RTI
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 2,423
- 7,155
Hilo jambo la kufumaniana utalilinganishaje na hili? Suala lakufumania halimuhusu mtu mwingine zaidi ya aliye fumania na aliye fumaniwa kwa sababu kama ni mke ni wako tu na sio mke wa jamii fulani.Sio kwer Kama ndio hivyo bac sheria hiyo ilisha expaya maana watumish wanafumaniana kila siku na hazchukuliwi hatua Kama hizo
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini kitabu cha dini kinagusa mamilioni ya watu na haitakiwi kukidhihaki ni kosa.