Rais Magufuli jitahidi uache uvunjaji wa sheria! Let justice take its natural course!

Rais Magufuli jitahidi uache uvunjaji wa sheria! Let justice take its natural course!

Pole sana . Mm ni mwislamu ila siyo DOGMA.
Ungesema kosa alofanya pale kisheria ni lipi.katiba kusema tu kwamba kufanya jambo lisilofaa hufai kuwa Mtumishi ni kuonesha kwahyo MTUMISHI AKIFUMANIWA ANAFUKUZWA KAZI?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hapa utajibiwa au kukosolewa kwa hisia kulingana na imani ya mchangiaji.
Karibu wote hapa ni watumwa wa fikra.
 
Pole sana . Mm ni mwislamu ila siyo DOGMA.
Ungesema kosa alofanya pale kisheria ni lipi.katiba kusema tu kwamba kufanya jambo lisilofaa hufai kuwa Mtumishi ni kuonesha kwahyo MTUMISHI AKIFUMANIWA ANAFUKUZWA KAZI?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mm nionavyo ametenda kitendo ambacho kinaweza kuleta machafuko makubwa kijamii na kitaifa. Pia kuna histiria znaonesha kuwa watu wa jamii fulani hukosa uvumilivu unapowatendea jambo hilo. Pia kuna maneno aliyatamka kuwa alidhamiria machafuko hayo.
Hivyo km unaweza kuongea na waislam wenzako ili msikasirishwe na tendo hilo bas utatusaidia nawe utaamasisha wengine watende ili waichukulie kua ni jambo la kawaida km kuchana vocha tu baada kuitumia.
 
3) Kosa alilofanya halimuathiri mwajiri wake kwa namna yeyote ile, amelifanya nje ya kazi zake.

Yule alikua mtumishi wa serikali, sasa angewezaje kufanya kazi na waislam au kuhudumia waislam baada ya tukio lile?
Lile tukio lingekua na athari kubwa sana kwa mwajiri. Kwa kifupi angekuwa mzigo au kuleta mtafaruku kazini!!!
 
Nikiri kwamba mimi ni muislamu kwa kuzaliwa.

Ukiwa mpenda haki lazima uwe na uwezo wa kusimama katikati na kusema kweli.
Iliripotiwa kwamba kuna mtumishi mmoja kachana MASAHAF Huko Morogoro.

Hatua zilizochukuliwa dhidi yake ni kama ameua yaani mwamposa aliyekusanya watu na kusababisha wakanyagane akaonekana katenda jambo dogo kweli kuliko la kuchana MASAHAF.

Kama tunakumbuka vizuri hapa jukwaani kuna mtu aliitwa DIBAGULA. Huyu bwana alitokea huko huko Morogoro. yeye alisema YESU SIO MUNGU. Hukumu ya case yake inajulikana ukweli ni kwamba alishinda?

Leo kuna mzalendo mmoja huko Kigamboni amemfukuza huyu bwana kazi. Ni amma hajui sheria, kanuni na taratibu za utumishi au ni mihemko tu ya kuelekea Uchaguzi Mkuu.

Nitaeleza:

1) Kwanza jamaa hajapewa nafasi ya kusikilizwa. Hapo anashinda mchana kweupe, hakuna mashtaka yoyote ya kiutumishi yaliyofunguliwa dhidi yake. Mkuu wa nchi kaingia chaka.

2) Imani yake haiamini kwenye utukufu wa qurani, yeye mkristo, unaposema kitabu kitakatifu sio kwake

3) Kosa alilofanya halimuathiri mwajiri wake kwa namna yeyote ile, amelifanya nje ya kazi zake.

Tujifunze kuheshimu Sheria
Katika mambumbu wewe ni mkubwa wao kama ingetokea wewe kuwa kiongozi wa nchi ungeweza kusababisha raia wako wakachinjana kama kuku

Nini kingetokea endapo na waislam nao wange react na kuenda kuchoma makanisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Quran huwezi kuifananisha na watu 20
Nikiri kwamba mimi ni muislamu kwa kuzaliwa.

