Rais Magufuli jitahidi uache uvunjaji wa sheria! Let justice take its natural course!

Rais Magufuli jitahidi uache uvunjaji wa sheria! Let justice take its natural course!

Pole sana . Mm ni mwislamu ila siyo DOGMA.
Ungesema kosa alofanya pale kisheria ni lipi.katiba kusema tu kwamba kufanya jambo lisilofaa hufai kuwa Mtumishi ni kuonesha kwahyo MTUMISHI AKIFUMANIWA ANAFUKUZWA KAZI?

Sent using Jamii Forums mobile app

WANASHERIA NAOMBA UFAFANUZI WENU. Najua katiba yetu inatambua uwepo wa mihimili mitatu, SERIKALI, BUNGE NA MAHAKAMA. Swali, je ni muhimili hupo uliopewa mamlaka ya kutoa haki ?. Hili nimeliuliza baada ya kumsikia muheshimiwa akitaka aliyechana kitabu kitakatifu cha waislamu afutwe kazi. Lakini ni pale tu aliposema, ASHINDE KESI AMA ASHINDWA HATARUDISHWA KAZINI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna mwajiri mpumbavu ambaye anaweza amuajiri yule kichaa ... Mtumishi wa umma mpumbavu ... siujui uislam ila siwezi nikaamka asubuhi nianze kuchana makaratasi yao infront of camera eti kisa siutaki uislam ...
Jiulize,
1. Kitabu alikipata wapi?
2. Nani alirekodi?
3. Alichana akiwa wapi?
 
Weka na kifungu cha adhabu ili tujue Kama kilichofanywa na RAISI ni sawa au si sawa!
Hapa umeniwekea kanuni bila adhabu ya atakayekiuka!!!
Kifungu 6(7) Cha kanuni za maadili kwa watumishi wa umma kinasema "Watumishi wa Umma wanapaswakuepuka tabia ambayo inavunjaheshima ya utumishi wao kwaumma hata wanapokuwa nje yamahali pa kazi. Tabia inayoweza kuvunja heshima ya utumishi waumma ni pamoja na matumizi yamadawa ya kulevya, ulevi, kukopakwa kiwango ambacho hawawezikurejesha, mwenendo mbaya nakujihusisha na vitendo vyovyote viovu mbele ya jamii".

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiongozi namba 4 na namba 5 unajikontradikti... umeonyesha uislamu wako na si uhalisia... Yaani huyu kusema Yesu si Mungu umeona ni sawa..!!! Hapo hapo kwa dhana hiyo hiyo usisahau kuwa kwa aliyechama hicho kitabu, kwa imani yake halina tofauti na kile cha historia, kama ambavyo huyo aliyesema Yesu si Mungu anaovyoamini juu ya hilo... HALAFU USISAHAU KUWA KATIBA INATOA UHURU WA KUTOA MAONI, LAKINI INATEGEMEA NA MAONI UNAYOTOA... Hivi ukiona useme utauwa watanzania wote uachwe kwa vile una uhuru wa kutoa maoni.???
Kwa hiyo unaona ni sawa mtu kuchana Biblia? Kwanza Uislam kwa mfano hauruhusu kuchana kitabu chochote ambacho Jina Mungu limetajwa,haijalishi limetajwa kwa muktadha ambao siyo sahihi au sawa na matakwa ya Kiislam lakini,ule uwezekano tu kuwa Mungu anaabudiwa(hata kwa njia zisizo sahihi au zisizoendana na Uislam,basi inabid kuheshimu,kwani ipo siku muhusika/wahusika wanaweza kuijua YAKINI/KWELI/FACTS kisha wakaja kuwa Waislam). So Muislam hawez kuchana Biblia asilani.
Ubishi wa maneno kwa kujibizana kwa hoja bila matusi haikatazwi. Yesu ni Mungu kwa Wakristo(kadri wanavyoamini), na Isa bin Mariam(Literally Jesu,Yesu,Jesus) Siyo mungu(bali ni Mjumbe wa Mwenyezimungu sawa na Musa,Ibrahim,Adam,Muhammad na wengine waliokuja kuja kutoa neno la kumcha Mungu), lakini kati ya mambo hayo mawili kwa dini hizo mbili,kila anachoamini mwenzake yaani Mungu au Siyo mungu( kwa Waislam) basi ni makosa kwa mwenzake.
Hapo nimeweka Mungu na mungu,ikiwa na maana kubwa literally Kiislam

