbali kati ya dini tofauti hata hapa jf kuna jukwaa la dini.
5:kingine muajili wako ndio mwenye uwezo wa kukwambia sikuhitaji kwa sababu ndio kakuajili.
 
mahakamani ana kesi nyingine sio ya kiutumishi.....
mwajiri mkuu ameamua kwa nafasi yake.

Ukimpiga mkeo na kuna ushahidi wa video mahakamani utakuwa na kesi ya kumsababishia mkeo maumivu etc.. na mwajiri anakuona pimbi anakutimua kazi hata kabla ya hukumu.
Anajua kila kitu mkuu. Mara haongelei masuala yaliyoko Mahakamani, Leo kafukuza mtu kazi kwa kesi iliyoko mahakamani.

Najua watetezi wake watasema hizo alizochukua ni disciplinary action, lakini unamfikisha mtumishi mahakamani kisha unamchukulia hatua za kinidhamu?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais kama muajiri mkuu wa Serikali na aliyechana Quran ni muajiriwa wa Serikali na serikali imeweka viwango vya nidhamu na maadili ambavyo vingine vipo nje ya sheria ila ndani ya mamlaka ya ajira, kumfukuza mtu aliyefanya hivi si kosa.

Mahakàmà itaangalia kosa kwa upànde wa kisheria na serikali imeangalia kosa kwa upànde wa maadili na si makosa yote ya kimaadili yanavunja sheria, mengine yanavunja taratibu za kazi na za kiutumishi.

Mfano mtu kaenda kazini kalewa, hilo ni kosa la kimaadili ambalo sheria haiwezi kumkuta na kosa.

Rais hajavunja sheria yeyote ila katekeleza wajibu kama muajiri mkuu na msimamzi wa maadili wa watumishi wote wa umma
Kesha fukuzwa kazi kabla ya sheria kuchukua mkondo wake, sheria ingeanza kisha kufukuzwa kazi. Turejee pongezi kwa Rais alizotoa Mufti Mkuu akiwa Tanga ndizo zilizotoa muelekeo wa adhabu naye alikuwepo Kigamboni.
 
acting stupid ni kosa tayari... kuna kifungu cha sheria kinaingilia maisha na muonekano wa mtumishi ndani na nje ya mazingira ya kazi.

Mfano...Ukimrekodi mtumishi wa serikali kalewa na anakojoa kwenye kundi la watu inatosha kufukuzwa kazi

Huyu video ya kuchana kitabu kitakatifu kinamfutia sifa ya kuwa mtumishi wa serikali
Watakachofanya watu wa Utumishi (hiring authority) ni kumtafutia kosa huyu bwana. Kwa kuwa yupo ndani bila dhamana, easily wanaweza kusema hajareport kazini bila taarifa na/au ruhusa ya mwajiri. I am sure lazima watafute means kubariki maamuzi ya bwana Pombe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais kama muajiri mkuu wa Serikali na aliyechana Quran ni muajiriwa wa Serikali na serikali imeweka viwango vya nidhamu na maadili ambavyo vingine vipo nje ya sheria ila ndani ya mamlaka ya ajira, kumfukuza mtu aliyefanya hivi si kosa.

Mahakàmà itaangalia kosa kwa upànde wa kisheria na serikali imeangalia kosa kwa upànde wa maadili na si makosa yote ya kimaadili yanavunja sheria, mengine yanavunja taratibu za kazi na za kiutumishi.

Mfano mtu kaenda kazini kalewa, hilo ni kosa la kimaadili ambalo sheria haiwezi kumkuta na kosa.

Rais hajavunja sheria yeyote ila katekeleza wajibu kama muajiri mkuu na msimamzi wa maadili wa watumishi wote wa umma

Kwani sheria na maadili vinapingana??

Sheria inasimamia maadili wewe

Unafikiri kulewa sio kosa kisheria kwa mtumishi? Wacha uongo.

Rais amekosea ndio maana kasema ashinde sheria asishinde mi namfukuza.