Ukiwa mpenda haki lazima uwe na uwezo wa kusimama katikati na kusema kweli.
Iliripotiwa kwamba kuna mtumishi mmoja kachana MASAHAF Huko Morogoro.

Hatua zilizochukuliwa dhidi yake ni kama ameua yaani mwamposa aliyekusanya watu na kusababisha wakanyagane akaonekana katenda jambo dogo kweli kuliko la kuchana MASAHAF.

Kama tunakumbuka vizuri hapa jukwaani kuna mtu aliitwa DIBAGULA. Huyu bwana alitokea huko huko Morogoro. yeye alisema YESU SIO MUNGU. Hukumu ya case yake inajulikana ukweli ni kwamba alishinda?

Leo kuna mzalendo mmoja huko Kigamboni amemfukuza huyu bwana kazi. Ni amma hajui sheria, kanuni na taratibu za utumishi au ni mihemko tu ya kuelekea Uchaguzi Mkuu.

Nitaeleza:

1) Kwanza jamaa hajapewa nafasi ya kusikilizwa. Hapo anashinda mchana kweupe, hakuna mashtaka yoyote ya kiutumishi yaliyofunguliwa dhidi yake. Mkuu wa nchi kaingia chaka.

2) Imani yake haiamini kwenye utukufu wa qurani, yeye mkristo, unaposema kitabu kitakatifu sio kwake

3) Kosa alilofanya halimuathiri mwajiri wake kwa namna yeyote ile, amelifanya nje ya kazi zake.

Tujifunze kuheshimu Sheria

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo unaona ni sawa mtu kuchana Biblia? Kwanza Uislam kwa mfano hauruhusu kuchana kitabu chochote ambacho Jina Mungu limetajwa,haijalishi limetajwa kwa muktadha ambao siyo sahihi au sawa na matakwa ya Kiislam lakini,ule uwezekano tu kuwa Mungu anaabudiwa(hata kwa njia zisizo sahihi au zisizoendana na Uislam,basi inabid kuheshimu,kwani ipo siku muhusika/wahusika wanaweza kuijua YAKINI/KWELI/FACTS kisha wakaja kuwa Waislam). So Muislam hawez kuchana Biblia asilani.
Ubishi wa maneno kwa kujibizana kwa hoja bila matusi haikatazwi. Yesu ni Mungu kwa Wakristo(kadri wanavyoamini), na Isa bin Mariam(Literally Jesu,Yesu,Jesus) Siyo mungu(bali ni Mjumbe wa Mwenyezimungu sawa na Musa,Ibrahim,Adam,Muhammad na wengine waliokuja kuja kutoa neno la kumcha Mungu), lakini kati ya mambo hayo mawili kwa dini hizo mbili,kila anachoamini mwenzake yaani Mungu au Siyo mungu( kwa Waislam) basi ni makosa kwa mwenzake.
Hapo nimeweka Mungu na mungu,ikiwa na maana kubwa literally Kiislam

Sent using Jamii Forums mobile app
Bado hujaisrma contradiction niliyokuambia ya namba 4 na 5 kwenyr majibu yako.

Sijasema muislam kuchana biblia ni sawa, la hasha..!!! Ishu ni kuwa kumfukuza kazi huyo jamaa bila kumsikiliza au kufuata taratibu zilizowekwa ni kumuonea.. HATA MUUWAJI BADO ANA HAKI ZAKE...
 