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nidhamu ni muhimu angekuwa mwajiriwa wangu ningemtimua pia ... hastahili huruma labda huruma ya shetwaan na wafuwasie. Ukitetea tetea hawa watu utakuja kutetea hata ushoga! No way!!!
 
kitendo alichofanya jamaa ni hatarishi, kinagusa na kuumiza hisia za watu wa dini nyingine. matendo kama haya ni mizizi ya kuvuruga amani ya nchi yetu.

na viongozi wa serikali wamechukua msimamo thabiti ili kupoza jambo lenyewe ikizingatiwa, aliyefanya kitendo hicho cha kibadhuli ni mtumishi wa umma.

sheria jinsi ya kumtoa katika utumishi wake wa umma, kweli haijakaa sawa.
kwa sababu hatua aliyochukua kiongozi mkuu ya nchi, ni kwamba hata kama jamaa ataitwa kujieleza hukumu yake ishaamuliwa.

nichukue nafasi hii kuiomba serikali kuwatendea haki masheikh wa uamsho waliopo jela kwa makosa ya ugaidi. wakati serikali yetu pendwa daima hupinga uwepo wa ugaidi nchini kwetu kuepusha madhara yake ikiwemo kuharibu uwekezaji, utalii na nk.

kuumia kwao katika hili kutakuwa na maana sana ikiwa masheikh waachiwe.
mbona mapadre, maaskofu wanaipinga au kuikosoa serikali hawafungwi au kuitwa magaidi?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu punguza uongo, unywaji wa pombe ni dhambi na imetajwa ni vitu vya kishetani kwenye Quran. Usipotoshe
Hizi ndio sababu inabidi tujifunze kuangalia vitu kwa jicho la wengine.

Usitoe meaning ya vitu/matukio kwa uelewa wako, ndio unakuta mtu anafanisha adhabu ya mfanyakazi kulewa na kuchana kitabu cha Quran.

Mlevi akiingia msikitini wa dini yoyote sanasana watamtandika vibao na kumtoa nje; kwanza kwa waislamu kunywa pombe sio dhambi isipokuwa matendo yanayoweza fanywa baada ya kulewa ndio dhambi.

Halikadhalika kitabu cha Quran ni sacred kwa upande wao ivyo kukichana ni kununua ugomvi mkubwa sana.

Kwenye hili sakata either kwa kupangwa na serikari au utashi wao wenyewe viongozi wa dini waliojitokeza have handled the whole thing well kwenye kutuliza munkari za waumini wao.

Early reaction pia za serikari were very satisfactory kwa jicho la waislamu na nadhani serikari katika kuwaonyesha wapo serious kuheshimu sacred items zao ndio maana wanachukua hatua sahihi kwa mtazamo wa waislamu kulingana na ukubwa wa kosa lenyewe kwa tafsiri zao, sio za wengine.

Ni muhimu sana kama jamii tujifunze kuheshimu misingi ya dini za wengine especially kama atuelewi reasons behind their point of view (ata kama unaona hazina maana wala ukweli kwa mtazamo wako).

Binafsi kwa jinsi serikari na viongozi wa kiislamu walivyo handle sakata zima wameonyesha uelewa mkubwa wa changamoto inayounda jamii mchanganyiko ya watanzania.
 
Wewe ni.mpumbavu
Nikiri kwamba mimi ni muislamu kwa kuzaliwa.

Ukiwa mpenda haki lazima uwe na uwezo wa kusimama katikati na kusema kweli.
Iliripotiwa kwamba kuna mtumishi mmoja kachana MASAHAF Huko Morogoro.

Hatua zilizochukuliwa dhidi yake ni kama ameua yaani mwamposa aliyekusanya watu na kusababisha wakanyagane akaonekana katenda jambo dogo kweli kuliko la kuchana MASAHAF.

Kama tunakumbuka vizuri hapa jukwaani kuna mtu aliitwa DIBAGULA. Huyu bwana alitokea huko huko Morogoro. yeye alisema YESU SIO MUNGU. Hukumu ya case yake inajulikana ukweli ni kwamba alishinda?