Anaweza shinda kesi ila wa kumrudisha kazini ndio kizungumkuti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu yangu kweli hata huzitambuwi alama za nyakati? Tangulini mahakama ikaingiliana na serikali kuu?
Amesema amemfukuza kazi ya serikal kuu hana kazi huko mahakaman ashinde au asishinde ila hana kazi.
Alie muajiri hamtaki sasa amevunja sheria wapi?
Tumekuwa hater wa serikal kiasi hakuna jema tunaliona.
Ulitaka amwache mtu anaye taka kulipuwa taifa letu kwa mambo kidini?
Huyu nimtu hatari sana
Mbagala na Kagera makanisa yalichomwa moto lakini taifa halikulipuka.
 
Naungana na rais Kama mpenda amani wa nchi hii. The executive order inamlinda magufuli katika baadhi ya maamuzi anayochukua.wafanyakazi wapumbavu Kama hawa hakuna hajaya kusubiri maamuzi ya mahakama wakati video recorder imeonesha ushenzi wote alokuwa anaufanya. To hell
 
Nampongeza rais kwa uamuzi huo,huyo jamaa alichotaka kufanya ni kuivuruga amani yetu,niseme amepata alichokitaka.

Na amani ikiharibika zigo lote lingemwangukia Magufuli,
Na hii iwe lesson kwa wengine
Inawezekana kweli ametenda kosa kuchana Qurani, amewaudhi wengine, Lakini

1. Kuna taratibu tumejiwekea za kushughulka na watu kama hao wanaoamsha hasira za wengine! Uliapa kulinda katiba na sheria zitokanazo na katiba hiyo. Kunatartibu! Wewe huna mamlaka ya kisheria kumwajibisha. Mihemko ya nini? Niwie radhi kuwa this is cheap popularity and to win the Islamic community!

2. Umeshaidharau mahakama kwa kusema ashinde asishinde nimeshamfukuza kazi! Matamshi kama hayo ni ya kidictator katika nchi ambayo ni lawlessness. Unajipa ukuu wa kuwa juu ya mahakama na sheria maana unaapa kutoisikiliza mahakama in case anakwenda mahakamani na kushinda!

3. Hili siyo tukio la kwanza Nakuwekea kesi ya Dibagula uone how such issues are handled in a law abiding regime!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kufukuzwa au kisimamishwa kabla au baada ya kufunguliwa mashtaka ndio njia salama zaidi ya kudhibiti uhalifu.

Rais katenda wajibu wake kama muajiri kwa muajiriwa mwenye utovu wa nidhamu na ukosefu wa maadili.

Mahakamani kapelekwa akajibu mashtaka kama mhalifu ambapo yeyote angepelekwa Kama angefanya aliyofanya.

Kwa hiyo Kuna pande, Kuna adhabu ya muajiri kwa mwajiriwa na Kuna adhabu ya kisheria ya mahakàmà. Mwajiriwa halazimishwi na sheria ila kanuni na taratibu za ajira kwa mfano: mlevi anaweza kufukuzwa kwa kulewa kazini lakini sheria inaweza kutoona kosa lake na kumwachia hiyo haimaanishi mwajiriwa ana haki ya kumrudisha
Tayari ameishawishi mahakama itoe adhabu anayoitaka yeye.
 
Rais kama muajiri mkuu wa Serikali na aliyechana Quran ni muajiriwa wa Serikali na serikali imeweka viwango vya nidhamu na maadili ambavyo vingine vipo nje ya sheria ila ndani ya mamlaka ya ajira, kumfukuza mtu aliyefanya hivi si kosa.

Mahakàmà itaangalia kosa kwa upànde wa kisheria na serikali imeangalia kosa kwa upànde wa maadili na si makosa yote ya kimaadili yanavunja sheria, mengine yanavunja taratibu za kazi na za kiutumishi.

Mfano mtu kaenda kazini kalewa, hilo ni kosa la kimaadili ambalo sheria haiwezi kumkuta na kosa.

Rais hajavunja sheria yeyote ila katekeleza wajibu kama muajiri mkuu na msimamzi wa maadili wa watumishi wote wa umma
Raisi amejiridhishaje kama iliyochanwa ni Quran?. Kwamba karidhika tu kwa kuona clip ya video na maneno ya Watu mitandaoni? vipi kama hiyo ni clip iliyohaririwa?

Kama tunaziheshimu Mahakama basi ndio chombo sahihi cha kutuambia huyo Bwana kweli alichana Qurani au la.

Alitakiwa kuchukua hatua baada ya hukumu ya muhimili husika.
 
Back
Top Bottom