Mtoa mada unajua athali ambayo imawezatokea? Kama ni mtumishi wa uma unatakiwa kuwa kioo katika jamii. Msitetee ujinga huwezi chana kitabu wenziyo wanaasoma kwa imani yao tena unatemea mate ukanyamiziwa. Tukiyafumbia macho tutaanza chomeana misikiti na makanisa maana ugonjwa wa Kansa uanza kama kipele kisha utafuna sehemu husika mwishowe uleta umauti . Hivyo ni bora mapema kukata sehemu husika kabla hujasambaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ili kuwa mtumishi wa uma vinaangaliwa vitu vingi ikiwemo kuheshimu kila mtu bila kujali ni mtu wa imani gani.
Ubaguzi na chuki vinaenda kinyume na utumishi wa uma.
Ni kweli kabisa, lakini mtu anasikilizwa kwanza kisha taratibu na sheria zinafuata mkondo sio Rais kusimama na kusema ashinde kesi au asishinde fukuza kazi!
Hivi kesha tamka hayo, na baada ya uchunguzi inagundulika kuwa ile haikuwa Qur'an bali kitabu cha Alfu lela ulela kilichoandikwa kiarabu Rais atabadili kauli na kuomba radhi?
Hiyo ni mihemko na kukuza jambo kuwa kubwa, kwani lazima yeye aingilie kila jambo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo serikali zijazo zitaanza kutuhusu watu wachane Quran Tukufu na Biblia Takatifu. Kwamba serikali ya Magufuli inatakiwa kupuuza Freedom of worship? Nakuuliza swalswali, aliyechana Qur'an kakosea au lah kulingana na sheria za nchi.
Nimeongelea Utawala wa Sheria (Rule of Law) ambapo kila mhimili unayo majukumu yake. Sijaongelea whether mtuhumiwa ana kosa au hana, ni jukumu la Mamlaka inayotambulika kisheria. Ila Rais hawezi kuwa Polisi, Mwendesha Mashtaka na Jaji kwa wakati mmoja.

Rais ajikite kwenye majukumu yake tu
 
1:Cha kwanza acha unafiki wa kijinga ww siyo muislam,muislamu hawezi kumtetea mtu aliye kidharirisha kitabu ambacho anaamimi ni kitukufu.
2:Kwa hiyo kumbe siku hizi ukiua au ukiiba nje ya kituo chako cha kazi ni halali?unapo onesha kitendo chochote kisicho faa ndani ya jamii haufai kuwa kiongozi au mtumishi.
3:Kitendo alicho fanya huyu jamaa ni inshara tosha ya chuki yake dhidi ya uislam na waislam, kwa mujibu wa sheria ni kosa kuonesha chuki hadharani dhidi ya jamii yeyote haijalishi unakubaliana na maono yake au la.
4: huyo aliye sema yesu sio mungu hana kosa kwa sababu yeye alitoa maoni yake jambo ambalo limeruhusiwa na katiba, ya kwamba unaruhusiwa kuamini chochote kwa imani yako Lakini usingilie au kukiharibu anacho amini mwenzio eti kwa sababu hukubaliani nacho,na ndio maana serikali imeruhusu midaharo mbali mbali kati ya dini tofauti hata hapa jf kuna jukwaa la dini.
5:kingine muajili wako ndio mwenye uwezo wa kukwambia sikuhitaji kwa sababu ndio kakuajili.
Ujinga ni mzigo.
1. Anaachishwa kazi kwa tamko au kwa sheria, taratibu na kanuni?

2. Mimi naamini Yesu ni Mungu, wewe huamini. Unaamua kuutangazia umma kuwa ukristo ni dini ya uongo maana wanakufuru kwa kusema Yesu ni Mungu. Unawatendea haki wanaoamini hivyo? Kwa nini usitangaze dini yako bila kuitaja ya mwenzio? Si kila mtu ana uhuru wa kuamini? Kwa nini uhatarishe uhuru huo?

3. Wewe ni muislam, unaamini kuwa Mohammad ni mtume wa mwenyezi Mungu. Mimi niseme yule ni tapeli tu, kwanza mbakaji. Alioa mtoto wa miska 14 akawa ana mbaka, mtume wa Mungu anakuwa mbakaji? Dini ya uislam ni dini ya mapepo na mashetani ndio maana wanafuga majini.

Vp hapo ntakuwa sawa siyo? Maama natoa maoni yangu kama ulivyotoa kule juu.

Sasa basi

1. Alichofanya mchana Qur'an, hana tofauti na kinachofanywa na wanaoamini na kutoa ya moyoni kila siku wakidhani ni uhuru wa maoni. Vyote ni ujinga tu na kutojitambua.

