Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Inawezekana mkuuTangu 1961 Mnyika alikuwa mbunge wa Kibamba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana mkuuTangu 1961 Mnyika alikuwa mbunge wa Kibamba?
Acha ujinga popoma wewe mi mkazi wa hapo nitajie jina la shule?Hata ubungo ilikuwepo madarasa yamejengwa juzi na Prof Kitila!
Ukiambiwa kuwa wewe ni zuzu uwe unakakubaliMbona hutaji jimbo la Mwanga!
Ubaguzi kwa CCM ni sawa na maziwa na tuiMiaka 10 barabara kilomita 5
Duuu naona hilo MATAGA limeshikwa pabayaAfadhali huyo miaka 50 ya uhuru Rukwa haikuunganishwa na mkoa wowote barabara ya lami sasa unashangaa miaka 10?
J J Mnyika miaka 10 ya ubunge kilomita 5 za lami!Hii comment itamfanya mleta uzi aukimbie uzi wake
Na Jiji linavunjwa baada ya Ufipa kulifilisi na kuligeuza kijiwe!
MACHAGA unaweweseka!Duuu naona hilo mataga limeshikwa pabaya
Hapana bwashee tupo Kibamba tunakagua maendeleo.Umelewa bwashee!
Hapana bwashee tupo Kibamba tunakagua maendeleo.
Aibu kubwa sana.J J Mnyika miaka 10 ya ubunge kilomita 5 za lami!
Mbona Vunjo kuna maendeleo huyu Mnyika ni mzembe tu na amepungukiwa unyenyekevu!Ubaguzi kwa ccm ni sawa na maziwa na tui
InterestingKongwa ingekua kama London kwani haiwajawahi kua na mbunge asie wa CCM miaka 60 ya uhuru lakini bado wanajisaidia vichakani, watoto wanakaa chini na kwenye vichaka. Hakuna madawati, hakuna madarasa watoto wanasomea vichakani...
Baada ya miaka 60 ya uhuruJ J Mnyika miaka 10 ya ubunge kilomita 5 za lami!
Kule kwa madiwani wa CCM walijitahidi!Maendeleo yapi si amesema hayapo?
Unajichanganya babuMACHAGA unaweweseka!
CHADEMA ilikuwa inatuletea umaskini mkubwa bwashee!Baada ya miaka 60 ya uhuru