Leo kuna mzalendo mmoja huko Kigamboni amemfukuza huyu bwana kazi. Ni amma hajui sheria, kanuni na taratibu za utumishi au ni mihemko tu ya kuelekea Uchaguzi Mkuu.

Nitaeleza:

1) Kwanza jamaa hajapewa nafasi ya kusikilizwa. Hapo anashinda mchana kweupe, hakuna mashtaka yoyote ya kiutumishi yaliyofunguliwa dhidi yake. Mkuu wa nchi kaingia chaka.

2) Imani yake haiamini kwenye utukufu wa qurani, yeye mkristo, unaposema kitabu kitakatifu sio kwake

3) Kosa alilofanya halimuathiri mwajiri wake kwa namna yeyote ile, amelifanya nje ya kazi zake.

Tujifunze kuheshimu Sheria

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1:Cha kwanza acha unafiki wa kijinga ww siyo muislam,muislamu hawezi kumtetea mtu aliye kidharirisha kitabu ambacho anaamimi ni kitukufu.
2:Kwa hiyo kumbe siku hizi ukiua au ukiiba nje ya kituo chako cha kazi ni halali?unapo onesha kitendo chochote kisicho faa ndani ya jamii haufai kuwa kiongozi au mtumishi.
3:Kitendo alicho fanya huyu jamaa ni inshara tosha ya chuki yake dhidi ya uislam na waislam, kwa mujibu wa sheria ni kosa kuonesha chuki hadharani dhidi ya jamii yeyote haijalishi unakubaliana na maono yake au la.
4: huyo aliye sema yesu sio mungu hana kosa kwa sababu yeye alitoa maoni yake jambo ambalo limeruhusiwa na katiba, ya kwamba unaruhusiwa kuamini chochote kwa imani yako Lakini usingilie au kukiharibu anacho amini mwenzio eti kwa sababu hukubaliani nacho,na ndio maana serikali imeruhusu midaharo mbali mbali kati ya dini tofauti hata hapa jf kuna jukwaa la dini.
5:kingine muajili wako ndio mwenye uwezo wa kukwambia sikuhitaji kwa sababu ndio kakuajili.
Muachie yeye akachukuwe katiba ya CCM na aichane pale
Nikiri kwamba mimi ni muislamu kwa kuzaliwa.

Ukiwa mpenda haki lazima uwe na uwezo wa kusimama katikati na kusema kweli.
Iliripotiwa kwamba kuna mtumishi mmoja kachana MASAHAF Huko Morogoro.

Hatua zilizochukuliwa dhidi yake ni kama ameua yaani mwamposa aliyekusanya watu na kusababisha wakanyagane akaonekana katenda jambo dogo kweli kuliko la kuchana MASAHAF.

Kama tunakumbuka vizuri hapa jukwaani kuna mtu aliitwa DIBAGULA. Huyu bwana alitokea huko huko Morogoro. yeye alisema YESU SIO MUNGU. Hukumu ya case yake inajulikana ukweli ni kwamba alishinda?

Leo kuna mzalendo mmoja huko Kigamboni amemfukuza huyu bwana kazi. Ni amma hajui sheria, kanuni na taratibu za utumishi au ni mihemko tu ya kuelekea Uchaguzi Mkuu.

Nitaeleza:

1) Kwanza jamaa hajapewa nafasi ya kusikilizwa. Hapo anashinda mchana kweupe, hakuna mashtaka yoyote ya kiutumishi yaliyofunguliwa dhidi yake. Mkuu wa nchi kaingia chaka.

2) Imani yake haiamini kwenye utukufu wa qurani, yeye mkristo, unaposema kitabu kitakatifu sio kwake

3) Kosa alilofanya halimuathiri mwajiri wake kwa namna yeyote ile, amelifanya nje ya kazi zake.

Tujifunze kuheshimu Sheria

Wewe ni muislamu kwa jina tu

Kutamka kuwa Yesu si Mungu imo kwenye Quran kwa hiyo yeye akinukuu tu si maneo yake.