2. Sisi wafuasi ndiyo wajinga zaidi. Unaanzanje kuwa na hasira dhidi ya mtu anayeonesha kutoelewa kile unachoamini? Hivi kati yako na Mungu nani anaumia? Kwa nini uoneshe hasira zako kwa mtu huyo wakati Mungu yupo na anatakiwa ajitetee mwenyewe? Au Mungu huyo ni dhaifu hawezi kujipigania? Mchana msahafu Mungu kamuona, amwadhibu yeye, sisi wanadam tusichukue nafasi ya Mungu maana tutathibitisha kuwa Mungu hayupo au ni dhaifu.

3. Achukuliwe hatua kwa kuzingatia STK


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu tunaowaabudu ni dhaifu sana. Wanahitaji wanajeshi yaani binadamu ili wawe imara na madhubuti. Bila msaada wa wanajeshi/waamuni, huyo mungu ni dhaifu mno
Yaani mtu achane Biblia au tenzi za rohoni kwa maono yake alafu mimi nidhurike au nikasirike? kama hizi vitabu ni vya Mungu au Allah basi mwenye vitabu vyake watampatia hukumu ila siyo binadamu kushupalia tu shingo.
Yaani umetoka kumnyima jirani yako pesa ya kumpeleka mtoto wake hospitali alafu unakuja kukasirika kua mtu amechana kitabu cha dini si upumbavu huo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haikuwa Iringa, ni Morogoro! Hakuwa Mtumishi wa Umma, alikuwa MHADHIRI WA KIISLAM, alifanya Mhadhara CHAMWINO -Morogoro! Akatamka Yesu sio Mungu! Alikamatwa na kuhikumiwa kifungo (nadhani miezi 3)! Waliokuja kiliamsha dude walikuwa waislam wa Dar chini ya akina SHEIKH MBUKUZI kama Amir wa Shura! Maandamano yapangwa! Wakaandamana!
Dibagula aliajiriwa na nani,alikua mtumishi?
Utumishi wa Umma una nidham yake,lazima uwe mfano kwa jamii. Kulewa saa za kazi,matusi,ugomvi na kusababisha uvunjifu wa amani ni vitendo vinavyotakiwa kuepukwa sana hasa ukiwa Mtumishi wa UMMA,(nimeweka Umma kwa sababu siyo mambo binafsi,bali ni miiko na maadili ya Utumishi wa UMMA)
Inaweza isiwe kesi mahakamani au ikawa kesi na kushinda mahakamani,ila siyo maadili mema ya kiutumishi.
Sina hakika na Dibagula kule Iringa kama sikosei, kama alikua ni Mtumishi wa Umma au la.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tukio la Dibagula ndio ilikuwa mwanzo wa kupotea kwa Sheikh MBUKUZI ktk uso wa harakati za KIISLAM! Nakumbuka IGP alikuwa Mahita! Ilisemwa Mbukuzi alipokea vitisho kutoka Police ili kuhairisha Maandamano yale, waislam wakamweka pembeni!

Kesi ya Dibagula ilipelekwa Dsm haraka sana (sikumbuki km ilikuwa rufaa ama) na kwa uharaka huo ikasomwa upya na Dibagula aliachiliwa kutoka jela!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama siyo Mungu inakuhusu nini wewe usiyeamini? Si uniache niamini? Au hakuna uhuru wa kuamini? Kitendo cha kunitoa kwenye imani yangu, siyo kuvunja uhuru wa kuamini?
Dibagula alichana na kuikanyaga Biblia?

Kusema Yesu siyo Mungu siyo ishu maana imeandikwa hivyo kwenye Quran kuwa Yesu siyo Mungu.

hata Mashahidi wa Yehova wanasema Yesu siyo Mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja ya athari za kifaa cha kusaidia moyo (pace maker,) ni depression (sonona)

Hii hupelekea baadhi ya wagonjwa kuwa vichaa na wengine hupekea kujiua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa huyu wetu hajiui au kuomba madaktari wake wamuue ,hili la kuwa kichaa nadhani sometime linatokea hasa watu wakipata majanga zinaruka kidogo
 
