Rais Magufuli jitahidi uache uvunjaji wa sheria! Let justice take its natural course!

Rais Magufuli jitahidi uache uvunjaji wa sheria! Let justice take its natural course!

Hizi ndio sababu inabidi tujifunze kuangalia vitu kwa jicho la wengine.

Usitoe meaning ya vitu/matukio kwa uelewa wako, ndio unakuta mtu anafanisha adhabu ya mfanyakazi kulewa na kuchana kitabu cha Quran.

Mlevi akiingia msikitini wa dini yoyote sanasana watamtandika vibao na kumtoa nje; kwanza kwa waislamu kunywa pombe sio dhambi isipokuwa matendo yanayoweza fanywa baada ya kulewa ndio dhambi.

Halikadhalika kitabu cha Quran ni sacred kwa upande wao ivyo kukichana ni kununua ugomvi mkubwa sana.

Kwenye hili sakata either kwa kupangwa na serikari au utashi wao wenyewe viongozi wa dini waliojitokeza have handled the whole thing well kwenye kutuliza munkari za waumini wao.

Early reaction pia za serikari were very satisfactory kwa jicho la waislamu na nadhani serikari katika kuwaonyesha wapo serious kuheshimu sacred items zao ndio maana wanachukua hatua sahihi kwa mtazamo wa waislamu kulingana na ukubwa wa kosa lenyewe kwa tafsiri zao, sio za wengine.

Ni muhimu sana kama jamii tujifunze kuheshimu misingi ya dini za wengine especially kama atuelewi reasons behind their point of view (ata kama unaona hazina maana wala ukweli kwa mtazamo wako).

Binafsi kwa jinsi serikari na viongozi wa kiislamu walivyo handle sakata zima wameonyesha uelewa mkubwa wa changamoto inayounda jamii mchanganyiko ya watanzania.
 
Executive order ina power over judiciary and legislative.someni mjielimishe. Maamuzi ya rais hayapingwi hovyo.
Kwani sheria na maadili vinapingana??

Sheria inasimamia maadili wewe

Unafikiri kulewa sio kosa kisheria kwa mtumishi? Wacha uongo.

Rais amekosea ndio maana kasema ashinde sheria asishinde mi namfukuza.

Anaweza shinda kesi ila wa kumrudisha kazini ndio kizungumkuti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa jamaa waliwezana wenyewe tu.

Hata hapa bongo enzi za Ishu ya mwembe chai waliokuwa watawala hapa Dar walikuwa wao..



Tukirudi kwa Mashehe wa uamsho utashangaa

Rais wa kwao
IGP wao
Dar RPC wao
Jaji mkuu wao na wakashindwa kuwatoa waislam wenzao.

JPM atavuna kura zao mwishoni mwa mwaka huu kwa kuwatoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikaonekana magufuli alipowaambia Kuna mhimili umejichimbia zaidi ya mingine hamkumuelewa.
 
Rais hajakosea lolote tena ameacha nafasi ya mahakama kutoa hukumu. Shida ya wapenda siasa wengi wakimchukia mtu wanaamini kila atakalofanya ni kosa.
Rais amekosea by 100%. Huyu mfanyakazi anaweza akanyimwa haki zake leo kwa sababu Mahakimu na Majaji wataogopa kutoa maamuzi yaliyo fair.

Ila ukija utawala wa Rais mwingine hata 20 years to come, huyu mfanyakazi aliye chana Quoran atarejeshewa haki zake zote.

Watanzania kwenu na memory msiwe vichwa cha bata. BWM aliwahi kuwafukuzisha kazi Makamishna watano wa Police wakiwemo ACPs Walele, Man na Lyimo mwaka 1996.

Wakafungua kesi na wakashinda na kuepewa fidia kwenye mwaka 2005 au 2007. Huyu Jiwe ni Dikteta asiyefuata sheria kabisa
 
Mbona mwili unaupa kazi ya bule,kukibeba kichwa kisicho na kitu kwenye ubongo?kwani hicho kitabu alikichana akiwa ofisini?haitoshi Mwajili mkuu wa hao wote,akiwemo Rais ni mwananchi.
Mimi ninadhani anaeupa mwili kazi ya kubeba kichwa kisicho na kitu ni wewe ulieshindwa kumuelewa jamaa,andiko lake limejitosheleza kwa mtu yeyote mwenye ufahamu ulio timamu,Sasa nashindwa kuelewa sijui tatizo ulilo nalo ni upopoma au ni Nini.
 
Ingekua Bible imechanwa hapa mabaraza ya maaskofu wangeshatoa zaidi ya waraka 10 kutaka maelezo.waislam wametulia bado mnaleta midomo mirefu Kama chiriku.to hell
 
Watu wengi wamesahau Rais mstaafu Kikwete wakati ule Tucta waliitisha mgomo alipiga mkwara kuwa yeye ndio muajiri mkuu na mfanyakazi yeyote wa serikali ataegoma atakuwa kamfukuza kazi.

Kwahiyo msidhani rais alikuwa hajapata ushauri wa kitalaam kuhusu hii issue tatizo letu wengi tunakuwa na chuki kabla ya kusimamia kwenye ukweli yule jamaa hafai kuwa muajiriwa wa serikali hata ningekuwa mimi kiongozi ningemfuta kazi siku nyingi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • B3CB9118-404F-4286-841A-82FA1BAA0EB9.jpeg
    B3CB9118-404F-4286-841A-82FA1BAA0EB9.jpeg
    62.3 KB · Views: 1
Rais amekosea by 100%. Huyu mfanyakazi anaweza akanuimwa haki zake leo kwa sababu Mahakimu na Majaji wataogopa kutoa maamuzi yaliyo fair.

Ila ukija utawala wa Rais mwingine hata 20 years to come, huyu mfanyakazi aliye chana Quoran atarejeshewa haki zake zote.

Watanzania kwenu na memory msiwe vichwa cha bata. BWM aliwahi kuwafukuzisha kazi Makamishna watakao wa Police wakiwemo ACPs Walele, Man na Lyimo mwaka 1996.

Wanafungua kesi na wanashinda na kuelewa fidia kwenye mwaka 2005 au 2007. Huyu Jiwe ni Dikteta asiyefuata sheria kabisa
Ulichosema Ni kweli
FB_IMG_15813639019834921.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani mtu achane Biblia au tenzi za rohoni kwa maono yake alafu mimi nidhurike au nikasirike? kama hizi vitabu ni vya Mungu au Allah basi mwenye vitabu vyake watampatia hukumu ila siyo binadamu kushupalia tu shingo.
Yaani umetoka kumnyima jirani yako pesa ya kumpeleka mtoto wake hospitali alafu unakuja kukasirika kua mtu amechana kitabu cha dini si upumbavu huo.
Inaonekana aliye nyimwa hela na jirani yake ili kupeleka mtoto wake hospital ni ww.
 
Back
Top Bottom