Kitendo alichofanya jamaa kinfeweza kusababisha mchafuko na mapigano ya kidini hasa kwa wakati huu ambapo kuna viashiria vya kutonfahamu.

Angekuwa mkweo mtarajiwa unamuona anawagawia KY na condom wanaume wenzake kituo cha basi ungesubiri uje umsikilize?
 
Angejifungia chumbani akachana hata kuruani mia, ukifanya hadharani ina maana kuna ujumbe unataka waislamu waupate, sasa kabla hawajamjibu mwajiri wake mkuu kamjibu. Nampa pole ila ile ilikuwa ni mihemko na kutokuwa makini. Jitu zima unakubali kurekodiwa ukichana kitabu cha imani kinachoaminiwa na mamilioni ya watu. Huogopi hata wenye imani zao watakachokufanya wakipandwa na hasira?. Amshukuru raisi, huenda adhabu aliyopewa ikapunguza hasira za waliokuwa na mawazo ya kumwadhibu kwa kudhalilisha imani yao.
 
Muislamu gan wewe usiyejitambua naamin huna elimu ya dini yako mzee Kama kweli muislamu jitahidi kuisoma dini yako ila kama unaekti sawa endelea kuekti
Nikiri kwamba mimi ni muislamu kwa kuzaliwa.

Ukiwa mpenda haki lazima uwe na uwezo wa kusimama katikati na kusema kweli.
Iliripotiwa kwamba kuna mtumishi mmoja kachana MASAHAF Huko Morogoro.

Hatua zilizochukuliwa dhidi yake ni kama ameua yaani mwamposa aliyekusanya watu na kusababisha wakanyagane akaonekana katenda jambo dogo kweli kuliko la kuchana MASAHAF.

Kama tunakumbuka vizuri hapa jukwaani kuna mtu aliitwa DIBAGULA. Huyu bwana alitokea huko huko Morogoro. yeye alisema YESU SIO MUNGU. Hukumu ya case yake inajulikana ukweli ni kwamba alishinda?

Leo kuna mzalendo mmoja huko Kigamboni amemfukuza huyu bwana kazi. Ni amma hajui sheria, kanuni na taratibu za utumishi au ni mihemko tu ya kuelekea Uchaguzi Mkuu.

Nitaeleza:

1) Kwanza jamaa hajapewa nafasi ya kusikilizwa. Hapo anashinda mchana kweupe, hakuna mashtaka yoyote ya kiutumishi yaliyofunguliwa dhidi yake. Mkuu wa nchi kaingia chaka.

2) Imani yake haiamini kwenye utukufu wa qurani, yeye mkristo, unaposema kitabu kitakatifu sio kwake

3) Kosa alilofanya halimuathiri mwajiri wake kwa namna yeyote ile, amelifanya nje ya kazi zake.

Tujifunze kuheshimu Sheria

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu punguza uongo, unywaji wa pombe ni dhambi na imetajwa ni vitu vya kishetani kwenye Quran. Usipotoshe
83B35FB7-3FD8-4F5F-BB73-6713A2069F1B.jpeg


Hizo pia ni beer ukinywa inaacha harufu mdomoni kama bia zingine isipokuwa hazina kilevi ndani yake.

Mie sijui sana mambo ya dini na aya zake; hila kama wewe unaishi nje ya nchi tafuta maduka ya wasomali au waarabu ambayo hata sigara awauzi na muuza duka swala tano utakutana na hizo beer katika baadhi ya maduka.

Sio wote wanatumia hata hizo zisizo na vilevi hila wenyewe wanasema sio dhambi, kulewa ndio dhambi. Ndio maana wanauza alcohol free; haya gani za Quran zinasema ivyo sijui my knowledge is limited.
 
Siwezi kumkubali magufuli kwa kila analofanya nitakua taahira Kama wewe. Binadamu anaejielewa anajua baya na zuri.
sasa kama serikali iliyoko madarakani inafanya kazi kwa niaba yako , mbona huwa unashupaza shingo kumpondea magufuli humu jukwaani?
 
Namkumbuka Dibagula alitaka kuleta maandamani ya nchi nzima.Na yule hakimu alifukuzwa kazi na rais kwa manufaa ya uma lkn Siyo kwa kesi hiyo.
 
Back
Top Bottom