1:Cha kwanza acha unafiki wa kijinga ww siyo muislam,muislamu hawezi kumtetea mtu aliye kidharirisha kitabu ambacho anaamimi ni kitukufu.
2:Kwa hiyo kumbe siku hizi ukiua au ukiiba nje ya kituo chako cha kazi ni halali?unapo onesha kitendo chochote kisicho faa ndani ya jamii haufai kuwa kiongozi au mtumishi.
3:Kitendo alicho fanya huyu jamaa ni inshara tosha ya chuki yake dhidi ya uislam na waislam, kwa mujibu wa sheria ni kosa kuonesha chuki hadharani dhidi ya jamii yeyote haijalishi unakubaliana na maono yake au la.
4: huyo aliye sema yesu sio mungu hana kosa kwa sababu yeye alitoa maoni yake jambo ambalo limeruhusiwa na katiba, ya kwamba unaruhusiwa kuamini chochote kwa imani yako Lakini usingilie au kukiharibu anacho amini mwenzio eti kwa sababu hukubaliani nacho,na ndio maana serikali imeruhusu midaharo mbali mbali kati ya dini tofauti hata hapa jf kuna jukwaa la dini.
5:kingine muajili wako ndio mwenye uwezo wa kukwambia sikuhitaji kwa sababu ndio kakuajili.
Unasemaje kuhusu wale wawakilishi wetu wanaochana hotuba za upinzani pale bungeni
 
Tatizo ni tunavyo viamini, hatuwezi kuelewana.
Haijalishi unaamini nini ila kuchukua kitabu cha wenzako ukakichana na maneno kibao ya dhihaka sio sahihi. Same people mnaomtetea huyu jamaa sidhani mngefurahi ingekuwa kinyume chake. Watanzania tuacheni unafiki. Hivi mfano utajisikiaje wewe kama mkiristo umshuhudie ustadh na kibandiko chake achukue biblia hadharani afungue zipu aikojolee huku akiwadhihaki wakristo kama jamaa wa morogoro alivokua anaongea wakati anachana mas'haf

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikiri kwamba mimi ni muislamu kwa kuzaliwa.

Ukiwa mpenda haki lazima uwe na uwezo wa kusimama katikati na kusema kweli.
Iliripotiwa kwamba kuna mtumishi mmoja kachana MASAHAF Huko Morogoro.

Hatua zilizochukuliwa dhidi yake ni kama ameua yaani mwamposa aliyekusanya watu na kusababisha wakanyagane akaonekana katenda jambo dogo kweli kuliko la kuchana MASAHAF.

Kama tunakumbuka vizuri hapa jukwaani kuna mtu aliitwa DIBAGULA. Huyu bwana alitokea huko huko Morogoro. yeye alisema YESU SIO MUNGU. Hukumu ya case yake inajulikana ukweli ni kwamba alishinda?

Leo kuna mzalendo mmoja huko Kigamboni amemfukuza huyu bwana kazi. Ni amma hajui sheria, kanuni na taratibu za utumishi au ni mihemko tu ya kuelekea Uchaguzi Mkuu.

Nitaeleza:

1) Kwanza jamaa hajapewa nafasi ya kusikilizwa. Hapo anashinda mchana kweupe, hakuna mashtaka yoyote ya kiutumishi yaliyofunguliwa dhidi yake. Mkuu wa nchi kaingia chaka.

2) Imani yake haiamini kwenye utukufu wa qurani, yeye mkristo, unaposema kitabu kitakatifu sio kwake

3) Kosa alilofanya halimuathiri mwajiri wake kwa namna yeyote ile, amelifanya nje ya kazi zake.

Tujifunze kuheshimu Sheria
Rais amekosea by 100%. Huyu mfanyakazi anaweza akanyimwa haki zake leo kwa sababu Mahakimu na Majaji wataogopa kutoa maamuzi yaliyo fair.

Ila ukija utawala wa Rais mwingine hata 20 years to come, huyu mfanyakazi aliye chana Quoran atarejeshewa haki zake zote.

Watanzania kwenu na memory msiwe vichwa cha bata. BWM aliwahi kuwafukuzisha kazi Makamishna watano wa Police wakiwemo ACPs Walele, Man na Lyimo mwaka 1996.

Wakafungua kesi na wakashinda na kuepewa fidia kwenye mwaka 2005 au 2007. Huyu Jiwe ni Dikteta asiyefuata sheria kabisa
 
Back
Top Bottom